1ndazMaterial
Senior Member
- Oct 4, 2018
- 161
- 175
Kufa ni kufa tu.Unafikiri akifa atajua kafa mdomo wazi?
Afe mdomo wazi ama kafumba kikubwa kavuta, ila mange atavuta mdomo wazi kweli maana so Kwa shit na umbea alienae kmmke
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kufa ni kufa tu.Unafikiri akifa atajua kafa mdomo wazi?
Siyo hivyo mkuu, mama yake lemutuz alikuwa ni mchepuko wa mzee malecela. .., so lemutuz na wakina mwele wanashea baba tu, mke wa ndoa wa malecela ambaye naye ni pia ni marehem ndo mama yao kina mwele na ipyana ambao wote walishafariki pia....Sio nje ya ndoa😀 le mubebez kazaliwa some few weeks before Tanganyika got her super independence you know, so by that time Mzee Malecele was bachelor bwoy
Nawaona wakongweRIP mwanzilishi mwenyetu wa JF: Wakati huo akijulikana kama "ES". Mbona ghafla hivyo?
Ulikuwa na mchango mkubwa sana hapa JF hasa ile miaka ya 2000 na mwanzoni mwa miaka ya 2010 kabla hujaanzisha blog yako. Mungu akupumzishe kwema peponi
Ukongwe dhahabuNawaona wakongwe
R.I.PView attachment 2621167
Mmiliki wa 'Le Mutuz' Blog, na Mwanachama wa JamiiForums William Malecela, William J. Malecela maarufu kama Mr. Super Brands amefariki dunia leo Mei 14, 2023 jijini Dar es Salaam.
Taarifa za awali zinaonesha madehemu amefia Hospitali ya Mnazi mmoja na Mwili umepelekwa Hospitali ya Taifa, Muhimbili.
Kifo hakina ujanja wala umaarufu, tujiandae na tukikubali.View attachment 2621167
Mmiliki wa 'Le Mutuz' Blog, na Mwanachama wa JamiiForums William Malecela, William J. Malecela maarufu kama Mr. Super Brands amefariki dunia leo Mei 14, 2023 jijini Dar es Salaam.
Taarifa za awali zinaonesha madehemu amefia Hospitali ya Mnazi mmoja na Mwili umepelekwa Hospitali ya Taifa, Muhimbili.
60???Ila angalau ameishi ishi....miaka 60 si haba.maisha kayala!
Kuliko kufa una miaka 28 sijui
View attachment 2621167
Mmiliki wa 'Le Mutuz' Blog, na Mwanachama wa JamiiForums William Malecela, William J. Malecela maarufu kama Mr. Super Brands amefariki dunia leo Mei 14, 2023 jijini Dar es Salaam.
Taarifa za awali zinaonesha madehemu amefia Hospitali ya Mnazi mmoja na Mwili umepelekwa Hospitali ya Taifa, Muhimbili.
60+60???
Bi Faiza upo ?? Nimefurahi kuona "comment" yako. Bibi wa busaraInna li Llahi wa inna Ilayhi rajiun.
Kwa matusi mliyokuwa mnamporomoshea haswa Mange na genge lake! Inahitaji hekima na busara kuhimili hali ile.Uvumilivu upi ss wengine hatuujui embu tupe kwa kifupi Sana
Mnk mm namfahamu tu Kama mtoto wa nnje ya ndoa ya mzee wetu waziri mkuu wa zamani ndugu malecela
Je Ni yeye lemutuz ameyavumiliaaa
ChaiMi nimemuona pale Ben tower ijumaa yaan juzi[emoji26]
Kama kawaida yake na wabebez akaniita nikamsonya akacheka sana, ...masikini ningeenda hata kumsikiliza utani wake then nicheke nisepe! Imeniuma sana
Matusi km yapi hayo mkuu emu yaandike baadhi tuyaone,Kwa matusi mliyokuwa mnamporomoshea haswa Mange na genge lake! Inahitaji hekima na busara kuhimili hali ile.