cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bonge la mtu,kitambi kule na suti kuubwa,anachomoza kwenye IST...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bonge la mtu,kitambi kule na suti kuubwa,anachomoza kwenye IST...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila daddie bhana lolJapo mimi ni masikini sana, lakini kwa kweli kuna vigari ni vya kike.
Kigari kiko kama toroli lililoezekwa bati! Hapana aisee....
Kama una pesa nunua gari yenye nguvu....... Kama hauna pia sio mbaya kuwa na IST. Maisha ni kuchagua.
Lakini penye ukweli pasemwe tu!
Tugari tudogo dogo kama IST ni twa kike!
Kuna mashine nzito ukiiona tu unasema kweli hii ni GARII.....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Embu tuambie yapi ya kike yapi ya kiume?
Nisijenunua gari nikaonekana kidume bure
Duuuuh hatareeeeeh sana, cc Yna2 njoo soma hapa upate Elimu zaidi.Ukiichunguza vizuri IST ina sehemu ya kuhifadhia PAD, na sehemu ya dharula kwa kina mama! siku zao zikiwatokea ghafla !! chini ya viti vile pale kuna mambo yana fanyika km kufyonza hivi! tena waweza unganisha na chupi malum za IST.
Viti Vile viti vya Ist vimeundwa maalum kwa ajili ya matako ya kina mama! kunyonya na kukausha chochote kikimtokea chini ya makalio mfano wamama wengine wanaweza hata kukojoa wakiwa wamekaa vile vile!
sababu kubwa wamama wengi ni waoga hasa wakipata ajali wanajikojoleaga sana hapo hapo na ghafla some times hii inawapelekea kuibiwa mali zao! hawajui kutafuta suruhu ya haraka wanaweza pia kufa wakimgonga mtu! au kuingia mtaroni ndo myoyo yao ilivo!
ndo maana kina baba wengi wakiendesha saaana Ist wanakuwa na makalio makavu meusi km yamechomeka hivi chunguza! Madaktari mtu saidie hapa! yaani utajua tu huyu jamaa aliendesha sana Ist.pia huleta uhanithi!
sababu kubwa ya wababa kuwa hivi miili yao haina mafuta mafuta na hawapakagi mafuta mwilini, in long run makalio yanakuwa meusi faida nyingine ni hii
stelling ya ist ina sehehmu ya kuhifadhia maziwa km kuna ajali, viti maalum kwa ajili ya watoto wadogo! kapu la sokoni, havina mwendo mkali. siyo rahisi kushika moto! wkt kina baba wanaendesha gari km mashindano ist hkn hiyo!
Tujulishe aina ya kike na kiume,yanatengenezwa yakiwa na jinsia au za kupewa na sisi.Ndugu zangu
Inakuwaje mwanaume mzima anaendesha ka baby Walker?
Yaani jibaba nene linatumia kigari cha mkewe? Huoni aibu? Si bora hata upande daladala?
Hata Bashite alisema wazi vi gari vya IST ni vigari vya kuhongwa wewe mwanaume huoni aibu?
Hii tabia walikuwa nayo wanaume wa Kinondoni, ila sasa wameambukiza na wa mikoani..
Aibu sana
Nisamehe sana kwa nililokuwazia. Usiwe na perception hiyo kwa wanawake. Upo duniani kwa sababu yupo mwanamke mmoja alikutana na mwanaume ukazaliwa. Waonyeshe heshima mkuu.Ukiichunguza vizuri IST ina sehemu ya kuhifadhia PAD, na sehemu ya dharula kwa kina mama! siku zao zikiwatokea ghafla !! chini ya viti vile pale kuna mambo yana fanyika km kufyonza hivi! tena waweza unganisha na chupi malum za IST.
Viti Vile viti vya Ist vimeundwa maalum kwa ajili ya matako ya kina mama! kunyonya na kukausha chochote kikimtokea chini ya makalio mfano wamama wengine wanaweza hata kukojoa wakiwa wamekaa vile vile!
sababu kubwa wamama wengi ni waoga hasa wakipata ajali wanajikojoleaga sana hapo hapo na ghafla some times hii inawapelekea kuibiwa mali zao! hawajui kutafuta suruhu ya haraka wanaweza pia kufa wakimgonga mtu! au kuingia mtaroni ndo myoyo yao ilivo!
ndo maana kina baba wengi wakiendesha saaana Ist wanakuwa na makalio makavu meusi km yamechomeka hivi chunguza! Madaktari mtu saidie hapa! yaani utajua tu huyu jamaa aliendesha sana Ist.pia huleta uhanithi!
sababu kubwa ya wababa kuwa hivi miili yao haina mafuta mafuta na hawapakagi mafuta mwilini, in long run makalio yanakuwa meusi faida nyingine ni hii
stelling ya ist ina sehehmu ya kuhifadhia maziwa km kuna ajali, viti maalum kwa ajili ya watoto wadogo! kapu la sokoni, havina mwendo mkali. siyo rahisi kushika moto! wkt kina baba wanaendesha gari km mashindano ist hkn hiyo!
