Nilufer
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 9,603
- 13,654
Tumefiwa jamani alikuwa anatoa free education you knowHasa kwa sisi wapenda udaku na umbea, pigo hili mlongo [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumefiwa jamani alikuwa anatoa free education you knowHasa kwa sisi wapenda udaku na umbea, pigo hili mlongo [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
M.A.P Le Mutuz Mobimba Le Mutuz Kokobanga Boma Ye Nye Nye Nye Down town in Manhattan Boma Liwanza Le King of Social Media ,I'm humbled You Know Ha ha ha ha!! Social Media imepata Pigo!
Kabisaa Mlongo, mie kila nikikumbuka umbea wake wa Tunda kuzurura mahotelini, bas hoi.Tumefiwa jamani alikuwa anatoa free education you know
Aliyekuwa akiwadharau wa uswekeniView attachment 2621167
Mmiliki wa 'Le Mutuz' Blog, na Mwanachama wa JamiiForums William Malecela, William J. Malecela maarufu kama Mr. Super Brands amefariki dunia leo Mei 14, 2023 jijini Dar es Salaam.
Taarifa za awali zinaonesha madehemu amefia Hospitali ya Mnazi mmoja na Mwili umepelekwa Hospitali ya Taifa, Muhimbili.
😂😂😂😂😂😂Jamani, Nini hiki Tena?[emoji848]
Mbona musiba anatuandama hivi[emoji26]
Sasa asherekee huko alipo.Yule mtoto ake aliemtukana tusi kuu babae tumuone/tumsikie akija kumzika amtukane tena kwa mara ya mwisho
Kwa taarifa Lemutuz sio kijana ni above 60 ni umri wa wastaafu. Apumzike kwa amani. Binafsi niliwahi kukutana nae ATM CRDB Holand House nikamsalimia tukapiga stori kidogo ingawa ndio kwanza kumuona live very humble manKifo kingine tena kwa kwa watu maarufu!
Mtihani sana maisha ya mwanadamu na kiumbe chochote juu ya uso wa dunia!
Inauma kwa kiasi fulani kifo cha kijana ila tukumbuke tu waporaji hapa kwa dunia, hivyo tuwe care na afya zetu na kila kinachosababisha kuwa hai.
Apumzike kwa aman ajaliwe kukutana na Mungu mwenyezi .
Sikuwahi kujua hilo aisee , nilijua yupo chini ya 50!Kwa taarifa Lemutuz sio kijana ni above 60 ni umri wa wastaafu. Apumzike kwa amani. Binafsi niliwahi kukutana nae ATM CRDB Holand House nikamsalimia tukapiga stori kidogo ingawa ndio kwanza kumuona live very humble man
Mkubwa sana marehemu utaona kweny msalabaSikuwahi kujua hilo aisee , nilijua yupo chini ya 50!
Tutaona mengi mwaka huu mwenyew naisakaKuna id naitafuta kama imecoment popote leo
watoto wa Mzee Malecela waliotangulia “mbele za haki” ni:RIP le mubebez. Mzee malechela anazika tu watoto masikini 😭😭😭
watoto wa Mzee Malecela waliotangulia “mbele za haki” ni:
1). Senyagwa Malecela
2). Dkt. Irene Malecela
3). Mkwavi Ipyana Malecela
4). Dkt. Mwele Malecela, na
5). William Malecela (Le Mutuz)
Kale kajamaa bado kanazunguka kuweni makini CovidKamaa kakata kamba aisee nini tatizo? Boma yee kakata kamba