Wito: Waliomrekodi na kusambaza video ya Mbunge mstaafu Prof Jay akiwa ICU wachukuliwe hatua

Chuki zimepofusha mioyo ya Watanzania.....wanafurahia matendo mabaya wanayofanyiwa watu wasio wapenda....bila kujua ubaya hauchagui.........

Waungwana wanatakiwa kumkemea mtu yoyote anayefanya ubaya bila kuangalia huo ubaya anamfanyia nani maana inawezekana siku moja ukawa mhanga wa ubaya anaoutenda huyo mtu unayemfurahia........

Mange ni mtu wa kulaaniwa kwa watu wote wenye mioyo ya kibinadamu wasio wanafiki......
 
Wa Tz wa zamani walikua wanasumbuliwa na majanga ya maradhi, umasikini na ujinga ila wa Tz wa sasa wanasumbuliwa na maradhi, umasikini, njaa na umbea Hadi wanaume wamekua wanoko kingese
 
Pale baadhi ya watu wakiguswa.

Wakitukanwa, na kudhalilishwa msiowapenda Ni sawa.

Ila wakiguswa mnaowapenda mnatoa laana, kuhukumu na kutabiri mabaya.

UNAFIKI umeota mizizi.kwa Waswahili nchi hii.
Kabisa, mange kashangilia na kusherehekea kifo cha Dkt Magufuli ila hawa hawa wanaomsakama mange waliungana naye. Sasa watulie tu huo ndiyo uhuru wa habari.
 
Jiwe alilipwa kadiri ya matendo yake. Period
 
Pale baadhi ya watu wakiguswa.

Wakitukanwa, na kudhalilishwa msiowapenda Ni sawa.

Ila wakiguswa mnaowapenda mnatoa laana, kuhukumu na kutabiri mabaya.

UNAFIKI umeota mizizi.kwa Waswahili nchi hii.
Wakae kwa kutulia!

Si walimpa sifa wakati anatukana na kudhalilisha viingozi?

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Mimi ningekubali hoja yako hii kama ukiweka kitu kibaya kimoja au tusi ambalo Mange alimtukana Jiwe zaidi ya kumweleza yale ambayo Jiwe hakutaka kuyasikia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…