Wito wa Religious Tolerance: Usikosoe jambo lolote ambalo si imani yako!

Wito wa Religious Tolerance: Usikosoe jambo lolote ambalo si imani yako!

Usikiogope, soma ukweli uuelewe.

Wapi maandiko ya Qur'an yalipokukashifu?
Unarudia kosa lilelile la kiimani Faiza, uhamini kilichoandikwa na watu ambao hauwajui yaani biblia, alafu wakati huohuo unanilazimisha nisome Quran, kitabu ambacho kwangu sikiamini. Wakati kiteremshwa wewe ulikuwepo?

Kitabu cha hakijanikashifu, lla maneno yako yamejaa kashfa dhidi ya Imani zingine. Ndiyo sababu nimekwambia usitumie vifungu vya Quran kujibu hoja ya Imani nyingine. Amin yaliyoandikwa kwenye Quran yako ni haki yako, na acha kabisa kujibu vitu vinavyohusu Biblia.
 
Wanabodi,

Huko nyuma niliwahi kutoa wito wa Political Tolerance kwa vyama na wanasiasa tunaotofautiana kwa kubishana bila kugombana au kutukanana!

Hili ni bandiko la kutoa wito wa religious Tolerance kwa imani za wengine hata kama hatuziamini.

Usikosoe jambo lolote la kiimani la imani isiyo yako. Mfano Waraka wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania kupinga mkataba wa DPW na Bandari zetu, watu pekee wenye haki ya kuukosoa waraka huo ni sisi waumini wa imani hiyo, na sio watu wa imani nyingine kutoa waraka kukosoa waraka wa imani nyingine.

Naomba kulipongeza Baraza la Waislamu Tanzania Bakwata kwa Political Tolerance, maana baada ya TEC kutoa waraka kupinga mkataba wa DPW na Bandari zetu, ilitarajiwa Bakwata nao wangetoa waraka kuunga mkono mkataba wa DPW na Bandari zetu hivyo kupelekea kuonyeshea ni watu wa dini fulani wanapinga mkataba huu kwasababu kiongozi fulani ni wa dini fulani na wengine wanaunga mkono kwasababu tuu ya dini fulani.

Issue ya DPW na Bandari zetu sio issue ya dini fulani ni purely economical issue of national interest kuhusiana na vipengele vya mkataba! Hakuna anayepinga uwekezaji wa Bandari.

Sambamba na ombi hili pia nawaomba wana JF waandamizi wenye ushawishi mkubwa humu kujiheshimu kwa kuheshimu imani za wengine mfano ni huyu.


Naunga mkono watu wasiharibu mada za watu kwenye majukwaa.

Kwa heshma na taadhima, Dada yangu, FaizaFoxy , I beg you please observe religious tolerance, mfano sisi tunaoamimi Yesu ni Mungu, akiibuka mtu wa imani nyingine akahubiri Yesu sii Mungu, ni kutokosea!

Wakristo tunaamini Bible ni kitabu cha Mungu, kitendo cha wewe mtu wa imani tofauti kusema huamini Bible ni kitabu cha Mungu, sio kututendea haki sisi waamini! Let's practice religious tolerance baina yetu kwa kuheshimu imani za wengine, hata kama wewe huziamini!. Nikiwa nchini India, nilitembelea hekalu moja wanaabudu panya. Japo ni kivutio cha Utalii lakini waheshimu!

Mkristo safi hawezi kusema chochote negative kuhusu Uislam, Qur'an Tukufu au Mtume Mohammed (SAW).

Paskali.
Unalikoroga alafu unakaa pembeni kusikilizia mipasuko ya watu. Mara nyingine usiwe unaleta hizi mada contravesal.
 
20230828_084429.jpg
katoliki ndo chanzo Cha Fujo zote duniani
 
1ur'ann imehifadhiwa vifuani mwa watu toka kuteremshwa kwake.

