Wimbi la Vijana kutumia Pombe kwa njia ya haja kubwa, haiwezi chochea Ushoga?

Wimbi la Vijana kutumia Pombe kwa njia ya haja kubwa, haiwezi chochea Ushoga?

Kwanza nianze kwa kusema mimi ni MUISLAMU hivyo situmii kilevi chochote kile ,
Screenshot_20240619-114935.png


Cc: Kanali_
 
Kwa jinsi pombe ilivyo kali na nyepes itaflow back nina uhakika labda kae kichwa chini miguu juu.🤣
Hapana, sio lazima. Misuli ya Rectal sphincter a.ka. marinda haitaruhusu itoke labda kwa mhusika kusukuma/kujikamua kama inavyokuwa ukikata gogo.
Ila kwa kweli hiko kitendo! Kha yataka moyo aisee.
 
Kupanua ufahamu hapa jukwaani hii kitu inaitwa 'alcohol enemas "kiufupi ni kuweka mrija kwenye mkundyu kisha kumimina pombe taratibu ,watu wa hovyo wanafanya hivi ili kulewa haraka maana pombe haipiti mfumo wa kawaida,pili ini halipati madhara,tatu wanaepuka kutapika ,nne kulewa kwa kutumia pombe zinazowashinda harufu.
Wanaofanya huu upuuzi wategemee yafuatayo kwanza watalewa haraka sana kuliko wangekuywa pombe kwa mdomo,pili vinyeo vyao kuwaka moto,tatu vinyeo kuwasha sana,nne kuachia mizigo(mavi)meusi kweli kweli,tano kuwa na kuvuja kwa damu ndani ya utumbo ,sita kupata vidonda au cancer ya utumbo.
How possible is it?
Mambo ni mengi sana!
 
Salaam Wakuu.

Kumeibuka wi la Vijana kutumia pombe kwa njia ya haja kubwa ili walewe kwa haraka.

Pamoja na madhara yote, naona hii inaweza chochea kuingiliana kinyume na maumbile.

Nini kifanyike ili kuepusha kizazi hiki?

Je, kuna Sheria inakataza utumiaji huu wa Pombe?

Hii haiwezi kuongeza ajali barabarani? Trafiki watapimaje kiwango cha ulevi?

View attachment 3020491
Mambo ya kuletewa haya 😃 bila kutumia akili kizazi kitakuwa cha ovyo kwa kujaribu jaribu mambo😃 hii kali
 
What about the spillover effects to the nearby(Closest) organs e.g the reproductive system?
Enemas allow alcohol to bypass the liver and stomach, letting the body absorb it into the bloodstream and through the colon’s lining without the body breaking it down.

This can lead to a higher blood alcohol concentration, increasing the risk of alcohol poisoning and central nervous system depression.

According to a 2019 articleTrusted Source, alcohol enemas may pose the following additional risks:

gastrointestinal bleeding
edema, swelling due to trapped fluid
ulcers in the intestinal tract
colon erosion
 
Enemas allow alcohol to bypass the liver and stomach, letting the body absorb it into the bloodstream and through the colon’s lining without the body breaking it down.

This can lead to a higher blood alcohol concentration, increasing the risk of alcohol poisoning and central nervous system depression.

According to a 2019 articleTrusted Source, alcohol enemas may pose the following additional risks:

gastrointestinal bleeding
edema, swelling due to trapped fluid
ulcers in the intestinal tract
colon erosion
Those additional risks 👆 👆 👆 (To my perception) are immediate/short term risks. I am worried if that use-habit becomes a long term or sbd is an addict.
That habit may be one of the predisposing factors to different types of cancers, tumors etc.
 
Salaam Wakuu.

Kumeibuka wi la Vijana kutumia pombe kwa njia ya haja kubwa ili walewe kwa haraka.

Pamoja na madhara yote, naona hii inaweza chochea kuingiliana kinyume na maumbile.

Nini kifanyike ili kuepusha kizazi hiki?

Je, kuna Sheria inakataza utumiaji huu wa Pombe?

Hii haiwezi kuongeza ajali barabarani? Trafiki watapimaje kiwango cha ulevi?

View attachment 3020491
Upo coco beach unauliza baharini wapi?

Iwe mwanamme iwe mwanamke anaefanya hivyo ni kwisha kazi yake.
 
Back
Top Bottom