Hahahahahahah masikini Wana wivu mbaya sanaKuna shoga angu alikuwa anagombana na mfanyakazi mwenzie kazini ( huyo mwenzie Ana gari).
Katika kubwatuzana yule shoga angu akaropoka " unaringia hicho kigari.....wakati hilo ni kaburi tu..mnajifanya matajiri mnanunua makaburi".
Wakati yeye anapanda daladala Kila siku.
Nilivyosoma hii thread nimemkumbuka shoga yangu.
Maneno ya mkosaji!!!
Kuna masikini kapataYanalia mbwata!!
HaaaaahaaKaribu Tanzania nchi ambayo kuna magari ya Jinsia ya Kike na Kiume.
[emoji23][emoji23][emoji23] nitajaribu kuchunguza hizo IST tuone kama lisemwalo lipoUkiichunguza vizuri IST ina sehemu ya kuhifadhia PAD, na sehemu ya dharula kwa kina mama! siku zao zikiwatokea ghafla !! chini ya viti vile pale kuna mambo yana fanyika km kufyonza hivi! tena waweza unganisha na chupi malum za IST.
Viti Vile viti vya Ist vimeundwa maalum kwa ajili ya matako ya kina mama! kunyonya na kukausha chochote kikimtokea chini ya makalio mfano wamama wengine wanaweza hata kukojoa wakiwa wamekaa vile vile!
sababu kubwa wamama wengi ni waoga hasa wakipata ajali wanajikojoleaga sana hapo hapo na ghafla some times hii inawapelekea kuibiwa mali zao! hawajui kutafuta suruhu ya haraka wanaweza pia kufa wakimgonga mtu! au kuingia mtaroni ndo myoyo yao ilivo!
ndo maana kina baba wengi wakiendesha saaana Ist wanakuwa na makalio makavu meusi km yamechomeka hivi chunguza! Madaktari mtu saidie hapa! yaani utajua tu huyu jamaa aliendesha sana Ist.pia huleta uhanithi!
sababu kubwa ya wababa kuwa hivi miili yao haina mafuta mafuta na hawapakagi mafuta mwilini, in long run makalio yanakuwa meusi faida nyingine ni hii
stelling ya ist ina sehehmu ya kuhifadhia maziwa km kuna ajali, viti maalum kwa ajili ya watoto wadogo! kapu la sokoni, havina mwendo mkali. siyo rahisi kushika moto! wkt kina baba wanaendesha gari km mashindano ist hkn hiyo!
Kwann unashikwa na hasira. Mleta mada Asikuumize kichwa wala kukupa hasira, hana madhara, ni mwanaume mwenye tatizo la udhaifu wa jinsia( Hali ya kuhisi kuna wanaume zaidi yako somewhere somehow kutokana na pesa au mali).
Kwake kipimo cha kuwa mwanaume pia ni aina ya gari unaloendesha, anapokosa gari ni bora apande daladala kuliko kuwa na IST maana anaogopa cruiser isije akatongozwa akashindwa kukataa kwani mwenye crusier ni mwanaume zaidi yake. Anadefine mwanaume kwa namna tofauti kabisa na namna wanaume tunavyodefine neno mwanaume.
GARI NI RESOURCE YA KURAHISISHA UZALISHAJI WA KUIHUDUMIA FAMILIA. GARI HAINA JINSIA.
NINA GARI TATU, NA NIKIWA MJINI BABYWALKER IS WHAT I DRIVE SABABU YA FLEXIBILITY. V SHAPE ENGINES NATUMIA SAFARINI NA KAZI ZA NJE YA MIJI TU.
Kumbe Toyota wanadesign gari fulani kwa ajili ya wanawake na design fulani kwa wanaume tuu.Ndugu zangu
Inakuwaje mwanaume mzima anaendesha ka baby Walker?
Yaani jibaba nene linatumia kigari cha mkewe? Huoni aibu? Si bora hata upande daladala?
Hata Bashite alisema wazi vi gari vya IST ni vigari vya kuhongwa wewe mwanaume huoni aibu?
Hii tabia walikuwa nayo wanaume wa Kinondoni, ila sasa wameambukiza na wa mikoani..
Aibu sana
Japo mimi ni masikini sana, lakini kwa kweli kuna vigari ni vya kike.
Kigari kiko kama toroli lililoezekwa bati! Hapana aisee....
Kama una pesa nunua gari yenye nguvu....... Kama hauna pia sio mbaya kuwa na IST. Maisha ni kuchagua.
Lakini penye ukweli pasemwe tu!
Tugari tudogo dogo twa kichina kama IST ni twa kike!
Kuna mashine nzito ukiiona tu unasema kweli hii ni GARII.....