Within a fraction of a minute, amani ya taifa letu ilirejeshwa baada ya vuguvugu la CHADEMA kuzimwa

Muono wako hauna tofauti na waliokuwa makaburu wa Afrika kusini, nao madai na maandamano ambayo mwishowe yalizaa haki kwa watu weusi waliyaita furugu
 
Muono wako hauna tofauti na waliokuwa makaburu wa Afrika kusini, nao madai na maandamano ambayo mwishowe yalizaa haki kwa watu weusi waliyaita furugu
Acha kuwa kipofu wa kisiasa.
 
Unademka tu wewe hujui lolote kuhusu utawala na mustakabali wa nchi! Wako wapi wababe wote wa ulimwengu huu kuanzia Ghenghis Khan, Mobutu Sseseseko, Muamar Ghadafi, Sadam Hussein, Idd Amin, Mengistu Haile Mariam na Edgar Lungu mpaka kichaa mpya wenu Mwendazake?! Wote wametema tambuu kabla ya siku zao na Vuguvugu la mabadiliko linapeta! Nyau we!
 
Not relevant
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…