Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyege ni kunyegezana - late Andanenga, Sauti ya KizaNgoja nimtest Wangu,amezaa na mtu kaachwa kwenye mataa,Mimi Nina new family nimfanye mchepuko
huku na huku si inachosha sana ndrogu zango? 🐒Hao wanaorudiana ni wale wanaorudiana kwa siri, yaani kila mtu anakuwa kwenye mahusiano yake mengine lakini wanatafutana kama ma ex waliendekeze.
Au wanarudiana but kisera zaidi, no plans za pamoja tena, no baby baby tena
This thread has been closedKwa mwezi mzima sasa nimekuwa na mawasiliano na Ex wangu,, hisia zimenijia gafla za kutaka kumnyandua tena.....ila Kuna mchanganyiko wa hofu ya namna ya kumuacha tena nikishamnyandua...kifupi hana jipya sana na mimi ila nataka turudie shoooo
Nawe unapasha kiporo 🤣🤣🤣🤣Jini likujualo halikuli likakumaliza...
huku kwetu hamnaga maswala ya boyfriend and girlfriend, huku ukishavuta kitu ndrani ni mpaka kifo kiwatenganishe...Labla huko kwenu
hii mada ni kwa ajili ya wanaume kamili na wasichana komandoz,Acha uongo hiyo labda kwenye korido za rangi mboga mboga.Na pia naweza kuhisi nini sababu,ukitaka kuijua ni rushwa ya chafuzi.
kwahiyo,Wengi wetu kimetulamba tulikoenda, yaliyotupata huko tumerudi mikono nyuma kwa wapenzi wetu tulioachana nao kimakosa.
Sasa bahati ukute hajaoa wala kuolewa…
I don't know why always,Given that love knows no bounds, this should come as no surprise. I can still picture the girl who used to ask me to be her mistress, but I was unable to keep her out of trouble.
Watu hawajui watakachohuku na huku si inachosha sana ndrogu zango? 🐒