Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amegundua udhaifu ulipo.UPUMBAVU MTUPU! Sasa mbona anadai ulikuwa ni utani? 😳😳😳
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] chezea JF weyeeeeh,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ahsante Sana... Nimecheka hapa kama fala vile[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
We ni binti?Kuna shoga angu alikuwa anagombana na mfanyakazi mwenzie kazini ( huyo mwenzie Ana gari).
Katika kubwatuzana yule shoga angu akaropoka " unaringia hicho kigari.....wakati hilo ni kaburi tu..mnajifanya matajiri mnanunua makaburi".
Wakati yeye anapanda daladala Kila siku.
Nilivyosoma hii thread nimemkumbuka shoga yangu.
Maneno ya mkosaji!!!
MwanamkeWe ni binti?
Ok Mambo yako vipi?Mwanamke
PoaOk Mambo yako vipi?
Unaendesha kweli sio utani mzeeUPUMBAVU MTUPU! Sasa mbona anadai ulikuwa ni utani? 😳😳😳
Halafu BAK na hapa atabisha na IST yakeWatakwambia azili mafuta.
Wanahesabu zao wenyewe wanapigaga"1lt/15km
"Alafu vile mjini parking ni shida,so ukiwa na hatchback ni rahisi kupata nafasi.
Aiwezekani kubwa zima na vinyweleo kibao kifuani alafu unang'ang'ana na Passo sijui,Ist,Vitz wakati izo ni gari za mabinti tena mabikira.
Acheni kujipa moyo mnaendesha gari za kike dume zima huoni hati aibu unaendesha gari ya mkeo au binti wa chuoKwann unashikwa na hasira. Mleta mada Asikuumize kichwa wala kukupa hasira, hana madhara, ni mwanaume mwenye tatizo la udhaifu wa jinsia( Hali ya kuhisi kuna wanaume zaidi yako somewhere somehow kutokana na pesa au mali).
Kwake kipimo cha kuwa mwanaume pia ni aina ya gari unaloendesha, anapokosa gari ni bora apande daladala kuliko kuwa na IST maana anaogopa cruiser isije akatongozwa akashindwa kukataa kwani mwenye crusier ni mwanaume zaidi yake. Anadefine mwanaume kwa namna tofauti kabisa na namna wanaume tunavyodefine neno mwanaume.
GARI NI RESOURCE YA KURAHISISHA UZALISHAJI WA KUIHUDUMIA FAMILIA. GARI HAINA JINSIA.
NINA GARI TATU, NA NIKIWA MJINI BABYWALKER IS WHAT I DRIVE SABABU YA FLEXIBILITY. V SHAPE ENGINES NATUMIA SAFARINI NA KAZI ZA NJE YA MIJI TU.
Passo, IST, Porte na vitakataka vya design hivyo ni vya kikeTujulishe aina ya kike na kiume,yanatengenezwa yakiwa na jinsia au za kupewa na sisi.
Mtazamo wako juu ya jinsia yako siupingi. Hilo ni tatizo lako. Situmii gari ya mke wangu, ana gari lake na mm nina gari zangu.Acheni kujipa moyo mnaendesha gari za kike dume zima huoni hati aibu unaendesha gari ya mkeo au binti wa chuo
Kwanza gari gani ukiingia unadumbukia.Passo, IST, Porte na vitakataka vya design hivyo ni vya kike
Hahahahhaha yaani unadumbukia badala ya kupanda?Kwanza gari gani ukiingia unadumbukia.
Kuna kupanda gari na kudumbukia kwenye gari[emoji23]
Huwezi endesha passo halafu useme ni gari yakoMtazamo wako juu ya jinsia yako siupingi. Hilo ni tatizo lako. Situmii gari ya mke wangu, ana gari lake na mm nina gari zangu.
Hunielewi ndugu. Nimekuambia ninazo gari zangu mm. Mke wangu ana gari yake, Nina v-shapes engine zenye horse power ya kutosha mbili. Na still hiyo baby walker naitumia pia pale ninapolazimika kuitumia esp siku ninapokuwa too busy mazingira ya mjini. Tofauti yangu mm na ww ni matazamo wa kwann tunamiliki magari. Pengine labda na maana ya neno mwanaume. Ila sikupingi as long as hizo fikra ni zako na ndivyo unavyojisikia ndani yako. Mm hisia zako hazina maana yoyote kwangu.Huwezi endesha passo halafu useme ni gari yako
Hiyo ni ya mkeo badili gari uendeshe hata tako la nyani angalau