Wito: Mdahalo uitishwe baina ya Lissu na viongozi wa CCM kuhusu hoja ya 'ubaguzi wa kimuungano'

Kama sio kumuogopa Lissu aletwe Samia mwenyewe...utasikia "hili nalo mkalitazame"
 
Tunataka mjadala wa hoja
 
Huu Muungano toka nipo darasa la tano sijui kuna maswali nilihitaji ufafanuzi kwa mwalimu wangu ndugu Sijaona ila na yeye alizunguka zunguka tu mwisho nikaonekana sio mwelewa ila hayo maswala ndio pasua kichwa mpaka leo.
 
Kwa hiyo hoja ni muungano tu. Tayari Lissu anafaa kuwa, Rais. Hakuna hoja nyingine?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…