Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Mimi nimezeeka na adabu zangu.Wasiwasi wako tu.Ukinizoea hupati tabu.Na muda wote ndivyo nilivyo.We kijana embu kuwa na adabu basi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nimezeeka na adabu zangu.Wasiwasi wako tu.Ukinizoea hupati tabu.Na muda wote ndivyo nilivyo.We kijana embu kuwa na adabu basi
Thubutuuu!!!!Amos Makalla njoo mezani
Hongera sana kwa kuwa mwana Fasihi.Mimi nimezeeka na adabu zangu.Wasiwasi wako tu.Ukinizoea hupati tabu.Na muda wote ndivyo nilivyo.
We Makalla wenda haliko kalala na viatu ,lissu katoa silaha moja tu ccm hapakalikiAmos Makalla njoo mezani
Tunataka mjadala wa hojaKumetokea patashika ya kisiasa tangu Tundu Lissu aushambulie muungano wa Tanzania kwenye kona ya kumgusa Rais Samia Suluhu kama mzanzibar katika kuamua (kikatiba) mambo mahususi ya watanganyika yenye kuathiri mustakabali wa maisha ya watanganyika moja kwa moja.
Lissu ametoa hoja zake akijificha kwenye kivuli cha katiba ya Tanzania (yenye kumpa mamlaka Rais Samia kuamua mustakabali wa watanganyika) na katiba ya Zanzibar (yenye kumtambua rais Samia kama raia kamili wa nchi ya zanzibar, na hapo hapo kutomtambua mtanganyika mwingine yoyote kwenye maslahi ya Zanzibar). Viongozi wa CCM wao wamejificha katika kivuli cha uzito wa maneno aliyotumia Lissu kuwa yana taswira ya kibaguzi na yenye kuchochea chuki dhidi ya rais halali wa Tanzania mwenye asili ya uzanzibar.
Kwa kuwa hoja inagusa muungano wetu, katiba yetu na umoja wa taifa letu, wadau mbalimbali wameomba kuitishwe mdahalo wa kisiasa wenye lengo la kumleta Lissu na kiongozi wa juu wa CCM katika kupambana kwa hoja ili watanzania tujifunze na kupima hoja zao.
Kwa hiyo hoja ni muungano tu. Tayari Lissu anafaa kuwa, Rais. Hakuna hoja nyingine?Kumetokea patashika ya kisiasa tangu Tundu Lissu aushambulie muungano wa Tanzania kwenye kona ya kumgusa Rais Samia Suluhu kama mzanzibar katika kuamua (kikatiba) mambo mahususi ya watanganyika yenye kuathiri mustakabali wa maisha ya watanganyika moja kwa moja.
Lissu ametoa hoja zake akijificha kwenye kivuli cha katiba ya Tanzania (yenye kumpa mamlaka Rais Samia kuamua mustakabali wa watanganyika) na katiba ya Zanzibar (yenye kumtambua rais Samia kama raia kamili wa nchi ya zanzibar, na hapo hapo kutomtambua mtanganyika mwingine yoyote kwenye maslahi ya Zanzibar). Viongozi wa CCM wao wamejificha katika kivuli cha uzito wa maneno aliyotumia Lissu kuwa yana taswira ya kibaguzi na yenye kuchochea chuki dhidi ya rais halali wa Tanzania mwenye asili ya uzanzibar.
Kwa kuwa hoja inagusa muungano wetu, katiba yetu na umoja wa taifa letu, wadau mbalimbali wameomba kuitishwe mdahalo wa kisiasa wenye lengo la kumleta Lissu na kiongozi wa juu wa CCM katika kupambana kwa hoja ili watanzania tujifunze na kupima hoja zao.