Ntakasi
JF-Expert Member
- Oct 21, 2013
- 1,428
- 456
Duh! Kumbe?! ... Sipati picha pale midubwana miwili mulipokuwa mnalala under the same roof! Khaa! Embu funguka zaidi, mlikuwa mnaishije ishije ndani ya nyumba moja? Funguka utuongezee siku za kuishi, kwa nini mama Anne kilango hakumtimua?
Kinky
Utakuwa Unamchukia Tu Le Mutuz...Si Bureee......Maana Umemuandama Kama Nin Bhana,Sema Sasa Unavyoendelea Unadhihirisha Kuwa Wewe Mwenyewe Hazikutoshi.....Mi Ndukiiii....