Wito wa Kujiunga na Mafunzo ya JKT kwa Kujitolea Mwaka 2024. Kazi kwenu!

Wito wa Kujiunga na Mafunzo ya JKT kwa Kujitolea Mwaka 2024. Kazi kwenu!

Bro ni heri kama mtu anaweza fanya chochote mtaani cha kumuingizia hela ni heri akaendelea nacho nasio kwenda kule.

Niliwahi kuwa kule miaka ya nyuma hali ni mbaya sana haswa kama hauna taaluma iliyoshiba na Mkubwa nyuma yako.

Nakumbuka kambi yetu walikujaga wakawabeba watu wawili tu kwenye interview moja ya mambo ya urubani na sio kama hawakuwepo watu wenye kisomo upande huo.. (Walimchukua mtoto wa kiongozi mmoja hivi pamoja na rafiki yake tu.)

Nina ndugu na jamaa kadhaa walienda na waliporudi walikuwa kwenye majuto.

Posho ya kuke haitakiwi kukulevya
Mimi nilikwenda kule but miaka hiyo, full course walikuja wakabeba almost wote. Ni wachache sana walirudi kitaa
Mostly walichukua wenye elimu, i remember dimplomas wengi na degrees waliondoka

Japokuwa nakubaliana na wewe kwamba kama huna elimu kule sio path sahihi
 
Bro ni heri kama mtu anaweza fanya chochote mtaani cha kumuingizia hela ni heri akaendelea nacho nasio kwenda kule.

Niliwahi kuwa kule miaka ya nyuma hali ni mbaya sana haswa kama hauna taaluma iliyoshiba na Mkubwa nyuma yako.

Nakumbuka kambi yetu walikujaga wakawabeba watu wawili tu kwenye interview moja ya mambo ya urubani na sio kama hawakuwepo watu wenye kisomo upande huo.. (Walimchukua mtoto wa kiongozi mmoja hivi pamoja na rafiki yake tu.)

Nina ndugu na jamaa kadhaa walienda na waliporudi walikuwa kwenye majuto.

Posho ya kuke haitakiwi kukulevya
Vijana wengi hua wanazani ukishaenda jkt tu basi una nafasi kubwa ya kupata ajira za majeshi bila kujua kwamba inahitajika nguvu kubwa sana nyuma yako otherwise uwe na upepo binafsi.. ndiomana nikasema kama una mishe ya kukuingizia kipato ukaishi vizuri baki tu mtaani
 
Bado jkt ni advantages, kisirisiri. application za wengi waliopota jkt zilikubaliwa zaidi polisi kuliko za wale waliopita kiraia
Yote hiyo umasikini tu na ukosefu wa ajira , hii ni failure , inapofikia hatua ya kuwa na Lundo la vijana hawana ajira wala mitaji ya kujiajiri ,wanaishia kwenye umasikini uliotopea wanaanza hadi kugombania nafasi za kwenda kupoteza muda kuwa slaves wa jkt ni balaa hili
 
Bado jkt ni advantages, kisirisiri. application za wengi waliopota jkt zilikubaliwa zaidi polisi kuliko za wale waliopita kiraia
Yote hiyo umasikini tu na ukosefu wa ajira , hii ni failure , inapofikia hatua ya kuwa na Lundo la vijana hawana ajira wala mitaji ya kujiajiri ,wanaishia kwenye umasikini uliotopea wanaanza hadi kugombania nafasi za kwenda kupoteza muda kuwa slaves wa jkt ni balaa

Hili tatizo halijapewa uzito kwenye jamii na serikali ya kitz ,linachukuliwa poa sana Ila over time watu wataona effects zake
 
Yote hiyo umasikini tu na ukosefu wa ajira , hii ni failure , inapofikia hatua ya kuwa na Lundo la vijana hawana ajira wala mitaji ya kujiajiri ,wanaishia kwenye umasikini uliotopea wanaanza hadi kugombania nafasi za kwenda kupoteza muda kuwa slaves wa jkt ni balaa

Hili tatizo halijapewa uzito kwenye jamii na serikali ya kitz ,linachukuliwa poa sana Ila over time watu wataona effects zake
Tatizo la ajira ni kubwa duniani kote, sasa magnitude ya tatizo itategemea na nchi husika, uchumi na social behaviours za wakazi.

Sis hapa nafasi zipo but some how some way wahusika wamekuwa vipofu hawataki kufungua njia na wengine wafanikiwe
 
Hivi umri wa kijana mwisho miaka mingapi maana hawa mafala (ashakum sio matusi) hawachelewi kusema umri ni miaka 18-23 au 18-25 kwa hio kuanzia miaka 26 kuendelea ni wazee?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Bungeni wakubwa walisema kigezo cha kupitia JKT kiondolewe katika vigezo vya kuajiriwa majeshini target yao kubwa ili iwe rahisi kupitisha watoto wao kwahiyo sisi tutakaojitolea kwenda JKT huenda tukaambulia kwenda kulima tu
Na kujenga majumba ya serikalii.
 
Kwahiyo JKT Haina umuhimu kwa maendeleo ya vijana wa nchini? Kama ndio hivyo wale mgambo wanaojihita jeshi la akiba hali zao zitakuaje kwa maisha ya baadae
Hawa wasimamizi wa mitihani ya std 4 na 7? Wana maisha gani?
Wengine hata sare zimechoka, na kununua mpya hawawezii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna mate wa primary, yeye aliishiaga 4m 4, akaenda huko JKT.
kakaa huko kambiniii miaka 4, karudi kitaa hana jipyaa wala ramani.

Afu kwao ni apeche alolo, walitegemea yeye atusue awe mkomboz
Sahivi ni Dereva Bajaji, ila ukikaa nae unaona hayuko sawa km mwanzo.

Hasira, chuki, jazba, ndo zimejaa hapo. Namsikitikia kwa kwelii.
Kakata tamaa kabisa. Lol
 
Back
Top Bottom