Wito: Waliomrekodi na kusambaza video ya Mbunge mstaafu Prof Jay akiwa ICU wachukuliwe hatua

Waweza kunipa mfano mmoja wa kitu kibaya alichofanya Mange kwa Jiwe, kama ni matusi na siyo kitendo ntajie tusi moja tu. Naomba usikimbie.
 
Yaani nikimfikiria Mama Samia mpaka machozi. Aliachiwa nchi ikiwa inaheshimika, watu wakiwa wanajitambua na kuheshimu serikali na viongozi. Ila yeye kaingia na kuanza kudanganywa na pointi nyingi alizipotezea kwenye chanjo ya kovid, machinga. Yaani Mama anakandiwa mpaka na mawaziri wake wanamuona hana dhamira njema ya Tanzania hata TISS wenyewe naamini wanasubiri muda tu wachezeshe
 
Hapa tunapozungumza mbona ananyooshwa huko tayari, tusubiri tu maji yachemke
 
Waweza kunipa mfano mmoja wa kitu kibaya alichofanya Mange kwa Jiwe, kama ni matusi na siyo kitendo ntajie tusi moja tu. Naomba usikimbie.
Huwezi kuona sababu ya mahaba yako kwa Mange, so na kushangaa sasa umekasirika. Yaani ni kukimbie wewe......... yaaan wewe....
👇👇👇
Aliposambazwa JPM walikuwa wanakenua humu.
 
Tena walikaita dada wa taifa. Hadi wakaanzisha kamsemo eti "da'Mange kasema". Hususan Salary Slip alikuwa anakapenda hako kamsemo kwelikweli.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hadi Lisu ilikuwa haipiti dakika hajachungulia kwa da mange alichopost!

Ngoja wavune walichopanda wajinga hawa

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Hata kigogo anachofanya sasa hivi ni sahihi kabisa!

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Taja hapa hizo nafasi nyeti

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Sasa shangilia na hili!

Tena kawaambia kabisa mnaona anawa bull watu nyie @@1#£ vibuyu[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Hivi huyu mange si ndo kafiwa na mama yake mlezi hivi karibuni, au tayari keshamaliza matanga......aiseee ni shida!
 
Baba yake alibakwa kigoma na watu 10, akajiua kwa kujipiga risasi.
Mama yake aliugua ukichaa, hapo inategemea mtoto atakuwaje?
 
Nilimu-unfollow alipoanza kutukana bashite na jpm, sikuwa nawakubali hao watu ila pia sikupenda namna alivyokuwa anaporomosha matusi bila hata chembe ya haya. Kichwa chake sio kizima yule mtu walah.
 
Mpuuzi umeandika kwa urefu Wala hakuna chenye maana hata kimoja zaidi kumsifia marehemu tu kwendaaa
Mpuuzi ni wewe unayemshabikia Mange kimambi.
Wakati ule mlimuita dada wa Taifa.
Leo kawageukia nyinyi wenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…