Benaya-
JF-Expert Member
- Jul 31, 2019
- 4,415
- 7,631
Wewe unemiss penzi la Sabaya weweKudai katiba ilikuwa janja tu ya kuleta vurugu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unemiss penzi la Sabaya weweKudai katiba ilikuwa janja tu ya kuleta vurugu
Huyu Idugunde simlipii mahali. Wazazi wake nitawadangaya nitalipa kidogodogo, wakiniruhusu ndio imeisha hiyo.Ukiomba mchango tutakuchangia uondoe hii laana mtaani
Olewa weweKaka unatafuta bwana kwa nguvu?
Kaka unatafuta bwana kwa nguvu?
Mjane wa Sabaya una haha sana olewaKaka unatafuta bwana kwa nguvu?
Usiniite kaka kwetu hakuna jitu jhinga kama wewe uwe na adabuKaka unatafuta bwana kwa nguvu?
Ni wapi ambapo wadai katiba walifanya vurugu?Kudai katiba ilikuwa janja tu ya kuleta vurugu
Wewe unayejua ndio utueleze!Wewe huwezi kujua ulitaka mpaka ushuhudie ndio uamini.
Kesi iko mahakamani!Mashtaka kama hayo sio mara ya kwanza wapinzani kukumbana nayo!Kwani ulijua kuwa kuna watu wana mikakati ya ugaidi hapa nchini kwa muda mrefu?
Ulihudhuria kesi ya mmeo leo huko Arusha?Sawa, lakini hii ni mpya. Maana hata upelelezi umekamilika fasta.
Sio mpya,hii kesi itaisha kama zilivyoisha kesi zingine!Utasikia DPP hana nia ya kuendelea na kesi!Hapo Mbowe atakuwa ameshasota vya kutosha!Sawa, lakini hii ni mpya. Maana hata upelelezi umekamilika fasta.
Ni yangu lakini muda utaongea!Hayo yako binafsi.
Amani ni muhimu ila pia hitaji la katiba ni muhimu pia 😂!!!Sahihi kabisa. Nchi imetulia. Tujifunze siasa za kistaarabu. Amani yetu ni MUHIMU NA LAZIMA.