Wito Jeshi Letu la Polisi, Stop This Sensesionalism!. Udhalilishaji, na Kuingilia The Right to Privacy!. Kumbe PT Inafanyia Kazi Taarifa za Mitandao!

Wito Jeshi Letu la Polisi, Stop This Sensesionalism!. Udhalilishaji, na Kuingilia The Right to Privacy!. Kumbe PT Inafanyia Kazi Taarifa za Mitandao!

Wanabodi,
Kati ya Taasisi zinazopaswa kufanya kazi kwa weledi mkubwa bila mihemuko ni Jeshi Letu la Polisi.

Kuna baadhi ya issues ambazo jeshi letu la polisi, zinazishughulikia sio issues za kipolisi, ni issues za kijamii na kifamilia.

Kwanza msikilize Kamanda Polisi Huyu

Kisha isome taarifa hii ya Jeshi la polisi
View attachment 2237214
  1. Kazi ya Jeshi la polisi ni kulinda usalama wa raia na mali zake. Kukitokea kitisho cha usalama au mtu ametoweka hajulikani alipo, ndugu wa mhusika huripoti polisi na polisi kufanya uchunguzi.
  2. Tukio la kutoweka kwa diwani huyu, halikuripotiwa kituo chochote cha polisi na ndugu yake yoyote, bali Bosi wake, Meya wa Kinondoni alitangaza kwa waandishi wa habari kuwa Diwani hajafika kazini, na nyumbani kwake hayupo.
  3. Nianze kwa kutoa pongezi kwa Jeshi letu la Polisi, kumbe siku hizi, linazifanyia kazi taarifa za mitandaoni!. Tundu Lissu kabla hajashambuliwa alitoa taarifa kupitia vyombo vya habari, kuwa usalama wake uko mashakani, kuna gari inafuatilia, hadi akaitaja mpaka number!. Jeshi la polisi lilijibu kuwa hawafanyii kazi taarifa za vyombo vya habari, kama ni issues yoyote, Lissu akaripoti polisi ndipo jeshi la polisi lishughulikie!.
  4. Tukio la kutoweka kwa diwani huyu halikuripotiwa kituo chochote cha polisi zaidi ya vyombo vya habari, kumbe sasa jeshi letu la polisi liko makini kufuatilia taarifa za mitandao ya jamii!. Big up for this.
  5. Hakuna jinai yoyote ya mtu kutoripoti kazini, mtu asiporipoti kazini taratibu za kiofisi ndizo hutumika. Pia hakuna jinai yoyote mtu kunywa pombe, as long as hujafanya jinai yoyote. Na hakuna jinai yoyote, mtu yoyote kuhama nyumbani kwake na kuhamia mahali popote, hizi ni issues za kijamii za kifamilia.
  6. Baada ya Diwani kupatikana, kulikuwa na haja gani polisi kusema alikuwa kwa mwanamke, na kumtaja jina!, huku ni kuingilia the right to privacy.
  7. Hata kama huyu mwanamke ameripoti mtu wake alikuja akiwa amelewa, inawahusu nini polisi kuripoti?, huku ni kumchafua diwani wetu kumuonyeshea ni mlevi!.
  8. Kwa vile hakuna ndugu yoyote aliyemripoti kupotea, polisi baada ya kumkuta Tabata, walimkama kumpeleka kituoni kwa kosa gani?!. Jukumu la polisi baada ya kumpata, ilikuwa ni kumpa tuu taarifa Meya, kuwa Diwani wake yuko salama, taarifa ya polisi ingeishia kusema amepatikana, hiyo amepatikana wapi, kwa nani, jina la mwanamke hadi kabila lake na uhusiano wao wa miaka 10, ilikuwa inahusu nini?.
  9. This is pure sensationalism, tusiruhusu sensationalism za aina hii kwenye jeshi letu la polisi.
  10. Taarifa hii ni an ethical, ni udhalilishaji wa kumdhalilisha diwani wetu, taarifa hii inaingilia the right to privacy ya diwani wetu, tutabadili sheria zetu za uwakili kuruhusu kesi za pro borno, jeshi la polisi hapa linashitakiwa kwa defamation by innuendo, na mtu anashinda kesi mapema asubuhi!.
Paskali

Leo angalau hujakashifu CDM, kulikoni?
 