Hilo halina utata labda uwe na macho lakini hayaoni, uwe na masikio lakini hayasikii.
Quran imehifadhiwa kifuani? Wewe Hujui historia ya kitabu Cha Quran. Mwanzo Mtume Muhammad aliacha Quran yenye Suratul 120, Sasa zimebaki 114 tu, Surah 6 zimetoweka. Surah zilizotoweka ni: 1. Iqtaribat 2. Sa'a 3. Twasamat 4. Sa'a al Qital 5. Al Malaikat 5. Al Hashir. Pia Surah 9 ilikuwa na Aya 387 Sasa zimebaki 129 tu. Surah 33 ilikuwa na Aya 200 Sasa zimebaki 73 tu, halafu wewe unasema Quran imehifadhiwa kifuani?
 
Tupendane na tuipende Nchi yetu
Kabisa kabisa !! Lakini watu wenye kupenda kashfa na malumbano huwa hawakosekani kila Nchi ! Ila kiukweli hapa Nchini bado tu wamoja sana tena sana !!
Huwezi kusikia watu wanalumbana kuhusu dini huku kwa ground isipokuwa kidogo kwenye mitandao tena ni wachangiaji wa kuhesabu yaani ni wachache sana !! 🙏🙏🙏
 
Quran imehifadhiwa kifuani? Wewe Hujui historia ya kitabu Cha Quran. Mwanzo Mtume Muhammad aliacha Quran yenye Suratul 120, Sasa zimebaki 114 tu, Surah 6 zimetoweka. Surah zilizotoweka ni: 1. Iqtaribat 2. Sa'a 3. Twasamat 4. Sa'a al Qital 5. Al Malaikat 5. Al Hashir. Pia Surah 9 ilikuwa na Aya 387 Sasa zimebaki 129 tu. Surah 33 ilikuwa na Aya 200 Sasa zimebaki 73 tu, halafu wewe unasema Quran imehifadhiwa kifuani?
ukiona mwanamama anatetea uislam mhurumie tu ni elimu juu ya uislam hana.

ni kama kuku anayetetea mgahawa wa KFC usivunjwe😅😅
 
Kusema kweli wakristo ni wachokozi sana, wasilolijua ni kwamba ni waoga sana, haki ya Mungu siku paumane hapa hawatabaki hata mmoja
 
Elewa na sisi tunaamini Yesu siyo Mungu, ukiibuka na kusema Yesu Mungu, wakati hakuna ushahidi hata mmoja wa yeye mwenyewe kusema "mimi Mungu:, elewa kuwa unatukosea sana, kumpa mtume wetu uungu asiokuwa nao.

Biblia inahusishwa na Yesu ambae ni mtume kwaa Waislam, kwa hiyo mimi nnahaki ku "refute" mambo anayposingiziwa Mtume wa Kiislam, kumbuka hilo.

Hilo la India litabaki india, India wako hata wanaoabudu uume wa binaadam, siyo tatizo.

Kuhusu Yesu, elewa kuwa kila mnapomzushia kitu, Waislam hatutakaa kimya, anatuhusu sana tena sana.

Panya hawatuhusu ndee wala sikio, hatuna habari nao hata wewe ukiwaabudu.

"tolerance" unayoiongelea unataka iwe upande mmoja tu?

Yesu siyo Mungu na hakuna popote aliposema "Mimi mungu" au "niabuduni".

Biblia siyo kitabu cha Mungu, hata biblia yenyewe haijuwi kama inaitwa Biblia. Hotolikuta neno "biblia" ndani ya biblia, ni uzushi tu.
Wewe bibi ni kichefuchefu, kwa kweli hujiheshimu hata kidogo..?hovyo sana
 
Elewa na sisi tunaamini Yesu siyo Mungu, ukiibuka na kusema Yesu Mungu, wakati hakuna ushahidi hata mmoja wa yeye mwenyewe kusema "mimi Mungu:, elewa kuwa unatukosea sana, kumpa mtume wetu uungu asiokuwa nao.

Biblia inahusishwa na Yesu ambae ni mtume kwaa Waislam, kwa hiyo mimi nnahaki ku "refute" mambo anayposingiziwa Mtume wa Kiislam, kumbuka hilo.

Hilo la India litabaki india, India wako hata wanaoabudu uume wa binaadam, siyo tatizo.

Kuhusu Yesu, elewa kuwa kila mnapomzushia kitu, Waislam hatutakaa kimya, anatuhusu sana tena sana.

Panya hawatuhusu ndee wala sikio, hatuna habari nao hata wewe ukiwaabudu.

