Wito Jeshi Letu la Polisi, Stop This Sensesionalism!. Udhalilishaji, na Kuingilia The Right to Privacy!. Kumbe PT Inafanyia Kazi Taarifa za Mitandao!

Mkuu kumbuka, hata matatizo ya kifamilia huenda ikaishia kuwa jinai.
Huyu Diwani, hata kiongozi wa juu Jijini, Mstahiki Meya Songoro , kalalamika hadharani kwa kutoonekana kiongozi mwenziwe katika Baraza la Madiwani Kinondoni.
Hiki kilikuwa kitendo cha kistaarabu kufanya.

Angekuwa amekufa ingekuwaje?
Kila mtu anajua Diwani amepotea lakini kila mtu kimya!

Hata wewe Paskali, ukipotea kipindi kirefu, tutaomba polisi wakutafute kukutoa kwenye chimbo lako.
 
Katiba hata hii ya zamani ilitakiwa iwe na kifungu cha wananchi wa eneo husika, kumwajibisha mbunge au diwani inapotokea hali kama hii,

Lakini hamna namna yoyote ya kumtoa kiongozi kama huyu mlevi, hivyo Kawe wanalazimika kusubiri mpaka 2025, Wakiongozwa na diwani chapombe
 
Mkuu kumbuka ajira za polis ni form 4 failure....hakuna haki tz
 

This shows the corruption within ccm. This guy Mutta has been a Kawe division executive for two consecutive terms, all this time it was an open secret that he had issues with drugs and yet they recommended him to the electorate to vie for the Kawe seat!! Ccm has betrayed the trust of the Kawe residents by hiding Mutta's ailment when vying for these representative political positions.
 
Sometimes bro, Acha jeshi litupe burudani kidogo, ili tozo za vifurushi ziende kihalali!

Eeeh wazinifu walevi wote na uniform zao za rangi ya majani!

Daah chama kimeshika hatamu!
 
Maoni: Taarifa imekaa na kuelemea zaidi upande wa Udhalilishwaji wa watu wawili na hasa mmoja ambaye ni Kiongozi.

Ukikaa na kusikiliza kwa makini na kurudia tena; Utagundua mengi: Machache yakiwa ni

~ Jeshi la Polisi kutumia Taarifa hii kama Harakati za 'Kuwin Back Trust' kwa Wananchi.

~ Kumuonyesha 'Mama' nini wanaweza kufanya na nini kinaendelea kwa waliochini yake, walio kwenye Chama na n.k

~ 'Honey trapping' kwa huyo Kiongozi iliyofanywa na Viongozi Wenza au Wabaya wake ili kutoka/ kuachia Madaraka kwa kujiuzulu ili kulinda Heshima yake.

~ Kumpaisha bila kujua Bidada Ashura kwa namna yeyote ile ili na yeye aweze kutamba huku wanakitambiana wale Vinara wa kutoka na Vigogo.

~ Ukandamizwaji wa Haki za Kibinadamu huku ikifunua ukikwaji wa Maadili ya Viongozi na mengine mengi tu.

Naomba kuuliza Msemaji wa Jeshi la Polisi haya hayamuhusu au ndiyo ni lazima Taarifa isemwe na Kamanda Mkuu wa Kanda Maalum?
 
Wanabodi,
Kati ya Taasisi zinazopaswa kufanya kazi kwa weledi mkubwa bila mihemuko ni Jeshi Letu la Polisi.

Kuna baadhi ya issues ambazo jeshi letu la polisi, zinazishughulikia sio issues za kipolisi, ni issues za kijamii ...

Paskali

Ushauri wako umeutoa kwa wakati mwafaka ikizingatiwa kuna kesi ya Wabunge wa viti maalumu CHADEMA kudai wamefukuzwa uanachama isivyo halali wakati inadaiwa waliigiza sahihi ya Katibu Mkuu wa chama kwenye barua ya uteuzi, na Polisi hawakuchukua hatua!!
 
Sioni kosa la PT,huyu jamaa ni kiongozi wa watu......baada ya tangazo la Meya...isingewezekana PT wampate halafu wakae kimya tu......PT wanamapungufu yao ila Kwa hili hapana,wapo sahihi kabisa
 
This is pure sensationalism, tusiruhusu sensationalism za aina hii kwenye jeshi letu la polisi.
Upo sahihi kabisa, polisi wamekosea kuingilia faragha binafsi ya mtu.

Niombe tu sasa watusaidie kujua waliko mwanaJF mwenzetu Ben R Saanane na mwandishi Azory Gwanda kama walivyomsaka na kumpata Mh Rwakatare.
Naunga mkono hoja yako, ni vyema polisi wachunguze kilichowapata hawa raia wenzetu ikiwemo wahusika wa shambulizi la Mh.Lissu kuliko kuendelea kubakia kimya
 
Sioni kosa la PT,huyu jamaa ni kiongozi wa watu......baada ya tangazo la Meya...isingewezekana PT wampate halafu wakae kimya tu......PT wanamapungufu yao ila Kwa hili hapana,wapo sahihi kabisa
Mkuu Kulikua na haja gani ya Polisi kumtaja Ashura, Umri wake, Kabila lake na Makazi yake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…