Wanabodi,
Kati ya Taasisi zinazopaswa kufanya kazi kwa weledi mkubwa bila mihemuko ni Jeshi Letu la Polisi.

Kuna baadhi ya issues ambazo jeshi letu la polisi, zinazishughulikia sio issues za kipolisi, ni issues za kijamii na kifamilia.

Kwanza msikilize Kamanda Polisi Huyu

Kisha isome taarifa hii ya Jeshi la polisi
View attachment 2237214
  1. Kazi ya Jeshi la polisi ni kulinda usalama wa raia na mali zake. Kukitokea kitisho cha usalama au mtu ametoweka hajulikani alipo, ndugu wa mhusika huripoti polisi na polisi kufanya uchunguzi.
  2. Tukio la kutoweka kwa diwani huyu, halikuripotiwa kituo chochote cha polisi na ndugu yake yoyote, bali Bosi wake, Meya wa Kinondoni alitangaza kwa waandishi wa habari kuwa Diwani hajafika kazini, na nyumbani kwake hayupo.
  3. Nianze kwa kutoa pongezi kwa Jeshi letu la Polisi, kumbe siku hizi, linazifanyia kazi taarifa za mitandaoni!. Tundu Lissu kabla hajashambuliwa alitoa taarifa kupitia vyombo vya habari, kuwa usalama wake uko mashakani, kuna gari inafuatilia, hadi akaitaja mpaka number!. Jeshi la polisi lilijibu kuwa hawafanyii kazi taarifa za vyombo vya habari, kama ni issues yoyote, Lissu akaripoti polisi ndipo jeshi la polisi lishughulikie!.
  4. Tukio la kutoweka kwa diwani huyu halikuripotiwa kituo chochote cha polisi zaidi ya vyombo vya habari, kumbe sasa jeshi letu la polisi liko makini kufuatilia taarifa za mitandao ya jamii!. Big up for this.
  5. Hakuna jinai yoyote ya mtu kutoripoti kazini, mtu asiporipoti kazini taratibu za kiofisi ndizo hutumika. Pia hakuna jinai yoyote mtu kunywa pombe, as long as hujafanya jinai yoyote. Na hakuna jinai yoyote, mtu yoyote kuhama nyumbani kwake na kuhamia mahali popote, hizi ni issues za kijamii za kifamilia.
  6. Baada ya Diwani kupatikana, kulikuwa na haja gani polisi kusema alikuwa kwa mwanamke, na kumtaja jina!, huku ni kuingilia the right to privacy.
  7. Hata kama huyu mwanamke ameripoti mtu wake alikuja akiwa amelewa, inawahusu nini polisi kuripoti?, huku ni kumchafua diwani wetu kumuonyeshea ni mlevi!.
  8. Kwa vile hakuna ndugu yoyote aliyemripoti kupotea, polisi baada ya kumkuta Tabata, walimkama kumpeleka kituoni kwa kosa gani?!. Jukumu la polisi baada ya kumpata, ilikuwa ni kumpa tuu taarifa Meya, kuwa Diwani wake yuko salama, taarifa ya polisi ingeishia kusema amepatikana, hiyo amepatikana wapi, kwa nani, jina la mwanamke hadi kabila lake na uhusiano wao wa miaka 10, ilikuwa inahusu nini?.
  9. This is pure sensationalism, tusiruhusu sensationalism za aina hii kwenye jeshi letu la polisi.
  10. Taarifa hii ni an ethical, ni udhalilishaji wa kumdhalilisha diwani wetu, taarifa hii inaingilia the right to privacy ya diwani wetu, tutabadili sheria zetu za uwakili kuruhusu kesi za pro borno, jeshi la polisi hapa linashitakiwa kwa defamation by innuendo, na mtu anashinda kesi mapema asubuhi!.
Paskali

Bro unafikili hawajuhi?wanajua sana walichokifanya sio sahihi,ila hapa wanajaribu kuiaminisha jamii kwamba zile kelele za jamii kuhusu utekaji na wasiojurikana sio za kweli,kwamba watu wengine,"hujiteka wenyewe"spinning tupu hapa.
 
