Wimbo bora wa kwaya wa siku zote (Best of all times)

Wimbo bora wa kwaya wa siku zote (Best of all times)

Wimbo wangu Bora kbs,huwa unanikumbusha mbali Sana kipindi nikiwa mdogo
Umenikumbusha mbali sana
Imebidi niingie youtube kuusikiliza

🎶"Sauti iiii, sauti iii, Sauti iiii, Sauti ikatoooka..Huyu ni mwanangu mpendwa msikilizeni, atakayowafundisha nayashikeni" 🎶
 
Hawa jamaa kwenye hizi kwaya walikuwa wataalamu vibaya mno, yaani unakuta vyombo vinakung'utwa mpka roho yako inasuuzika.
Hii Lulu yaani daah.
Naomba kuwajua hasa huyu wa Lulu.

Yesu nipeleke kule kwa baba nikaishi naye kule mbinguni kwenye mji wa lulu na milango ya dhahabu
Yesu nipeleke kule kwa baba nikaishi naye kule mbinguni kwenye mji wa lulu na milango ya dhahabu
Oooooh.. Oooooh lulu..
Ooooh... Ooooh lulu
Ooooh Lulu...
Iko mbinguni
Ooooooh.... mmmmm...
Kweli ndani ya Yesu, Kuna raha ya ajabu isiyo na mwisho
kweli jamani mmmmmmm!
Yesu nakuomba nipe nguvu nikutumikie humu ulimwenguni kabla ya siku zangu hazijaisha..
Yesu nakuomba nipe nguvu nikutumikie humu ulimwenguni kabla ya siku zangu hazijaisha..
Oooooh... Ooooooh Lulu...
Ooooh... Oooooh Lulu
Oooooh Lulu...
iko mbinguni
Ooooooh.... mmmmm...
Kweli ndani ya Yesu, Kuna raha ya ajabu isiyo na mwisho
kweli jamani mmmmmmm!
 
Yesu nipeleke kule kwa baba nikaishi naye kule mbinguni kwenye mji wa lulu na milango ya dhahabu
Yesu nipeleke kule kwa baba nikaishi naye kule mbinguni kwenye mji wa lulu na milango ya dhahabu
Oooooh.. Oooooh lulu..
Ooooh... Ooooh lulu
Ooooh Lulu...
Iko mbinguni
Ooooooh.... mmmmm...
Kweli ndani ya Yesu, Kuna raha ya ajabu isiyo na mwisho
kweli jamani mmmmmmm!
Yesu nakuomba nipe nguvu nikutumikie humu ulimwenguni kabla ya siku zangu hazijaisha..
Yesu nakuomba nipe nguvu nikutumikie humu ulimwenguni kabla ya siku zangu hazijaisha..
Oooooh... Ooooooh Lulu...
Ooooh... Oooooh Lulu
Oooooh Lulu...
iko mbinguni
Ooooooh.... mmmmm...
Kweli ndani ya Yesu, Kuna raha ya ajabu isiyo na mwisho
kweli jamani mmmmmmm!
Kazi safi sana napenda kumjua mwamba aliyecharaza guitar..
 
Kutokana na janga la corona Mwaka jana hakukuwa na Kantate wala Reformation, mwaka huu kantate kila kwaya zilifanya katika usharika wake, Reformation ipo sisi wa DMP - jimbo la kaskazini tunashindana mwezi huu mwishoni
SAFI SANA.
 
Mwana mpotevu imenikumbusha enzi za utoto mbali sana
Wakati Beatrice Muhone mbichii

Huo wimbo unanikumbusha yule mrembo Herieth na sauti yake pamoja na steps pale.

Btw, nlikuwa nampenda sana lkn nlikuwa Dogo Sanaa.
 
Huu wimbo hua unanikumbusha mama yangu aise, alikua akitwanga mpunga anakua anauimba sana. Nikimmiss hua nauimba huu.

Nyimbo zangu pendwa ambazo sio za kikatoliki
  • Ninamjua aliyeniweka duniani
  • Katika njia ya injili
  • Safari ya mbinguni (kkkt kimara)
  • Upendo SDA
Naomba huu wimbo wa ninamjua aliyeniweka duniani.
Nadhani ni Mabibo Moravian.
 
John Lisu_Nijaze

Sara K_Mnyunyizi

Ambwene Mwasongwe _Misuli ya Imani&Bwana aliomba
Mbarikiwa Mwakipesile_Kazi yangu ikiisha
Ann Annie_Tunaye Mungu

Addo November_Utabaki kuwa Mungu

Fanuel Sedekia_Manukato&Rafiki

Aic Shinyanga_Fimbo ya Musa&Bwana kaniambia & Bwana Yesu akupenda

Bahati Bukuku_Mapito

Rose Mhando_Ndivyo ulivyo & Mteule uwe macho

Jangalason_Kanyumba Kadogo

Neema Gospel Choir(Aic Chang'ombe)_Dunia imechafuka &Urudi &Fufua &Yesu alikuja

Efatha Choir Moravian Uhuru_Usalama
The Reapers _Ninaye rafiki &Umestahili

KKKT kijitonyama _E baba &Kwa neema &Toyelelo & Naburudika .

Kijitonyama Upendo Group_Pa salama & njooni tusemezane &Njooni kwangu &Jina lako li hai & Boriti &Mungu wa ushindi &Yesu ni yeye Yule & Mungu anakupenda

Dr Ipyana Kibona_Hata hili litapita & wanishangaza.

Tumaini Choir _ilikuwa alfajiri

Kilimanjaro Revival Choir _Agape

Kinondoni Revival Choir _mtu wa nne &kwanini wataka kujiua
&It is a new season.


Jackson Benty _Baba yangu



Hizi ni kwa uchache mno.
Kuna gospel songs nyingi mno mno na nzuri.


Mtoni Avangelical _Lulu,&Around the Corner.
 
Enzi hizo kuna Mzee wa kuitwa: Cosmas Chidimule (huyu wengi mnamjua kutokea Mlimani Park Orchestra) na Modest Morgan(aliyeimba Hakuna Mungu Kama Wewe original version). Heshima kwao walitendea haki sauti walizotunukiwa na Mungu.
 
Muungano kwaya (Adventist) - Natembea mimi ni Marehemu

St.James/Tumaini kwaya Arusha /Shangilieni - Habari ya Mwana mpotevu, Nuhu, Nakulilia Jehova etc.

- Kijitonyama Upendo group - Hakuna Mungu kama wewe, BamBam, Masiya Wanyi, Hakuna Mwanaume kama Yesu etc.
Sure
 
Back
Top Bottom