Within a fraction of a minute, amani ya taifa letu ilirejeshwa baada ya vuguvugu la CHADEMA kuzimwa

Within a fraction of a minute, amani ya taifa letu ilirejeshwa baada ya vuguvugu la CHADEMA kuzimwa

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Taifa makini hutumia cohesive apparutus inavyotakiwa. Ndio maana ya kuwa na vyombo vya usalama makini.

Panapotokea fununu ya kuvunja amani ya nchi. Basi vinaitervene kwa umakini na kudhibiti wanaotaka kuleta vurugu.

Yapata wiki tatu sasa hali ni shwari kabisa iwe kimawazo hata kimatendo.

Kama ni madai ya katiba mpya basi tutumie njia za amani na ustarabu. Sio vitisho na ubabe kana kwamba hakuna wenye mamlaka juu ya taifa letu

My take: Taifa makini huwa linadhibiti waleta vurugu on time,tuwapongeze wanaoongoza nchi.
 
Kwahiyo unasema Mbowe kabambikiziwa kesi kuzima madai ya katiba mpya?
 
Taifa makini hutumia cohesive apparutus inavyotakiwa. Ndio maana ya kuwa na vyombo vya usalama makini.

Panapotokea fununu ya kuvunja amani ya nchi. Basi vinaitervene kwa umakini na kudhibiti wanaotaka kuleta vurugu.

Yapata wiki tatu sasa hali ni shwari kabisa iwe kimawazo hata kimatendo.

Kama ni madai ya katiba mpya basi tutumie njia za amani na ustarabu. Sio vitisho na ubabe kana kwamba hakuna wenye mamlaka juu ya taifa letu

My take: Taifa makini huwa linadhibiti waleta vurugu on time,tuwapongeze wanaoongoza nchi.
Sahihi kabisa. Nchi imetulia. Tujifunze siasa za kistaarabu. Amani yetu ni MUHIMU NA LAZIMA.
 
Back
Top Bottom