Binafsi sijsona kosa la PT watu walishadhani kuwa wale wasiojulikana wamerudi, pili sadaka za kanisani tumejua zinapoenda, tatu kuonyesha kuwa jeshi lipo active muda wote, asante jeshi letu.

Ashura mnara tutakujengea pale tabata bima
Ama Bi Ashura aliziloweka nguo za mheshimiwa diwani kwenye beseni na akasahau kuzifua kwa wakati nini?
 
Wanabodi,
Kati ya Taasisi zinazopaswa kufanya kazi kwa weledi mkubwa bila mihemuko ni Jeshi Letu la Polisi.

Kuna baadhi ya issues ambazo jeshi letu la polisi, zinazishughulikia sio issues za kipolisi, ni issues za kijamii na kifamilia.

Kwanza msikilize Kamanda Polisi Huyu

Kisha isome taarifa hii ya Jeshi la polisi
View attachment 2237214
  1. Kazi ya Jeshi la polisi ni kulinda usalama wa raia na mali zake. Kukitokea kitisho cha usalama au mtu ametoweka hajulikani alipo, ndugu wa mhusika huripoti polisi na polisi kufanya uchunguzi.
  2. Tukio la kutoweka kwa diwani huyu, halikuripotiwa kituo chochote cha polisi na ndugu yake yoyote, bali Bosi wake, Meya wa Kinondoni alitangaza kwa waandishi wa habari kuwa Diwani hajafika kazini, na nyumbani kwake hayupo.
  3. Nianze kwa kutoa pongezi kwa Jeshi letu la Polisi, kumbe siku hizi, linazifanyia kazi taarifa za mitandaoni!. Tundu Lissu kabla hajashambuliwa alitoa taarifa kupitia vyombo vya habari, kuwa usalama wake uko mashakani, kuna gari inafuatilia, hadi akaitaja mpaka number!. Jeshi la polisi lilijibu kuwa hawafanyii kazi taarifa za vyombo vya habari, kama ni issues yoyote, Lissu akaripoti polisi ndipo jeshi la polisi lishughulikie!.
  4. Tukio la kutoweka kwa diwani huyu halikuripotiwa kituo chochote cha polisi zaidi ya vyombo vya habari, kumbe sasa jeshi letu la polisi liko makini kufuatilia taarifa za mitandao ya jamii!. Big up for this.
  5. Hakuna jinai yoyote ya mtu kutoripoti kazini, mtu asiporipoti kazini taratibu za kiofisi ndizo hutumika. Pia hakuna jinai yoyote mtu kunywa pombe, as long as hujafanya jinai yoyote. Na hakuna jinai yoyote, mtu yoyote kuhama nyumbani kwake na kuhamia mahali popote, hizi ni issues za kijamii za kifamilia.
  6. Baada ya Diwani kupatikana, kulikuwa na haja gani polisi kusema alikuwa kwa mwanamke, na kumtaja jina!, huku ni kuingilia the right to privacy.
  7. Hata kama huyu mwanamke ameripoti mtu wake alikuja akiwa amelewa, inawahusu nini polisi kuripoti?, huku ni kumchafua diwani wetu kumuonyeshea ni mlevi!.
  8. Kwa vile hakuna ndugu yoyote aliyemripoti kupotea, polisi baada ya kumkuta Tabata, walimkama kumpeleka kituoni kwa kosa gani?!. Jukumu la polisi baada ya kumpata, ilikuwa ni kumpa tuu taarifa Meya, kuwa Diwani wake yuko salama, taarifa ya polisi ingeishia kusema amepatikana, hiyo amepatikana wapi, kwa nani, jina la mwanamke hadi kabila lake na uhusiano wao wa miaka 10, ilikuwa inahusu nini?.
  9. This is pure sensationalism, tusiruhusu sensationalism za aina hii kwenye jeshi letu la polisi.
  10. Taarifa hii ni an ethical, ni udhalilishaji wa kumdhalilisha diwani wetu, taarifa hii inaingilia the right to privacy ya diwani wetu, tutabadili sheria zetu za uwakili kuruhusu kesi za pro borno, jeshi la polisi hapa linashitakiwa kwa defamation by innuendo, na mtu anashinda kesi mapema asubuhi!.
Paskali
Paskali toka Mwendazake aondoke umeanza kuongea ponti na kuacha kusifia , big up, matumaini ya uteuzi yalikurudisha nyuma
 
