Wimbi la vijana wengi kutembelea gari za kike

Wimbi la vijana wengi kutembelea gari za kike

Japo mimi ni masikini sana, lakini kwa kweli kuna vigari ni vya kike.

Kigari kiko kama toroli lililoezekwa bati! Hapana aisee....

Kama una pesa nunua gari yenye nguvu....... Kama hauna pia sio mbaya kuwa na IST. Maisha ni kuchagua.

Lakini penye ukweli pasemwe tu!

Tugari tudogo dogo kama IST ni twa kike!

Kuna mashine nzito ukiiona tu unasema kweli hii ni GARII.....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila daddie bhana lol
 
Ukiichunguza vizuri IST ina sehemu ya kuhifadhia PAD, na sehemu ya dharula kwa kina mama! siku zao zikiwatokea ghafla !! chini ya viti vile pale kuna mambo yana fanyika km kufyonza hivi! tena waweza unganisha na chupi malum za IST.

Viti Vile viti vya Ist vimeundwa maalum kwa ajili ya matako ya kina mama! kunyonya na kukausha chochote kikimtokea chini ya makalio mfano wamama wengine wanaweza hata kukojoa wakiwa wamekaa vile vile!

sababu kubwa wamama wengi ni waoga hasa wakipata ajali wanajikojoleaga sana hapo hapo na ghafla some times hii inawapelekea kuibiwa mali zao! hawajui kutafuta suruhu ya haraka wanaweza pia kufa wakimgonga mtu! au kuingia mtaroni ndo myoyo yao ilivo!

ndo maana kina baba wengi wakiendesha saaana Ist wanakuwa na makalio makavu meusi km yamechomeka hivi chunguza! Madaktari mtu saidie hapa! yaani utajua tu huyu jamaa aliendesha sana Ist.pia huleta uhanithi!

sababu kubwa ya wababa kuwa hivi miili yao haina mafuta mafuta na hawapakagi mafuta mwilini, in long run makalio yanakuwa meusi faida nyingine ni hii

stelling ya ist ina sehehmu ya kuhifadhia maziwa km kuna ajali, viti maalum kwa ajili ya watoto wadogo! kapu la sokoni, havina mwendo mkali. siyo rahisi kushika moto! wkt kina baba wanaendesha gari km mashindano ist hkn hiyo!
Duuuuh hatareeeeeh sana, cc Yna2 njoo soma hapa upate Elimu zaidi.
 
Ndugu zangu

Inakuwaje mwanaume mzima anaendesha ka baby Walker?

Yaani jibaba nene linatumia kigari cha mkewe? Huoni aibu? Si bora hata upande daladala?

Hata Bashite alisema wazi vi gari vya IST ni vigari vya kuhongwa wewe mwanaume huoni aibu?

Hii tabia walikuwa nayo wanaume wa Kinondoni, ila sasa wameambukiza na wa mikoani..

Aibu sana
Tujulishe aina ya kike na kiume,yanatengenezwa yakiwa na jinsia au za kupewa na sisi.
 
Ukiichunguza vizuri IST ina sehemu ya kuhifadhia PAD, na sehemu ya dharula kwa kina mama! siku zao zikiwatokea ghafla !! chini ya viti vile pale kuna mambo yana fanyika km kufyonza hivi! tena waweza unganisha na chupi malum za IST.

Viti Vile viti vya Ist vimeundwa maalum kwa ajili ya matako ya kina mama! kunyonya na kukausha chochote kikimtokea chini ya makalio mfano wamama wengine wanaweza hata kukojoa wakiwa wamekaa vile vile!

sababu kubwa wamama wengi ni waoga hasa wakipata ajali wanajikojoleaga sana hapo hapo na ghafla some times hii inawapelekea kuibiwa mali zao! hawajui kutafuta suruhu ya haraka wanaweza pia kufa wakimgonga mtu! au kuingia mtaroni ndo myoyo yao ilivo!

ndo maana kina baba wengi wakiendesha saaana Ist wanakuwa na makalio makavu meusi km yamechomeka hivi chunguza! Madaktari mtu saidie hapa! yaani utajua tu huyu jamaa aliendesha sana Ist.pia huleta uhanithi!

sababu kubwa ya wababa kuwa hivi miili yao haina mafuta mafuta na hawapakagi mafuta mwilini, in long run makalio yanakuwa meusi faida nyingine ni hii

stelling ya ist ina sehehmu ya kuhifadhia maziwa km kuna ajali, viti maalum kwa ajili ya watoto wadogo! kapu la sokoni, havina mwendo mkali. siyo rahisi kushika moto! wkt kina baba wanaendesha gari km mashindano ist hkn hiyo!
Nisamehe sana kwa nililokuwazia. Usiwe na perception hiyo kwa wanawake. Upo duniani kwa sababu yupo mwanamke mmoja alikutana na mwanaume ukazaliwa. Waonyeshe heshima mkuu.
 
Unanunua gari kubwa halafu unavuta moshi wa magari ya wenzako si ubure huo.yaani ni kutembelea madirisha wazi.ukiingia kwenye gari ni vumbi tupu.
Tukija kwenye foleni tunapenya tunakuacha .
 
Hey buddy, how old are you?

The key thing is to get one you can afford to maintain and fuel given your financial status.
 
Kuna shoga angu alikuwa anagombana na mfanyakazi mwenzie kazini ( huyo mwenzie Ana gari).

