Wito: Waliomrekodi na kusambaza video ya Mbunge mstaafu Prof Jay akiwa ICU wachukuliwe hatua

Pia kama kuna ndugu wa Prof J wanatakiwa kumshtaki Mange. Fedha isitufanye tukose utu.
 
Hehehe anakwambia kila mtu abebe dhambi zake, yy anabully watu na anapata hela wengine waendelee kufirw@ na kutomb.ana na waume za watu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Tena na zaidi siku hizi ukiingia mida ya saa mbili usiku hiyo app inakuwa busy kishenzi...unaambiwa " more than 2millions are busy with this app, so kwa wewe try later

( Ila Wabongo wanapenda umbea uwiiiii)[emoji848]

We sio kati ya wanaopenda[emoji1787][emoji1787] mbona hujitaji na unaingia
 
Yule aliemwita mama yake mlezi aliyefariki wiki iliyoisha mtoto wa malecela ,DR nani sijui, mbona hakumposti wakati anaumwa?au anapigania uhai wake? Ila vya wengine anapost kisa they are not that close!!
Hata kusema kuwa anaumwa maana hakuanza jana kuumwa
 
Huu ni mchakato kijana, tunaminya kidogo kidogo hadi maji yachemke
Dawa ni kuzuia malipo kupitia mitandao ya simu. Kuifungia app inaweza ikawa ngumu mpaka Google wenyewe. Ila mnaweza kuwasiliana na Google na watu wakiiflag app Google watastukia na kuifunga
 
Hiyo video kwenye app yake views wamefika laki moja na elfu kumi, comments zinakaribia elfu moja!

Ina maana kuna nyomi mpya imejiunga jana na leo tena na mpaka watu wakubwa tu[emoji848]

Sasa hapa utakuta na waloenda kutizama wanakuja huku kulaumu[emoji1787][emoji1787][emoji1787] watanzania wangekua wamekaairika wasingeenda kuitizama watanzania ni wanafiki tu kama wanafiki wengine
 
Sio tu umbea na unafiki juu[emoji849][emoji848][emoji848]

Yaan mtu kaenda kaiangalia mara elfu baada ya hapo anakuja kutema cheche jf...

Unatakiwa usiiangalie hiyo video[emoji848]

Umeonaeeh watoa comment wa hapa 80% wanafiki
 
Sasa hapa utakuta na waloenda kutizama wanakuja huku kulaumu[emoji1787][emoji1787][emoji1787] watanzania wangekua wamekaairika wasingeenda kuitizama watanzania ni wanafiki tu kama wanafiki wengine
Inasikitisha sana, mnaenda kulipia kabisa, mnategemea nini?
 
Hehehe anakwambia kila mtu abebe dhambi zake, yy anabully watu na anapata hela wengine waendelee kufirw@ na kutomb.ana na waume za watu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji28]
Mtoto analaana huyu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mange Kimambi mwanamke ana laana yule, mchafu sana kwa tabia hadi mwili mchafu sana, immoral, harlot, prostitute kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…