Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huu uzi umenikumbusha juzi, Tulikuwa pub na dingi mmoja hivi, yeye anamiliki V8, wakati tunaendelea kunywa, akatokea jamaa mmoja akashuka kwenye IST yule dingi akaropoka "Ukiwa unaendesha V8 afu ukamuona mtu anaendesha IST unamuona kama amechanganyikiwa hivi"
...watu tulicheka balaa[emoji23][emoji23]
NB: Tuache dharau wakuu gari ni gari ilrimradi ina matairi manne na inatembea
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Namuunga mkono mleta hoja!
Kiukweli tujibane bane tutembelee gari za kiume kama-
NISSAN X-TRAIL
KLUGGER
NISSAN DUALS
PRADO
SUBARU FORESTER XT
ONGEZEA...yaani unapita nalo maeneo kila mtu anapandwa na mizuka + wazimu.
lakini hizi IST,SPACIO,PASSO,HARRIER,CROWN,ALLION,PREMIO,VITZ,SUBARU IMPREZA etc.. itoshe sasa kuwaachia hawa dada zetu.
RAV 4 + SUZUKI,tuwaachie wazee wetu + walimu wetu wenye makamo + watumishi wa Mungu.
Sikatai kama kipato kinaweza kuwa kidogo,chukua basi hata PROBOX ijulikane wewe ni mtu wa kazi kazi!...sio dume nzima una minywele kila mahali unatembelea VITZ aibu tupu!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]IST Ni chombo Cha usafiri kwa ajili ya wadada wa kazi kwendea sokoni..!
Nataka kufua [emoji3578]
Wenye kumiliki Vitz tena vya mkopo kabisaaa!, ni Rahisi sana kuwajua, wana mihasira hao!!! hee! hawataki kuviachia, na hela ya kununua Midude km ya nyarusare hawana!! na Kirkuu haikamatiki siku hizi!! wanadharaulika sana Barabarani Bongo! huko mikoani sijui ...Ukisikia upumbavu basi huu ni wa kiwango cha ajabu!
siyo wivu jamani !!! wewe hujui tu aibu!! na dahrau wanayo pata barbarani wanaume wanoendesha hivi vidude! siku ukijaribu utajuaWivu tu unakusumbua, mwishoe utauliza kwa nini siku hizi watu wanajenga nyumba za madirisha ya.Aluminium!
Dah, akili yako unaijua mwenyeweUkiichunguza vizuri IST ina sehemu ya kuhifadhia PAD, na sehemu ya dharula kwa kina mama! siku zao zikiwatokea ghafla !! chini ya viti vile pale kuna mambo yana fanyika km kufyonza hivi! tena waweza unganisha na chupi malum za IST.
Viti Vile viti vya Ist vimeundwa maalum kwa ajili ya matako ya kina mama! kunyonya na kukausha chochote kikimtokea chini ya makalio mfano wamama wengine wanaweza hata kukojoa wakiwa wamekaa vile vile!
sababu kubwa wamama wengi ni waoga hasa wakipata ajali wanajikojoleaga sana hapo hapo na ghafla some times hii inawapelekea kuibiwa mali zao! hawajui kutafuta suruhu ya haraka wanaweza pia kufa wakimgonga mtu! au kuingia mtaroni ndo myoyo yao ilivo!
ndo maana kina baba wengi wakiendesha saaana Ist wanakuwa na makalio makavu meusi km yamechomeka hivi chunguza! Madaktari mtu saidie hapa! yaani utajua tu huyu jamaa aliendesha sana Ist.pia huleta uhanithi!
sababu kubwa ya wababa kuwa hivi miili yao haina mafuta mafuta na hawapakagi mafuta mwilini, in long run makalio yanakuwa meusi faida nyingine ni hii
stelling ya ist ina sehehmu ya kuhifadhia maziwa km kuna ajali, viti maalum kwa ajili ya watoto wadogo! kapu la sokoni, havina mwendo mkali. siyo rahisi kushika moto! wkt kina baba wanaendesha gari km mashindano ist hkn hiyo!
Huyo bado ni mtoto anaishi kwa kulelewa. Bado yupo kwenye theory za maisha. Msameheni buresasa sijui wengine wanapata wapi nguvu za kuclassify gari za kike na za kiume,jamani this world [emoji2296]
Mbona mkaguzi wa mahesabu tanzania alikuwa na IST na aliacha shangigi mpya nyumbaniBonge la mtu,kitambi kule na suti kuubwa,anachomoza kwenye IST...
Tractors,Kwani gari za wanaume ni zipi