"tolerance" unayoiongelea unataka iwe upande mmoja tu?

Yesu siyo Mungu na hakuna popote aliposema "Mimi mungu" au "niabuduni".

Biblia siyo kitabu cha Mungu, hata biblia yenyewe haijuwi kama inaitwa Biblia. Hotolikuta neno "biblia" ndani ya biblia, ni uzushi tu.
Acheni mambo ya kukopi na kupesti issa sio YESU japo tunajua hila za ibilisi juu ya KRISTO ni kubwa.Hata sisi mohd hatumuamini kama tusivyoamini uungu wa ng'ombe kwa wahindi.Katika dini ambayo inaonekana haijiamini duniani ni uislamu na ndio maana wanatumia nguvu nyiingi hadi za kidhuru.
 
Acheni mambo ya kukopi na kupesti issa sio YESU japo tunajua hila za ibilisi juu ya KRISTO ni kubwa.Hata sisi mohd hatumuamini kama tusivyoamini uungu wa ng'ombe kwa wahindi.Katika dini ambayo inaonekana haijiamini duniani ni uislamu na ndio maana wanatumia nguvu nyiingi hadi za kidhuru.
Qur'an siyo adui yako, ni rafiki yako mpenzi. Ukimsoma na kuelewana nae, hutopenda kumuwacha. Qur'an ni kigezo {criterion) iliteremshwa kuweka sawa yale yaliyotiwa mikono ya watu na kukudanganya. Kumbuka hilo.
 
Mkuu unalosema, it's the ideal situation ila hizi dini zetu🙃🙃🙃. Biblia ktk revelation 17:2 inasema watu wamelevywa na hizi dini ( za Uongo)
"earth’s inhabitants were made drunk with the wine of her sexual immorality.” hapo vinavyolaumiwa siyo vitabu bali ni viongozi wa dini.
Mifano midogo tu:
Kama anavyosema Faiza kwa msomaji wa kawaida kabisa Biblia inamtambulisha Yesu kuwa yu chini ya Mungu. Lakini inasema ni mwana wa Mungu na alikuja Duniani akitoka mbinguni (yaani Mungu aliruhusu Mwanae kwa kupitia kuzaliwa na Maria avae mwili wa nyama) kitu ambacho Mungu aliisha kifanya aliporuhusu Malaika wavae miili ya kibinadamu ili wakutane na Abraham, Loti na Jacob. Tofauti kati ya hao Malaika na Yesu ni kuwa Yesu ilitumika njia ya kuzaliwa. Hii concept kwa sasa si vigumu kuijua kwani kitu hicho hicho madokta hufanya kupitia surrogacy (wanadamu)or cloning (wanyama)
Ukija upande wa Quran mtu wa kawaida kabisa (hajalevywa na Dini ya kiislam) haimpi shida kujua kuwa Yesu ni wa pekee na Yuko juu ya Mohammad na mitume wengine.
Quran 4:171 na 3:45 zinasema wazi kuwa Yesu ni Neno la Mungu na pia ni Roho ya Mungu; kwenye Aya nyingine kunasema yeye Yuko kwa Allah na ndye atakayerudi wakati wa kiama
Jambo linguine ambalo an average person will make him doubt Mohammad kama kweli ni Mtume wa MUNGU ni
Kwamba alimuoa mtoto wa miaka 6 na kufanya naye ngono akiwa na miaka 9😴 sijui la Faiza ataweza ruhusu Binti yake. Pia Hadith ya Quran inaripoti kuwa Mtume alimpiga tongue kiss mvulana mdogo (Hassan)
Aidha, Quran inaripoti kuwa Mohammad alikuwa anakuwa controlled na devil!!! ila yeye ati akasema huyo devil controls him for good
Kwa hiyo kiujumla viongozi wetu wa dini ndyo wanatulevywa mpaka kutuvunjia UTANZANIA WETU.
Kuhusu kuoa msichana mdogo kwa maumbile au umri hakuna ajabu maadam ameshavunja ungo, yaani mwanamke anakuwa kibaiolojia yaani kimaumbile kuliko umri(umri ni namba tu)halafu umeegemea sana miaka 9 wakati kuna hadithi inasema ni miaka 14, wacha tukae hapo kwenye 9 yrs hapo njombe tu wala sio mbali kuna kaschana kamezaa kana 10yrs, imeisha hiyo,