Pascal unashangaa nini Hili jeshi umeasisi wewe pale Moshi na kuliambia kuwa piga watu,bambikia watu Kesi,uwa watu wanaokosoa serikali , hivyo jeshi lako limekula damu za watu hivyo hiyo laana inaendelea ipo siku litakwenda kukushika ugoni nyumbani kwako, Mzee Pascal Hilo Sasa NI genge lenu miezi sita iliyopita waziri wako wa mambo ya ndani alisema tunaajiri polisi wenye elimu ndogo ili litumike kuwapiga wapinzani Sasa usilalamike utulieee
Ni jeshi la hovyo kabisa
 
Hii issue huenda ilikuwa clear. Nailinganisha na mkia wa mbuzi kila mara uko juu. Huhitaji kuuliza kama jike au dume.

Wakati Mstahiki Meya anatoa taarifa, nakumbuka kama alisema, familia yake haitoi ushirikiano. Na akasema kuwa aliyemficha amwachie. Nahdhani alijulikana alipo.

Ugumu ulitokana na unyanyapaa kwa vile ni Mchungaji na ni mtoto wa marehemu Mchugaji aliyeeshimika sana. Kwa hiyo, Polisi kama Mamlaka, iliingilia ili kusije kukatokea mabishano, may be ya kidini/kiimani kwamba mtu wao au kiongizi wao kadhalilishwa na kundi fulani la imani tofauti.
 
Binafsi sijsona kosa la PT watu walishadhani kuwa wale wasiojulikana wamerudi, pili sadaka za kanisani tumejua zinapoenda, tatu kuonyesha kuwa jeshi lipo active muda wote, asante jeshi letu.

Ashura mnara tutakujengea pale tabata bima
Ila kwa akina Azory Gwanda na Ben Saanane ulisikia walijibu nini?.
Walisema sio kazi yao, itakuwa wametoroka nyumbani kutafuta maisha na ni jambo la kawaida
 
Ila kwa akina Azory Gwanda na Ben Saanane ulisikia walijibu nini?.
Walisema sio kazi yao, itakuwa wametoroka nyumbani kutafuta maisha na ni jambo la kawaida
We vipi broo ,polisi nao wana familia zinawategemea,wangesema nini mbele ya jiwe,jiwe ndio aliwatuma,s o mlaumu jiwe sio polisi
 
Polisi wamekosea wapi? Kiongozi wa umma ametoweka bila kuaga, wananchi wake ikiwa ni pamoja na kiongozi wake wanamtafuta na wameripoti polisi, polisi wametoa mrejesho kuwa yule mtumishi wenu mliyekuwa mnamtafuta tumempata huku, kosa lao nini?