Katika kubwatuzana yule shoga angu akaropoka " unaringia hicho kigari.....wakati hilo ni kaburi tu..mnajifanya matajiri mnanunua makaburi".

Wakati yeye anapanda daladala Kila siku.

Nilivyosoma hii thread nimemkumbuka shoga yangu.

Maneno ya mkosaji!!!
Hahahahahahah masikini Wana wivu mbaya sana

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Hebu tutajie basi hayo magari ya kike na kiume ili tujue tununue magari gani wajameni
 
Ukiichunguza vizuri IST ina sehemu ya kuhifadhia PAD, na sehemu ya dharula kwa kina mama! siku zao zikiwatokea ghafla !! chini ya viti vile pale kuna mambo yana fanyika km kufyonza hivi! tena waweza unganisha na chupi malum za IST.

Viti Vile viti vya Ist vimeundwa maalum kwa ajili ya matako ya kina mama! kunyonya na kukausha chochote kikimtokea chini ya makalio mfano wamama wengine wanaweza hata kukojoa wakiwa wamekaa vile vile!

sababu kubwa wamama wengi ni waoga hasa wakipata ajali wanajikojoleaga sana hapo hapo na ghafla some times hii inawapelekea kuibiwa mali zao! hawajui kutafuta suruhu ya haraka wanaweza pia kufa wakimgonga mtu! au kuingia mtaroni ndo myoyo yao ilivo!

ndo maana kina baba wengi wakiendesha saaana Ist wanakuwa na makalio makavu meusi km yamechomeka hivi chunguza! Madaktari mtu saidie hapa! yaani utajua tu huyu jamaa aliendesha sana Ist.pia huleta uhanithi!

sababu kubwa ya wababa kuwa hivi miili yao haina mafuta mafuta na hawapakagi mafuta mwilini, in long run makalio yanakuwa meusi faida nyingine ni hii

stelling ya ist ina sehehmu ya kuhifadhia maziwa km kuna ajali, viti maalum kwa ajili ya watoto wadogo! kapu la sokoni, havina mwendo mkali. siyo rahisi kushika moto! wkt kina baba wanaendesha gari km mashindano ist hkn hiyo!
[emoji23][emoji23][emoji23] nitajaribu kuchunguza hizo IST tuone kama lisemwalo lipo
 
Watakwambia azili mafuta.
Wanahesabu zao wenyewe wanapigaga"1lt/15km
"Alafu vile mjini parking ni shida,so ukiwa na hatchback ni rahisi kupata nafasi.

Aiwezekani kubwa zima na vinyweleo kibao kifuani alafu unang'ang'ana na Passo sijui,Ist,Vitz wakati izo ni gari za mabinti tena mabikira.
 
UPUMBAVU MTUPU! Sasa mbona anadai ulikuwa ni utani? 😳😳😳
Kwann unashikwa na hasira. Mleta mada Asikuumize kichwa wala kukupa hasira, hana madhara, ni mwanaume mwenye tatizo la udhaifu wa jinsia( Hali ya kuhisi kuna wanaume zaidi yako somewhere somehow kutokana na pesa au mali).

Kwake kipimo cha kuwa mwanaume pia ni aina ya gari unaloendesha, anapokosa gari ni bora apande daladala kuliko kuwa na IST maana anaogopa cruiser isije akatongozwa akashindwa kukataa kwani mwenye crusier ni mwanaume zaidi yake. Anadefine mwanaume kwa namna tofauti kabisa na namna wanaume tunavyodefine neno mwanaume.

GARI NI RESOURCE YA KURAHISISHA UZALISHAJI WA KUIHUDUMIA FAMILIA. GARI HAINA JINSIA.

NINA GARI TATU, NA NIKIWA MJINI BABYWALKER IS WHAT I DRIVE SABABU YA FLEXIBILITY. V SHAPE ENGINES NATUMIA SAFARINI NA KAZI ZA NJE YA MIJI TU.
 
Ndugu zangu

Inakuwaje mwanaume mzima anaendesha ka baby Walker?

Yaani jibaba nene linatumia kigari cha mkewe? Huoni aibu? Si bora hata upande daladala?

Hata Bashite alisema wazi vi gari vya IST ni vigari vya kuhongwa wewe mwanaume huoni aibu?

Hii tabia walikuwa nayo wanaume wa Kinondoni, ila sasa wameambukiza na wa mikoani..

Aibu sana
Kumbe Toyota wanadesign gari fulani kwa ajili ya wanawake na design fulani kwa wanaume tuu.

Tusio na uwezo mnataka tutembelee power tillers 😠
 
Japo mimi ni masikini sana, lakini kwa kweli kuna vigari ni vya kike.

Kigari kiko kama toroli lililoezekwa bati! Hapana aisee....

Kama una pesa nunua gari yenye nguvu....... Kama hauna pia sio mbaya kuwa na IST. Maisha ni kuchagua.

Lakini penye ukweli pasemwe tu!

Tugari tudogo dogo twa kichina kama IST ni twa kike!

Kuna mashine nzito ukiiona tu unasema kweli hii ni GARII.....

Kuna wakati zijuwi huwa watu wanafukilia nn....
Ivi aliekuambia anaestahili kuendesha gari dogo ni mwanamke pekee ni nan?????
Mbna kuna vitu hao unaotaka wawe wa magari madogo wananafanya mambo makubwa zaidi ya wanaume.... chamsingi ni kipato chako ndo kitakuweka kwenye position unayotakiwa....
 
Back
Top Bottom