William Malecela vs Flora Lyimo (Mbuta Nanga)

Duh! Kumbe?! ... Sipati picha pale midubwana miwili mulipokuwa mnalala under the same roof! Khaa! Embu funguka zaidi, mlikuwa mnaishije ishije ndani ya nyumba moja? Funguka utuongezee siku za kuishi, kwa nini mama Anne kilango hakumtimua?


Kinky

Utakuwa Unamchukia Tu Le Mutuz...Si Bureee......Maana Umemuandama Kama Nin Bhana,Sema Sasa Unavyoendelea Unadhihirisha Kuwa Wewe Mwenyewe Hazikutoshi.....Mi Ndukiiii....
 
Utakuwa Unamchukia Tu Le Mutuz...Si Bureee......Maana Umemuandama Kama Nin Bhana,Sema Sasa Unavyoendelea Unadhihirisha Kuwa Wewe Mwenyewe Hazikutoshi.....Mi Ndukiiii....

- Ahsante kwa kunisaidia kujibu maana kumbe kuna wengine mmeshamuona kwamba amepungukiwa akili sitashangaa kujua kuwa ni kile kimama chenyewe!!

Le Mutuz
 
mi nlisikia alitembeaga nae

Hilo nalo neno kwa hiyo l mutuz karoho kanamuuma kaamua kutoa nyongo hadharani kwanini wasikae chini wakayamaliza kimya kimya mtu kama l mutuz halafu anajiita eti msomi haya mambo aliyoandika hapa ni kwa faida ya nani? Na ameongezewa au kupunguza nini zaidi ya kujionyesha alivyo dhaifu wa kiutu aisee yani Mungu akunyime vyote lakini akupe Akili na maarifa.
 

Ha ha ha ha U kno...nimecheka sana eti kuanzia page 5 kwenda mbele


Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
 
Muombe radhi l mutuz wewe wataibianaje mume wakati ni me, na ke jamani humu kuna mambo!

- In this game haya ni maneno ya kawaida sana unless ni mgeni hapa muhimu ni what u get from this kind of abuse kwa mfano leo nimepokea rasmi check kubwa kutoka Voda mpaka nimeamua kutoa some of it kwa JF, ndio life U know u take risk and let others dance to your tunes!! ha1 ha! ha!

Le Mutuz
 

- Well haya ni mawazo yako sio yangu ni kwamba ukinichokoza ninakujibu mimi ni muumini wa jino kwa jino, nikiwa ninasoma Criminology USA niliandika paper kuhusu kuunga mkono death sentence in USA ilikuwa one of the best paper pale Shuleni, binadam wajinga wanapijibiwa tena kwenye their level of thinking wanapata akili japo kidogo, so ukinichokoza nitakujibu tu hayo ya busara za kunyamaza kaa nayo mwenyewe, watu wenye akili hawakupimi kwa kunyamza kimyaa kwenye crisis ni foolish idea!1

Le Mutuz
 
Kina January Fred na riz ndio walitumia vizuri fursa ya kuwa mtoto wa mkubwa..uyu mzee yeye anajivunia kuanzisha blog huruma sana.

- Ni kawaida ya walioshindwa kwenye this game of life kurusha rusha majina ya wanaume wengine badala ya kujitaja mwenyewe huwa ni honestly huwa ni tabia ya wanawake wambeya, blog ni one of my things bado nina Radio na TV pamoja na ICD Mbagala, kaka pole sana unacheza ngoma usiyoijua!!

- Blog nimeisajili as Kampuni na nimeajiri vijana 3 sasa inajitegemea sina muda huko tena ofisi ipo gerezani mimi nipo Downtown, kama unaona hii ni kazi ndogo sema umeajiri Vijana wangapi mkuu sana? ha! ha!

Le Mutuz
 
Ha ha ha ha U kno...nimecheka sana eti kuanzia page 5 kwenda mbele


Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app

- Sawa sawa wewe angalia anythread inyonihusu always inaanzia page 5 kwenda kwa mbele ndio maana ya Big Celeb U know au Big Star!1

Le Mutuz
 

Kama ndio kodi zetu zilitumika kukusomesha laana ipo juu yako ila kama ni pesa halali ya baba yako basi rudisha chenji.
 

Cool down bulaza usipanic,we siunasema umesoma sana hapo nilikuwa nafanya comparative analysis....unajitutumua sana kuonyesha kuwa mambo yako safi mara nina blog sijui tv,wakati mwenye njaa hajifichi leo kupata check ya Vodacom kwa ajili ya vimatangazo dunia nzima imejua na ukaichangia na jf....mtu kama riziwani hana kelele watu ndio wanaongea,ye wala hana ata habari anazimake tu...Mtu kama Riz ukiweka kando siasa namuombea abarikiwe zaidi coz ni mzungu wa roho.

we unajiona una akili kwa kufanya promo kwa kufungua thread jf,wenzio wananunua magazeti.

Unajisifu umeajiri watu watatu unatia huruma sana,mie kwa umri wangu kama mwanao ila we unikuti ata nusu pata picha nikifika umri wako
 

- Yale yale tu kaka nimeishi kwenye Capitalism wenye akili nyingi kama Donald Trump hana pesa kuliko Hermsley lakini Trump anajitangaza na anatengeza mapesa kibao kwa kutumia media, Majumba yote mazuri New York yana jina la Trump wanamlipa ingawa wao ndio wenye pesa kuliko yeye, ndio maana ya Capitalism leo Ridhiwani kawa mtu mwema kwako ha! ha! ha! ha! ha! hawanihusu mimi naongea kivyangu na uwezo wangu sina wasi wasi na uwezo cause nitawafikia very soon kwa speed ninayokwenda nayo, leo nimetoa mchango ndio ni lazima Dunia ijue maana I make my money kwa njia ya Mitandao kwa vile akili yako ni ndogo sana hujui this news zitanieletea nini as far as business is concerned pole sana,

- Kwenye hii dunia kuna watu kama mimi tumeumbwa kufanyisha na kupioga kelele na kuna kama wewe mmeumbwa kunyamza na kupiga kelele tu hewa kwenye mitandao, pole sana mkuu!! ha! ha! ha!

Le Mutuz
 
Kama ndio kodi zetu zilitumika kukusomesha laana ipo juu yako ila kama ni pesa halali ya baba yako basi rudisha chenji.

- Mtakalia hayo hayo ujinga ujinga mpaka mwisho wa Dunia sisi tunaondoka pole pole halafu utakuja kulia mameno ya baba yake le mburulazzz!!

Le Mutuz
 
jamani mi Lemutuzi namuombea maisha marefu tu, maana uwa ananichekesha sana mambo yake yaani nilivyoona hiyo pic na kaamka asubuhi kupiga nacheka kl saa .huyu jamaa mnamuona hana akili, akili anayo sana anachezea akili za watu tu.
 
jamani mi Lemutuzi namuombea maisha marefu tu, maana uwa ananichekesha sana mambo yake yaani nilivyoona hiyo pic na kaamka asubuhi kupiga nacheka kl saa .huyu jamaa mnamuona hana akili, akili anayo sana anachezea akili za watu tu.

- ha! ha! ha! ha! hapana kaka sina akili inatosha sana it is good with me U know! ha1 ha! ha!

Le Mutuz
 
- ha! ha! ha! ha! hapana kaka sina akili inatosha sana it is good with me U know! ha1 ha! ha!

Le Mutuz

ahahahahaha! u know yani millionaire Davis Mosha awe na business partner hana akili? hii ni big joke u know?

Le baharia kimbiza mbulullazz.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…