Kama unataka privacy usitafute nafasi kwenye uongozi wa umma. Ukiwa kiongozi wa umma baadhi ya hizo haki za privacy zinapotea. Ndio maana rais akifa tunaambiwa hadi ugonjwa wake! Mbona usihoji haki yake ya privacy?
hivi ww unaona sawa kabisa kuanikwa mambo yako binafsi kwenye media.je ungekuwa wewe unaanikwa mambo yako binafsi kwenye hadhara ungekubali?au mnaongea tu kwa ushabiki!
 
We vipi broo ,polisi nao wana familia zinawategemea,wangesema nini mbele ya jiwe,jiwe ndio aliwatuma,s o mlaumu jiwe sio polisi
kwani jiwe ndo chuo walichosomea.kwani kule chuoni alikuwa anafundisha jiwe au walimu wengine wenye taaluma zao,ki vipi wafuate ya mtu na wasifuate yale waliofundishwa darasani?shameful.
 
kwani jiwe ndo chuo walichosomea.kwani kule chuoni alikuwa anafundisha jiwe au walimu wengine wenye taaluma zao,ki vipi wafuate ya mtu na wasifuate yale waliofundishwa darasani?shameful.
Amiri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama,jeshini kauli ya mkubwa wako ni amri,rais akisema polisi muueni katitu utauliwa tu wala hawatauliza sababu
 
Ko
Wanabodi,
Kati ya Taasisi zinazopaswa kufanya kazi kwa weledi mkubwa bila mihemuko ni Jeshi Letu la Polisi.

Kuna baadhi ya issues ambazo jeshi letu la polisi, zinazishughulikia sio issues za kipolisi, ni issues za kijamii na kifamilia.

