Wito wa Religious Tolerance: Usikosoe jambo lolote ambalo si imani yako!


View: https://youtu.be/qpzlNuvS608?si=ppamUFUof-kArO1V
 
Kwakuwa mnafanya Shingo zenu ngumu, Mungu na Wala si Allah atasambaratisha kule kunako kitovu Cha Uislam Saudia na Macca labda hapo ndiyo mtafunguka macho ya akili zenu. Hilo linakuja hivi karibuni
Choko tu wewe, huna hoja bali uzushi tu,
Anguko la vatican linakuja na likaribu sana

Halafu tuone mtaenda kufirania wapi sasa wakati dunia yote ikiwa chini waislam
 
Waraka wowote unaoichonganisha Serikali na wananchi wake lazima upingwe kwa nguvu zote, bila kujali umetolewa na nani.
 
Sweden nao Wanasema Kuruani ni Makaratasi tu wakaichoma ile Q'uruan bhana 🤣🤣
Anayechoma ni mtu wao hukohuko,anatafuta political asylum tu.
Juzi kichaa mwingine tena demu kamkosakosa kumpulizia na fire extinguisher machoni.
Bahati nzuri polisi waliingilia.
 

Well said mkuu Pascal Mayalla

Sakata la Bandari ni 100% economics with social and political implications.
 
Truu color of Islam: matusi makubwa makubwa na kuchinja binadamu wenzao kama KUKU. Mm nikuambie leta proof to refute what I claim is written in your Quran wewe unatukana. Okay labda mpaka mecca ianguke ndyo mtafumbua macho yenu. Sasa hivi wameamza ku open up to the world: Mohamed bin Salmin atawaonyesha
 
Mkuu umetema madini matupu, comment yako sasa ungeireply kwa faiza mbweha!

Sasa kuidump namna hii inakuwa kama ume refute mada ya mtoa hoja.
 
Yesu wa Biblia sio Isa bin Mariam.

So no need ya kubishana.

Ila nakuachia mstari mmoja.

Amosi 4:12
[12]Basi nitakutenda hivi, Ee Israeli, na kwa sababu nitakutenda hivi, ujiweke tayari kuonana na Mungu wako, Ee Israeli.
Therefore thus will I do unto thee, O Israel: and because I will do this unto thee, prepare to meet thy God, O Israel.

PREPARE TO MEET YOUR GOD.
 
Wee mwehu kweli kwani ndani ya korani yenu kuna mahali pameandikwa Yesu? Acheni kujikomba kwa kukabambikizia hako kamtume kenu kuwa ndiye Yesu!
Yesu aliye tajwa katika Bible ndiye yesu aliye tajwa katika quran tukufu.Kama alivyo tajwa kwa majina tofauti kwa kila mataifa na lugha zao.
 
Kosoa tu, ilimuradi uwe na mantiki.

Ukisema mtu asikosoe kitu kisicho imani yake, halafu mimi nikasema imani yangu ni wizi na uuaji, utakaa kimya usinikosoe kwa sababu si imani yako?

Dini zenyewe zinakosoa watenda dhambi, sasa kama mtu kajiamulia imani yake ni kutenda dhambi utasema dini nazo zisimkosoe kwa sababu kutenda dhambi ni imani yake?
 
Yesu wa kwenye Biblia sio sawa sawa na Nabii Issa wa kwenye Quran ( ni watu wawili tofauti 100%)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…