Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uongo mwingine hata shetani anaukana.Mkoa wa Arusha na Kilimanjaro utadhani mlango wa shetani uko huko vijana wana ulimbukeni wa kuingia mambo hatari tu... Kwa mara ya kwanza nilishuhudia vijana wanatumia Petro na pia kidonge (sumu ya panya) kama kilevi...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwani Mabomba ya sindano (syringe)yanayouzwa limoja kwa shs 200- 300 kule maduka ya dawa muhimu hayafai?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa jinsi pombe ilivyo kali na nyepes itaflow back nina uhakika labda kae kichwa chini miguu juu.[emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii imevuka viwango haswaaa.Kuna vitu watu wanabuni mpk unabaki na maswali yasiyo na majibu. Ni hatari kwa kweli.
Hebu walevi watujibu
Nakujaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nakuitaji Inbox we mtoto kuna kitu nimekumbuka [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahBasi kiufupi idadi ya mashoga waliopo ni ndogo, wapo wengi, sasa sijajua hii tuiweke kwa upande wa upinde au vp. Nahisi watakua wanatumia bomba la peni au pampu ya aina yeyote, manake ukisema popo kanyea mbingu unajiwekea vp isimwagike? Au lazima mtu akutozee rungu kwa siku za kwanza?
Kwa nchi ule mzani wa uwezo wa kiakili ukilalia zaidi upande wajinga, tarajia ujinga zaidi ya huu. Halafu utapokelewa kama kituko na siyo ujinga.Salaam Wakuu.
Kumeibuka wi la Vijana kutumia pombe kwa njia ya haja kubwa ili walewe kwa haraka.
Pamoja na madhara yote, naona hii inaweza chochea kuingiliana kinyume na maumbile.
Nini kifanyike ili kuepusha kizazi hiki?
Je, kuna Sheria inakataza utumiaji huu wa Pombe?
Hii haiwezi kuongeza ajali barabarani? Trafiki watapimaje kiwango cha ulevi?
View attachment 3020491
Kama hujaelewa hapo basi tenaBado sijaelewa kuna correlation gani kati ya "MIMI" kuwa muislamu na kutokutumia pombe na kuwa muislamu si kuwa malaika ?? Labda sijaelewa
Kwahy hakuna kijana wa kike?Mimi naona ni vijana wamesemwa hapa ila mabinti hawajasemwa kabisa.
Sasa kazi kwenu mabinti kuwakagua vijana wenu marinda .mtafanyae ili mkague hayo marinda?., mtajua wenyewe maana wanaumehatutaki kushikwa mali ya serikali