Nimebahatika kufanya kazi na wazungu, niliajiriwa na Taasisi ya FCO ya Uingereza, nikiwa jijini New Delhi India, nikapostiwa Ubalozi wa Uingereza, Pretoria Africa Kusini, Lilongwe Malawi, Lusaka Zambia na mwisho nikatua Jiji Dar es Salaam nikiwa ni Mshauri wa Siasa wa Balozi wa Uingereza. Kati ya makosa makubwa, mabaya na very serious offenses ni racism, segregation, bullying and intimidation, yanachukuliwa very serious!
Mtu yoyote akilalamika amakuwa segregated, au amefanyiwa bullying and intimidation, hatua ya kwanza ni huyo bully anasimamishwa kazi, inatumwa timu ya uchaguzi kutoka UK kuja kuchunguza!
It's very unfortunately Tanzania, bullying and intimidation inafanywa na viongozi wetu, na hawafanywi chochote!
Hitimisho
Natoa wito kwa serikali yetu, isiruhusu huu udhalilishaji wa bullying & Intimidation uendelee!. Mbona Rais Samia hafanyi udhalilishaji?. Hawa ma bullies na ma intimidators they should be put in their rightful places!
Wanabodi,
Nimebahatika kufanya kazi na wazungu, niliajiriwa na Taasisi ya FCO ya Uingereza, nikiwa jijini New Delhi India, nikapostiwa Ubalozi wa Uingereza, Pretoria Africa Kusini, Lilongwe Malawi, Lusaka Zambia na mwisho nikatua Jiji Dar es
No,
mbona there is no bullying or intimidations over there mkuu 🐒
every responsible civil servant, with capacity or not, anywhere within or outside the country, must be fully responsible and very aware on their roles, duties and responsibilities.
they must understand very well their job descriptions, they must be fully aware on the status of programs and projects within their areas of work etc.
there is no room, no shortcut or escape root for irresponsible civil servant on duty to hide, as we move forward in transforming the country into prosperous economically , socially and political spheres of life 🐒
kumbradhi kwa hii lugha ya malkia nimetumia, lakini hata na hivyo tunasonga kwa haraka na biidii licha ya hizo setbacks kidogo kidogo, ila nia ni kuhakikisha tumepiga hatua Fulani na kuamsha uwajibikaji na umakini wa watendaji popote walipo 🐒
Wanabodi,
Nimebahatika kufanya kazi na wazungu, niliajiriwa na Taasisi ya FCO ya Uingereza, nikiwa jijini New Delhi India, nikidators they should be put in their rightful places!
Hapo nahisi umegoogle ulichokiandika.hivi kosa la huyo engineer wa tarura ni nin?au alikuwa anataka apewe majibu anayoyataka yeye.
Hii ndio sababu kwa nini tunahitaji katiba mpya.
pascal mayalla wewe ni mnafiki mama yako si ndio aliwambia wale watoto wa kike wachezaji wa mpira vifua vyao vimekuwaje kuwaje hawafai kuolewa hiyo sio bullying au unasubiri nayeye atoke madarakani ndio uone ilikuwa bullying!?
Wanabodi,
Nimebahatika kufanya kazi na wazungu, niliajiriwa na Taasisi ya FCO ya Uingereza, nikiwa jijini New Delhi India, nikapostiwa Ubalozi wa Uingereza, Pretoria Africa Kusini, Lilongwe Malawi, Lusaka Zambia na mwisho nikatua Jiji Dar es
Hapo nahisi umegoogle ulichokiandika.hivi kosa la huyo engineer wa tarura ni nin?au alikuwa anataka apewe majibu anayoyataka yeye.
Hii ndio sababu kwa nini tunahitaji katiba mpya.
Wanabodi,
Nimebahatika kufanya kazi na wazungu, niliajiriwa na Taasisi ya FCO ya Uingereza, nikiwa jijini New Delhi India, nikapostiwa Ubalozi wa Uingereza, Pretoria Africa Kusini, Lilongwe Malawi, Lusaka Zambia na mwisho nikatua Jiji Dar es
Hii inaitwa ONDOKA USEMWE hata wewe chawa pro max wa awamu ya 5 unamsema bosi wa awamu ya 5.
Huyu Makonda na wenzie wengi wana mambo ya kishamba, kuna yule waziri eti anafanya kazi mbele ya kamera, ni vitu vya ajabu kabisa, yeye ni mahakama yeye ndio kila kitu. Sijui angefanya kimya kimya angekuwa hajafanya kazi.