Wanawake wanaishi leo wakati wanaume tunaishi keshoLimeibuka wimbi kubwa la wanawake wanatumia mikorogo mikali wakijidai ni vipodozi vya kisasa
Yaani hao wauzaji wameiva kama mapapai.yaani wanawake sie
Mungu akituweka miaka mitano tutajionea maajabu
Wamuulize luiza mbutu na dotinata
Ngoja nijipikie mafuta yangu ya nazi nipake usoni
Na ya mkia WA kondoo napaka makalio na sehemu za Siri
Ya ng'ombe miguuni na kichwani .siwezi kuingia uzeeni kizembe na ngozi iliyoungua kwa kweli
Hello dear vipi kuhusu fair and white gold no. 2 Ina maajabu ganiAnakosea
Sunscreen ni kwa ajili ya kulinda ngozi na haina uhusiano na umri.
Kuna mpaka sunscreen za watoto.
Serum nazo hazihusiani na umri labda kwa serum zenye Retinol(wanapendekeza kuanza kutumika kwa wenye miaka 30 kwenda juu) kwa sababu ya kazi yake katika ngozi.
Katika vipodozi watu wanashindwa kutofautisha Myth(wazo binafsi la mtu)
Na Facts(matokeo ya uchunguzi wa kisayansi).
Inashift one two shades kulingana na ngozi yakoHello dear vipi kuhusu fair and white gold no. 2 Ina maajabu gani
Uko sahihi mitazamo ya wanawake wanawaza matokeo ya haraka na uvumilivu kwao ni msamiati mgumuWanawake wanaishi leo wakati wanaume tunaishi kesho
Asante dearInashift one two shades kulingana na ngozi yako
Japo wengine wanabakia hivyo hivyo with a glowming skin.
UremboYaani hivi lens ya jicho inaongeza nini?