Wimbo bora wa kwaya wa siku zote (Best of all times)

Wimbo bora wa kwaya wa siku zote (Best of all times)

Uzi umenibariki sana, keep it up guys. Endeleeni kushusha majina ya nyimbo.
 
Kwaya ya uinjilisti UVUKE ya Dodoma KANISA KUU ANGLICAN....
*[emoji445]HAKUNA KAMA WEWE MUNGU[emoji445].{Mwl Javan Rupia}

*[emoji444]ITENGENEZENI NJIA YA BWANA[emoji444].{Mwl Baraka chilongani}...R.I.P

*[emoji444]HATIMAYE MZIDI KUWA HODARI[emoji444]{by Mwl Baraka Chilongani }--R.I.P

*[emoji444]ASIFIWE BWANA[emoji444]{by Mwl Fadhiri Chibago.}

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Muungano kwaya (Adventist) - Natembea mimi ni Marehemu

St.James/Tumaini kwaya Arusha /Shangilieni - Habari ya Mwana mpotevu, Nuhu, Nakulilia Jehova etc.

- Kijitonyama Upendo group - Hakuna Mungu kama wewe, BamBam, Masiya Wanyi, Hakuna Mwanaume kama Yesu etc.,
Kijitonyama uinjilisti-Bado lipo tumaini huu wimbo unanikumbusha wakati wa corona
 
Shaloom wakuu,

Tasnia ya muziki wa injili kwa vikundi vya kwaya hapa Tanzania ni tasnia kongwe na iliyotawala zaidi kwenye chati za nyimbo za dini ya Kikristo mpaka ilipofikia miaka ya 2000's ambapo walianza kuibuka waimbaji wa kujitegemea wa nyimbo za injili na kwa wingi wao imepelekea umaarufu wa vikundi na nyimbo za kwaya kushuka kwa miaka ya karibuni.

Binafsi ni mpenzi mkubwa wa nyimbo za kwaya toka miaka hiyo mpaka sasa na leo niliamka nikiwaza ni nyimbo gani ya injili ya kwaya ambayo tunaweza kusema ndio nyimbo bora zaidi kupata kutengenezwa/kuimbwa hapa Tanzania toka mziki huu uanzishwe.

Naomba mnisaidie kuchagua namba moja kwenye list ya nyimbo za kwaya ninazoona ziliwahi kutikisa sana tasnia ya nyimbo za injili na wewe pia unaweza kuongezea chaguo lako kama unaona haipo kwenye orodha hiyo;

1. Tabata Menonite - Kunyata nyata
2. AIC Makongoro- Utumwa wa waisrael & Kekundu
3. Mtoni Evangelical- Lulu
4. Bethel Gospel - Yupo Mungu
5. Barabara ya 13- Samson na Delila
6. Mapigano Ulyankuru- Katika viumbe vyote & Goliati & Fahari ya vijana
7. Nkinga choir - Sauli wanitesa
8. KKKT Mabibo - Nijaposema kwa lugha & Sauti ikatoka.
9. AIC Chang'ombe - Gusa
10. Zablon Singers - Mkono wa Bwana
11. Jerusalem choir - Kesho ni yako
12. Kijitonyama uinjilisti - Hakuna Mungu kama wewe & Simba wa Yuda
13. Pastor Alex & Mary Atieno - Sodoma na Gomorrah
14. Eternal life gospel - Sio sisi
15. Mtakatifu Kizito Makuburi - Mimina & Yesu ni mwema
16. Mt. Theresia Matogoro - I love you
17. Kapotive star- Nimeonja pendo lako
18. Arusha town - Kila mtu na mzigo wake
19. Tafes (Ardhi)- Maserafi
20. Essence of worship- Mimi siwezi
21. The reapers - Ninaye rafiki
22. Muungano choir- Natembea mimi ni marehemu.
23. Mt Kizito- Watoto wa nyumba zote

Karibuni.
Imependeza sana
 
Muungano kwaya (Adventist) - Natembea mimi ni Marehemu

St.James/Tumaini kwaya Arusha /Shangilieni - Habari ya Mwana mpotevu, Nuhu, Nakulilia Jehova etc.

- Kijitonyama Upendo group - Hakuna Mungu kama wewe, BamBam, Masiya Wanyi, Hakuna Mwanaume kama Yesu etc.

Tumaini [emoji91][emoji91][emoji91]
 
Wakongwe na wahenga mnaupuga mwingi sana ktk Uzi huu💪
 
Wakongwe na wahenga mnaupuga mwingi sana ktk Uzi huu[emoji123]

Mkuu nimezaliwa kwenye 90’s ila nikawa nasikia nyimbo zao asee Tumaini mwaya Arusha wananibariki sana

Kama ni mpenzi wa nyimbo za dini hapa nyumbani lazima uwajue hawachuji

Majuu namkubali Kirk Franklin na Darlene wa hill song though kastaafu kuimba
 
Hawa kinondoni revival choir Kuna wimbo wanaimba "talila talila ta" sikumbuki jina la wimbo huo.Ansyekumbuka anambie.Unanikumbusha enz za rediocassete
Unaitwa nakushukuru mungu
 
Kwangu mm hii ndio list bora
  1. Beatrice Muhone-Habari njema
  2. Mtoni Evangelical Choir-haleluya
  3. Natembea Marehemu Muungano Christian Choir
  4. Pillars of Faith_Jua Litue
  5. Usifurahi Juu Yangu ya Upendo Nkone
  6. Mungu yu mwema
  7. Magena main youth choir -mamlaka
  8. jina la yesu kinondoni revival
WE UNAAMBIWA KWAYA!
 
8. Kkkt mabibo sauti ikatoka

[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Kuna wimbo unaohusu mavuno ; ni wa miaka mingi 1990+ au nyuma kidogo.

Sijui kama kuna mtu anaufahamu huo wimbo na kwaya iliyoimba
 
Back
Top Bottom