Wito wa Polisi: Tundu Lissu atakiwa kuripoti Ofisi ya Mkuu wa Upelelezi Kanda Maalum ya Dar es Salaam kwa mahijiano

shululu

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2015
Posts
28,137
Reaction score
109,901
Barua kutoka Kanda maalumu ya Dar es Salaam

======

Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Antipas Lissu ametakiwa kufika Ofisi ya Mkuu wa Upelelezi Kanda Maalum ya Dar es Salaam.

Kwa mujibu wa barua hiyo aliyoandikiwa leo, Lissu ametakiwa kufika bila kukosa tarehe 02 Oktoba, 2020 kwa ajili ya mahojiano kwa kilichoelezwa kuwa ni kufuatia kauli na matamshi yake mbayo amekuwa akiyatoa katika shughuli zake za kampeni.
 
Habari haijakaa sawa barua imepelekwa wapi?
 
.." Chana cha Democrasia na maendeleo "šŸ˜‚šŸ˜‚

..Polisi wetu hawajui kuandika kiasi hiki?

..Au barua hii imeandaliwa na vijana wa mataga hapo Lumumba?
 
Hongera Polisi kwa kumwita kwa mujibu wa kanuni za jeshi la Polisi. Kwa kweli ningeshangaa kama angeenda Polisi kwa taarifa za kwenye mitandao.
 
Soma vizuri hiyo barua ni ya makao makuu acha ukilaza huo wewe moshi imeshindikana nn rco dar anahusianaje na mambo ya mkoani?
 
Confidential!!!!!!!?????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…