Wimbi la wanawake wanatumia vipodozi vikali nchini, hali itakuwa mbaya miaka mitano ijayo

Wanawake wanaishi leo wakati wanaume tunaishi kesho
 
Hello dear vipi kuhusu fair and white gold no. 2 Ina maajabu gani
 
Halafu wengi wa watumia vipodozi wanakuwa kama vichekesho kwa muonekano wao
 
Dar es salaam asilimia kubwa ya wanawake ni weupe yaan naeza tembea Kila dakika mbili napishana na dada mweupe khaaa Kwan hayo maji ya bahat yanabadilisha ama😀
Halafu mikorogo na joto ni vitu viwili tofaut utakuta mtu anatoka harufu Kali kama mzoga uliochomwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…