Kwanza msikilize Kamanda Polisi Huyu

Kisha isome taarifa hii ya Jeshi la polisi
View attachment 2237214
  1. Kazi ya Jeshi la polisi ni kulinda usalama wa raia na mali zake. Kukitokea kitisho cha usalama au mtu ametoweka hajulikani alipo, ndugu wa mhusika huripoti polisi na polisi kufanya uchunguzi.
  2. Tukio la kutoweka kwa diwani huyu, halikuripotiwa kituo chochote cha polisi na ndugu yake yoyote, bali Bosi wake, Meya wa Kinondoni alitangaza kwa waandishi wa habari kuwa Diwani hajafika kazini, na nyumbani kwake hayupo.
  3. Nianze kwa kutoa pongezi kwa Jeshi letu la Polisi, kumbe siku hizi, linazifanyia kazi taarifa za mitandaoni!. Tundu Lissu kabla hajashambuliwa alitoa taarifa kupitia vyombo vya habari, kuwa usalama wake uko mashakani, kuna gari inafuatilia, hadi akaitaja mpaka number!. Jeshi la polisi lilijibu kuwa hawafanyii kazi taarifa za vyombo vya habari, kama ni issues yoyote, Lissu akaripoti polisi ndipo jeshi la polisi lishughulikie!.
  4. Tukio la kutoweka kwa diwani huyu halikuripotiwa kituo chochote cha polisi zaidi ya vyombo vya habari, kumbe sasa jeshi letu la polisi liko makini kufuatilia taarifa za mitandao ya jamii!. Big up for this.
  5. Hakuna jinai yoyote ya mtu kutoripoti kazini, mtu asiporipoti kazini taratibu za kiofisi ndizo hutumika. Pia hakuna jinai yoyote mtu kunywa pombe, as long as hujafanya jinai yoyote. Na hakuna jinai yoyote, mtu yoyote kuhama nyumbani kwake na kuhamia mahali popote, hizi ni issues za kijamii za kifamilia.
  6. Baada ya Diwani kupatikana, kulikuwa na haja gani polisi kusema alikuwa kwa mwanamke, na kumtaja jina!, huku ni kuingilia the right to privacy.
  7. Hata kama huyu mwanamke ameripoti mtu wake alikuja akiwa amelewa, inawahusu nini polisi kuripoti?, huku ni kumchafua diwani wetu kumuonyeshea ni mlevi!.
  8. Kwa vile hakuna ndugu yoyote aliyemripoti kupotea, polisi baada ya kumkuta Tabata, walimkama kumpeleka kituoni kwa kosa gani?!. Jukumu la polisi baada ya kumpata, ilikuwa ni kumpa tuu taarifa Meya, kuwa Diwani wake yuko salama, taarifa ya polisi ingeishia kusema amepatikana, hiyo amepatikana wapi, kwa nani, jina la mwanamke hadi kabila lake na uhusiano wao wa miaka 10, ilikuwa inahusu nini?.
  9. This is pure sensationalism, tusiruhusu sensationalism za aina hii kwenye jeshi letu la polisi.
  10. Taarifa hii ni an ethical, ni udhalilishaji wa kumdhalilisha diwani wetu, taarifa hii inaingilia the right to privacy ya diwani wetu, tutabadili sheria zetu za uwakili kuruhusu kesi za pro borno, jeshi la polisi hapa linashitakiwa kwa defamation by innuendo, na mtu anashinda kesi mapema asubuhi!.
Paskali
Rejea za Mwandishi kuhusu PT
Kwenye mazuri napongeza Pongezi Jeshi la Polisi. Japo Nabii hakubaliki nyumbani, Jeshi sasa ni Sikivu, Most friendly na very hospitable
Nikiwa na maombi nayatoa Ombi Muhimu Kwa Jeshi Letu La Polisi."Nyinyi ni Wenzetu, September Mosi, Please Msigeuke Makaburu!".
Pongezi hazikosekani Jeshi la polisi likifanya vyema, lipongezwe, hongera FFU kusambaratisha maandamano bila virungu, mabomu ya machozi, risasi za moto, bila maafa!
Walipostaafu tuliwaombea kazi Wimbi la maofisa Polisi, Jeshi na Usalama wa Taifa, kustaafu kwa mpigo, sio tishio kwa usalama?
Hatukuacha kushangaa Hili la Polisi kuruhusiwa 'kuwanyanganya' silaha majambazi na kupandishwa vyeo limekaaje?
Maombi hatukuanza leo IGP Mwema, Please, Please, Please, Stop This Police Brutality!. Utampeleka JK The Hague-Part II!
Hatukukubali lichafuliwe IGP Kamanda Sirro, Usiruhusu Vifo Vya Uzembe Kama Huu Kuchafua Jeshi Letu Safi la Polisi!.
Hata wanaoligememea tuliwashauri Kamanda Lissu, Usisubiri Jibu la IGP Kuhusu Usalama Wako, Aliyekulinda na Shambulio Lile Yupo, Yeye Aweza, na Ataendelea Kukulinda, Welcome Back Home!
Linaposhindwa, tulijitolea kulisaidia Taifa linahangaika na wasiojulikana waliomshambulia Tundu Lissu! Je, ni hawa?! Mhe. Mwigulu, IGP, anzieni hapa!
Linapofanywa mbaya tunalitetea Mauaji ya Polisi wetu ni Ujambazi, Ugaidi au Retaliation? Nini kifanyike kukomesha hali hii?
Hata hapa Police Brutality in Tanzania: The World has a Right to know!


Kosa la jeshi Ni Lipi?. Meya wa manispaa katangaza hadharani diwani kapotea, ulitaka jeshi la Polisi lifanyeje?. Likae kimya au kufanya upelelezi. Jeshi limefanya upelelezi na kuja na majibu baada ya kubaini ukweli kwamba hajatekwa Bali alikuwa kwa rafiki yake.
 
Hata kupatikana kwa Mo Dewji wa Simba bado ni kitendawili jinsi alivyo tekwa na kupatikana kwake. Kikwete alituachia msemo kuwa Akili za kuambiwa changanya na zako.

Huyu hajatekwa alikuwa kwa rafiki yake. Mo alitekwa live akiwa Gym.
 
Back
Top Bottom