William Ruto, Rais wa Kenya: Waafrika tuachane sasa na malipo ya kutumia Dola

William Ruto, Rais wa Kenya: Waafrika tuachane sasa na malipo ya kutumia Dola

Wazo jema sana kwa ustawi wa bara la Afrika kuwa na mfumo mmoja wa fedha japo kila kiongozi aliekuja na hoja hiyo hakuishi, nadhani ni Profesa Lumumba tu ndio anaishi wengine wote hatuko nao.
 
Yuko sahihi, Dola ni mateso makubwa, si kwa Afrika tu, bali dunia nzima. Fikiria nchi yenye matumizi makubwa kama USA iwe inajichapishia pesa halafu zinatumika dunia nzima!! Yaani kiuhalisia ni kuwa wakitaka mafuta au kahawa au dhahabu wanachapisha tu pesa na kuja kununua huku kwetu. Wengine wanahangaika kuzalisha bidhaa wao wanachapa tu pesa.

Nchi za Afrika zinatakiwa kujiongeza.
 
Back
Top Bottom