Wimbi la vijana wengi kutembelea gari za kike

Wimbi la vijana wengi kutembelea gari za kike

Kaka madenge

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2021
Posts
312
Reaction score
574
Ndugu zangu

Inakuwaje mwanaume mzima anaendesha ka baby Walker?

Yaani jibaba nene linatumia kigari cha mkewe? Huoni aibu? Si bora hata upande daladala?

Hata Bashite alisema wazi vi gari vya IST ni vigari vya kuhongwa wewe mwanaume huoni aibu?

Hii tabia walikuwa nayo wanaume wa Kinondoni, ila sasa wameambukiza na wa mikoani..

Aibu sana
 
Kuna shoga angu alikuwa anagombana na mfanyakazi mwenzie kazini ( huyo mwenzie Ana gari).

Katika kubwatuzana yule shoga angu akaropoka " unaringia hicho kigari.....wakati hilo ni kaburi tu..mnajifanya matajiri mnanunua makaburi".

Wakati yeye anapanda daladala Kila siku.

Nilivyosoma hii thread nimemkumbuka shoga yangu.

Maneno ya mkosaji!!!
 
Wazee hapa always mnajigamba sana kwamba kila mwanaume ana gari kumbe gari zenyewe ni IST?

Poleni sana japo nimewashambulia sanaaa
 
Back
Top Bottom