Kuhusu kumbusu hassan(mjukuu wake) wala si ajabu, hata sasa watu wanawabusu na kuwashum watoto na wajukuu zao,

Kuhusu kummiliki shetani sio ajabu pia, yeye ni Mtume wa Mungu ni lazima awe na mamlaka na nguvu kumzidi shetani na ndiyo maana akasema
"Kila mtu ana shetani wake, akaulizwa hata wewe pia? Akajibu hata mimi pia, ila wangu nimemdhibiti hawezi kunishinda"

Hakuna sababu ya kutukana wala kuchukia mama ni chaguo la Mungu
 
Kuhusu kuoa msichana mdogo kwa maumbile au umri hakuna ajabu maadam ameshavunja ungo, yaani mwanamke anakuwa kibaiolojia yaani kimaumbile kuliko umri(umri ni namba tu)halafu umeegemea sana miaka 9 wakati kuna hadithi inasema ni miaka 14, wacha tukae hapo kwenye 9 yrs hapo njombe tu wala sio mbali kuna kaschana kamezaa kana 10yrs, imeisha hiyo,

Kuhusu kumbusu hassan(mjukuu wake) wala si ajabu, hata sasa watu wanawabusu na kuwashum watoto na wajukuu zao,

Kuhusu kummiliki shetani sio ajabu pia, yeye ni Mtume wa Mungu ni lazima awe na mamlaka na nguvu kumzidi shetani na ndiyo maana akasema
"Kila mtu ana shetani wake, akaulizwa hata wewe pia? Akajibu hata mimi pia, ila wangu nimemdhibiti hawezi kunishinda"

Hakuna sababu ya kutukana wala kuchukia mama ni chaguo la Mungu
Kwakuwa mnafanya Shingo zenu ngumu, Mungu na Wala si Allah atasambaratisha kule kunako kitovu Cha Uislam Saudia na Macca labda hapo ndiyo mtafunguka macho ya akili zenu. Hilo linakuja hivi karibuni
 
Kuhusu kuoa msichana mdogo kwa maumbile au umri hakuna ajabu maadam ameshavunja ungo, yaani mwanamke anakuwa kibaiolojia yaani kimaumbile kuliko umri(umri ni namba tu)halafu umeegemea sana miaka 9 wakati kuna hadithi inasema ni miaka 14, wacha tukae hapo kwenye 9 yrs hapo njombe tu wala sio mbali kuna kaschana kamezaa kana 10yrs, imeisha hiyo,

Kuhusu kumbusu hassan(mjukuu wake) wala si ajabu, hata sasa watu wanawabusu na kuwashum watoto na wajukuu zao,

Kuhusu kummiliki shetani sio ajabu pia, yeye ni Mtume wa Mungu ni lazima awe na mamlaka na nguvu kumzidi shetani na ndiyo maana akasema
"Kila mtu ana shetani wake, akaulizwa hata wewe pia? Akajibu hata mimi pia, ila wangu nimemdhibiti hawezi kunishinda"

Hakuna sababu ya kutukana wala kuchukia mama ni chaguo la Mungu
Nyinyi Abdools kuongopa ni jadi yenu pale mnapo mtete Allah Mohammad na Quran yao:
1. Mtoto wa miaka 6 hadilani hawezi kuvunja ungo. Pili wewe unaweza ruhusu mwanao wa miaka 6 aolewe na libabu la miaka 50??
2. Leta Hadith inayosema Hassan ni mjukuu wa Mohammad. Aidha, utaruhusu mwanao mdogo Babu yake atumbukize LIULIMI LAKE kwa huyo mwanao wa kiume?
3. Mohammad alikuwa controlled na Shetani kwa miezi 6 mpaka akawa anaota mindoto ya ngonongono tu. Vile vile Shetani alifamfanya Mohammad a cite Aya za Shetani na mpaka akasujidia the three daughters ya miungu ya kipagani
4. Kati ya Yale majina 99 ya Allah, matano yanathibitisha kuwa Allah ndiye Shetani Mwenyewe
Screenshot_20230829-235103~2.png
 
Back
Top Bottom