Wimbi la vijana wengi kutembelea gari za kike

Wimbi la vijana wengi kutembelea gari za kike

Aisee!
Watakwambia azili mafuta.
Wanahesabu zao wenyewe wanapigaga"1lt/15km
"Alafu vile mjini parking ni shida,so ukiwa na hatchback ni rahisi kupata nafasi.

Aiwezekani kubwa zima na vinyweleo kibao kifuani alafu unang'ang'ana na Passo sijui,Ist,Vitz wakati izo ni gari za mabinti tena mabikira.
 
Aisee! Huyo mzee aliua.
Huu uzi umenikumbusha juzi, Tulikuwa pub na dingi mmoja hivi, yeye anamiliki V8, wakati tunaendelea kunywa, akatokea jamaa mmoja akashuka kwenye IST yule dingi akaropoka "Ukiwa unaendesha V8 afu ukamuona mtu anaendesha IST unamuona kama amechanganyikiwa hivi"
...watu tulicheka balaa[emoji23][emoji23]

NB: Tuache dharau wakuu gari ni gari ilrimradi ina matairi manne na inatembea
 
Hunielewi ndugu. Nimekuambia ninazo gari zangu mm. Mke wangu ana gari yake, Nina v-shapes engine zenye horse power ya kutosha mbili. Na still hiyo baby walker naitumia pia pale ninapolazimika kuitumia esp siku ninapokuwa too busy mazingira ya mjini. Tofauti yangu mm na ww ni matazamo wa kwann tunamiliki magari. Pengine labda na maana ya neno mwanaume. Ila sikupingi as long as hizo fikra ni zako na ndivyo unavyojisikia ndani yako. Mm hisia zako hazina maana yoyote kwangu.
Hujamtajia na zile nyingine za watoto na house maid.
 
Hata ikiwe
hebu tuwekane sawa jamanii, kwani hata kwenye manual ya hao waliotengeneza hizo the so called gari za kike,kuna mahali pamenadikwa for male or female? [emoji2368]
Hata ingekuwepo inamuhusu nin? Kama tu wenye nyumba na wanao panga
Shida iko wapi mtu akiendesha lori, magari makubwa na mwingine aendeshe madogo!
Kwanza gari ya zaidi ya 5M kwa tanzania ni utajiri kabisa
 
Namuunga mkono mleta hoja!

Kiukweli tujibane bane tutembelee gari za kiume kama-
NISSAN X-TRAIL
KLUGGER
NISSAN DUALS
PRADO
SUBARU FORESTER XT
ONGEZEA...yaani unapita nalo maeneo kila mtu anapandwa na mizuka + wazimu.

lakini hizi IST,SPACIO,PASSO,HARRIER,CROWN,ALLION,PREMIO,VITZ,SUBARU IMPREZA etc.. itoshe sasa kuwaachia hawa dada zetu.

RAV 4 + SUZUKI,tuwaachie wazee wetu + walimu wetu wenye makamo + watumishi wa Mungu.

Sikatai kama kipato kinaweza kuwa kidogo,chukua basi hata PROBOX ijulikane wewe ni mtu wa kazi kazi!...sio dume nzima una minywele kila mahali unatembelea VITZ aibu tupu!!
 
Watakwambia azili mafuta.
Wanahesabu zao wenyewe wanapigaga"1lt/15km
"Alafu vile mjini parking ni shida,so ukiwa na hatchback ni rahisi kupata nafasi.

Aiwezekani kubwa zima na vinyweleo kibao kifuani alafu unang'ang'ana na Passo sijui,Ist,Vitz wakati izo ni gari za mabinti tena mabikira.
Absolutely!
 
Namuunga mkono mleta hoja!

Kiukweli tujibane bane tutembelee gari za kiume kama-
NISSAN X-TRAIL
KLUGGER
NISSAN DUALS
PRADO
SUBARU FORESTER XT
ONGEZEA...yaani unapita nalo maeneo kila mtu anapandwa na mizuka + wazimu.

lakini hivi vi IST,SPACIO,PASSO,HARRIER,CROWN,ALLION,PREMIO,VITZ etc.. itoshe sasa kuwaachia hawa dada zetu.

RAV 4 + SUZUKI,tuwaachie wazee wetu + watumishi wa Mungu.

Sikatai kama kipato kinaweza kuwa kidogo,chukua basi hata PROBOX ijulikane wewe ni mtu wa kazi kazi!...sio dume nzima una minywele kila mahali unatembelea VITZ aibu tupu!!
[emoji23][emoji23] tuwaachie Watumishi
Chukua Pepsi kwa Mangi Hapo Nitalipia
 
[emoji1787]
Nimecheka kwa sauti.
Yeye atuambie anaendesha gari gani, au ndio wale "bora kupanda daladala kuliko kuendesha baby walker"
Kwahiyo hiyo anayepanda daladala anapanda kaburi la wengi sio
 
Ndugu zangu

Inakuwaje mwanaume mzima anaendesha ka baby Walker?

Yaani jibaba nene linatumia kigari cha mkewe? Huoni aibu? Si bora hata upande daladala?

Hata Bashite alisema wazi vi gari vya IST ni vigari vya kuhongwa wewe mwanaume huoni aibu?

Hii tabia walikuwa nayo wanaume wa Kinondoni, ila sasa wameambukiza na wa mikoani..

Aibu sana
tusisahau kuwa kila mtu ana ndoto yake pia..hilo unalosema baby walker kuna mwingne ndo analiwaza lini ataendesha..tusiweke akilini kuwa hiki ni cha wale hiki cha kwetu mmhh tunakosea sna
 
Back
Top Bottom