bigsamkatty
Member
- Aug 13, 2015
- 61
- 29
Ungekuwa unajua dhana ya huduma ya hekaluni toka kipindi cha agano la kale na nini kuhani alikuwa akifanya alipokuwa anaingia katika chumba cha patakatifu pa patakatifu mara moja kwa mwaka...ungejua Yesu akiwa kuhani wetu mkuu anafanya nini hapo patakatifu pa patakatifu pa Mungumi.Hayo maombezi,Yesu anawaombea akina nani hapo "chumbani patakatifu pa patakatifu'?