Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Naomba huu wimbo wa ninamjua aliyeniweka duniani.
Nadhani ni Mabibo Moravian.
EwaaNinamjua aliyeniweka duniani
Hata iweje sitomuacha Bwana wangu
Amenivusha kwenye shida majaribu
Ni hakika, nashangilia ushindi
Mweeh mwenyewe sina. Kuna huo uzi, ngoja niendelee kuusakaEwaa
Huohuo
Hii album nzima nikiipata nitashukuru.
Ongezea Twaokolewa Kwa neemaLakini hapo KKKT Kijitonyama umewakazia hebu rejea hizi
1)eyawe simbanga
2)simba wa Yuda
3)msalaba wa yesu
4)hakuna mwanaume kama yesu
5)ndani ya safina
Kama unapenda kusikiliza vyombo vya mziki hebu sikiliza hizo kitu ni habari nyingine kabisa
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Kijitonyama uinjilisti-Bado lipo tumaini huu wimbo unanikumbusha wakati wa coronaMuungano kwaya (Adventist) - Natembea mimi ni Marehemu
St.James/Tumaini kwaya Arusha /Shangilieni - Habari ya Mwana mpotevu, Nuhu, Nakulilia Jehova etc.
- Kijitonyama Upendo group - Hakuna Mungu kama wewe, BamBam, Masiya Wanyi, Hakuna Mwanaume kama Yesu etc.,
Imependeza sanaShaloom wakuu,
Tasnia ya muziki wa injili kwa vikundi vya kwaya hapa Tanzania ni tasnia kongwe na iliyotawala zaidi kwenye chati za nyimbo za dini ya Kikristo mpaka ilipofikia miaka ya 2000's ambapo walianza kuibuka waimbaji wa kujitegemea wa nyimbo za injili na kwa wingi wao imepelekea umaarufu wa vikundi na nyimbo za kwaya kushuka kwa miaka ya karibuni.
Binafsi ni mpenzi mkubwa wa nyimbo za kwaya toka miaka hiyo mpaka sasa na leo niliamka nikiwaza ni nyimbo gani ya injili ya kwaya ambayo tunaweza kusema ndio nyimbo bora zaidi kupata kutengenezwa/kuimbwa hapa Tanzania toka mziki huu uanzishwe.
Naomba mnisaidie kuchagua namba moja kwenye list ya nyimbo za kwaya ninazoona ziliwahi kutikisa sana tasnia ya nyimbo za injili na wewe pia unaweza kuongezea chaguo lako kama unaona haipo kwenye orodha hiyo;
1. Tabata Menonite - Kunyata nyata
2. AIC Makongoro- Utumwa wa waisrael & Kekundu
3. Mtoni Evangelical- Lulu
4. Bethel Gospel - Yupo Mungu
5. Barabara ya 13- Samson na Delila
6. Mapigano Ulyankuru- Katika viumbe vyote & Goliati & Fahari ya vijana
7. Nkinga choir - Sauli wanitesa
8. KKKT Mabibo - Nijaposema kwa lugha & Sauti ikatoka.
9. AIC Chang'ombe - Gusa
10. Zablon Singers - Mkono wa Bwana
11. Jerusalem choir - Kesho ni yako
12. Kijitonyama uinjilisti - Hakuna Mungu kama wewe & Simba wa Yuda
13. Pastor Alex & Mary Atieno - Sodoma na Gomorrah
14. Eternal life gospel - Sio sisi
15. Mtakatifu Kizito Makuburi - Mimina & Yesu ni mwema
16. Mt. Theresia Matogoro - I love you
17. Kapotive star- Nimeonja pendo lako
18. Arusha town - Kila mtu na mzigo wake
19. Tafes (Ardhi)- Maserafi
20. Essence of worship- Mimi siwezi
21. The reapers - Ninaye rafiki
22. Muungano choir- Natembea mimi ni marehemu.
23. Mt Kizito- Watoto wa nyumba zote
Karibuni.
Muungano kwaya (Adventist) - Natembea mimi ni Marehemu
St.James/Tumaini kwaya Arusha /Shangilieni - Habari ya Mwana mpotevu, Nuhu, Nakulilia Jehova etc.
- Kijitonyama Upendo group - Hakuna Mungu kama wewe, BamBam, Masiya Wanyi, Hakuna Mwanaume kama Yesu etc.
Wakongwe na wahenga mnaupuga mwingi sana ktk Uzi huu[emoji123]
Unaitwa nakushukuru munguHawa kinondoni revival choir Kuna wimbo wanaimba "talila talila ta" sikumbuki jina la wimbo huo.Ansyekumbuka anambie.Unanikumbusha enz za rediocassete
WE UNAAMBIWA KWAYA!Kwangu mm hii ndio list bora
- Beatrice Muhone-Habari njema
- Mtoni Evangelical Choir-haleluya
- Natembea Marehemu Muungano Christian Choir
- Pillars of Faith_Jua Litue
- Usifurahi Juu Yangu ya Upendo Nkone
- Mungu yu mwema
- Magena main youth choir -mamlaka
- jina la yesu kinondoni revival