Range na Nisan PatrolKwani gari za wanaume ni zipi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Range na Nisan PatrolKwani gari za wanaume ni zipi
Mkuu inaonekana wewe na Mimi tumeenda sawa kabisa tumeelewanaRange na Nisan Patrol
Kuna namna nyingi sana za kuonesha ujinga. Nadhani hii ni mojawapoNdugu zangu
Inakuwaje mwanaume mzima anaendesha ka baby Walker?
Yaani jibaba nene linatumia kigari cha mkewe? Huoni aibu? Si bora hata upande daladala?
Hata Bashite alisema wazi vi gari vya IST ni vigari vya kuhongwa wewe mwanaume huoni aibu?
Hii tabia walikuwa nayo wanaume wa Kinondoni, ila sasa wameambukiza na wa mikoani..
Aibu sana
Exposure yako ndogo sana mkuu, kama wewe ni jinsia ya kiume basi ni tatizo. Ungelikuwa umeitembea hii dunia japo kidogo usingeandika ulichoandika. Wewe na mtoa mada bado hamjakua kama rafiki yenu Makonda.Bonge la mtu,kitambi kule na suti kuubwa,anachomoza kwenye IST...
Wewe ushamba unakusumbua. Mataifa yote yaliyoendelea asiliamia kubwa ndiyo magari yao.Wazee hapa always mnajigamba sana kwamba kila mwanaume ana gari kumbe gari zenyewe ni IST?
Poleni sana japo nimewashambulia sanaaa
Jaamaa katibua watu na wamekubali kutibuliwa
Ndio gari Watanzania wanazimudu sasaBonge la mtu,kitambi kule na suti kuubwa,anachomoza kwenye IST...
Mkuu tuwapuuze hawa vijana maana hawajui hali ya maisha kitaa ilivyo ngumu🤣🤣🤣Kuna namna nyingi sana za kuonesha ujinga. Nadhani hii ni mojawapo
Usifoke sana bro... kuwa na IST sio dhambi.Watanzania kuna mahala tumerogwa,ndio maana wanasiasa ni rahisi sana kututeka na kututawala vile watakavyo,ksbb ni mijitu haijielewi ni kitu gani inataka. Huyu nae aliefungue tred ukute nae,ana digree au diproma kwa utumbo huu. Ni Tanzania tu utaona kuna watu wamechambua magari kijinsia. Halafu ukute hata toroli huna,huku unajifanya una hela za V8,mbweha we. Kwa bashite kweli ndio umeona unaweza kupata maneno?
Ah ah ah kweli mkuu asitufokee, mtu unanunua gari kama kiatu cha mtoto!Usifoke sana bro... kuwa na IST sio dhambi.
🤣Kuna shoga angu alikuwa anagombana na mfanyakazi mwenzie kazini ( huyo mwenzie Ana gari)
Katika kubwatuzana yule shoga angu akaropoka " unaringia hicho kigari.....wakati hilo ni kaburi tu..mnajifanya matajiri mnanunua makaburi"
Wakati yeye anapanda daladala Kila siku.
Nilivyosoma hii thread nimemkumbuka shoga yangu..
Maneno ya mkosaji!!!
Usinielewe vibaya mkuu,mimi sijapondea kuwa ni vigari vya kike,nimesemea tu jinsi mtu wa aina hiyo akiwa anatoka kwenye hiyo aina ya gari huwa hapendezi kiukweli,lakini kama nguvu yake ndio ilipoishia anunue tu,cha muhimu na yeye anaenda akiwa amekaa...Exposure yako ndogo sana mkuu, kama wewe ni jinsia ya kiume basi ni tatizo. Ungelikuwa umeitembea hii dunia japo kidogo usingeandika ulichoandika. Wewe na mtoa mada bado hamjakua kama rafiki yenu Makonda.
🤣 🤣 🤣 hakika mkuu. Kutokana na hali ya kiuchumi kubadilika, raia wengi kwa sasa wanakimbilia kununua na kutumia magari ambayo ni fuel economic (yenye injini ndogo). Kwa maana hii, magari kama IST, Passo, Vitz, Suzuki Swift, Premio, Corona, Carina TI na Pajero Mini yanakuwa dili sana. Kwa nini uhangaike na injini kubwa kama ndogo zipo> Sawa hawa wanaoishi kwa wazazi wao ndio wanaoponda hizi gazi na kuita za kike. Ni pumbavu wa hali ya juu sana. Unless kama kaandika ni JOKESMkuu tuwapuuze hawa vijana maana hawajui hali ya maisha kitaa ilivyo ngumu🤣🤣🤣
Sina hata moja aina hiyo mkuu. Na sijafoka. Naona tu kuna wimbi ka watu wengi kujiona wanamiliki hela,huku mitaani wakilalamikia ugumu wa maishaUsifoke sana bro... kuwa na IST sio dhambi.
Duh....Ndugu zangu
Inakuwaje mwanaume mzima anaendesha ka baby Walker?.....