Wito: Waliomrekodi na kusambaza video ya Mbunge mstaafu Prof Jay akiwa ICU wachukuliwe hatua

Wito: Waliomrekodi na kusambaza video ya Mbunge mstaafu Prof Jay akiwa ICU wachukuliwe hatua

Hiki kitendo kimefanyika si Cha kiungwana hata kidogo na kimefanywa na watu ambao huwezi kutegemea.

Inadaiwa kuwa madaktari na wauuguzi waliokua ICU wakimhudumia Prof J wamechukua video na kwenda kumuuzia yule dada ili aisambaze mtandaoni. Sio uungwana hata kidogo.

Serikali kupitia hiyo video mnaweza kuwajua waliofanya hivi na nashauri wachukuliwe hatua kali sana. Itumike namna ya kuwabaini waliofanya hivi najua mna mkono mrefu na hamshindwi.

Mtu yupo ICU amelazwa anapigania uhai wake, mnamhudumia kumbe mnarecord. Amewafanyiaa kitu gani kibaya huyu hadi mfikie huko?
Pia kama kuna ndugu wa Prof J wanatakiwa kumshtaki Mange. Fedha isitufanye tukose utu.
 
Tmz [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Dem kiboko na wanaomuandama kuhusu app yake nimeona amesema labda afe na kawaporomoshea mitusu juuu daaaah yule akili zake sio poa yuko usa hajasau tusi k%@!€@ kibuyu ameshindikana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hehehe anakwambia kila mtu abebe dhambi zake, yy anabully watu na anapata hela wengine waendelee kufirw@ na kutomb.ana na waume za watu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Tena na zaidi siku hizi ukiingia mida ya saa mbili usiku hiyo app inakuwa busy kishenzi...unaambiwa " more than 2millions are busy with this app, so kwa wewe try later

( Ila Wabongo wanapenda umbea uwiiiii)[emoji848]

We sio kati ya wanaopenda[emoji1787][emoji1787] mbona hujitaji na unaingia
 
Yule aliemwita mama yake mlezi aliyefariki wiki iliyoisha mtoto wa malecela ,DR nani sijui, mbona hakumposti wakati anaumwa?au anapigania uhai wake? Ila vya wengine anapost kisa they are not that close!!
Hata kusema kuwa anaumwa maana hakuanza jana kuumwa
 
Huu ni mchakato kijana, tunaminya kidogo kidogo hadi maji yachemke
Dawa ni kuzuia malipo kupitia mitandao ya simu. Kuifungia app inaweza ikawa ngumu mpaka Google wenyewe. Ila mnaweza kuwasiliana na Google na watu wakiiflag app Google watastukia na kuifunga
 
Hiyo video kwenye app yake views wamefika laki moja na elfu kumi, comments zinakaribia elfu moja!

Ina maana kuna nyomi mpya imejiunga jana na leo tena na mpaka watu wakubwa tu[emoji848]

Sasa hapa utakuta na waloenda kutizama wanakuja huku kulaumu[emoji1787][emoji1787][emoji1787] watanzania wangekua wamekaairika wasingeenda kuitizama watanzania ni wanafiki tu kama wanafiki wengine
 
Sio tu umbea na unafiki juu[emoji849][emoji848][emoji848]

Yaan mtu kaenda kaiangalia mara elfu baada ya hapo anakuja kutema cheche jf...

Unatakiwa usiiangalie hiyo video[emoji848]

Umeonaeeh watoa comment wa hapa 80% wanafiki
 
Sasa hapa utakuta na waloenda kutizama wanakuja huku kulaumu[emoji1787][emoji1787][emoji1787] watanzania wangekua wamekaairika wasingeenda kuitizama watanzania ni wanafiki tu kama wanafiki wengine
Inasikitisha sana, mnaenda kulipia kabisa, mnategemea nini?
 
Hehehe anakwambia kila mtu abebe dhambi zake, yy anabully watu na anapata hela wengine waendelee kufirw@ na kutomb.ana na waume za watu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji28]
Mtoto analaana huyu 😂😂😂😂
 
Mange Kimambi mwanamke ana laana yule, mchafu sana kwa tabia hadi mwili mchafu sana, immoral, harlot, prostitute kabisa.
 
Back
Top Bottom