Waweza kunipa mfano mmoja wa kitu kibaya alichofanya Mange kwa Jiwe, kama ni matusi na siyo kitendo ntajie tusi moja tu. Naomba usikimbie.Unavyo ongea mtazani mlikuwa mnaua wote?
Mbona swali la kawaida kupanic kwako. Kwani Mange kutokufanya vitu sahihi alianza leo!! Mbona tokea zamani, ila mlisifia enzi za jiwe now anayafanya yaleyale kama enzi za jiwe mnamuona hana maana,mvumilieni tu huyo hata mkifunga App yake bado ana account Instagram.
Una uhakika gani,Mke hawezi kufanya huo ujinga
Yaani nikimfikiria Mama Samia mpaka machozi. Aliachiwa nchi ikiwa inaheshimika, watu wakiwa wanajitambua na kuheshimu serikali na viongozi. Ila yeye kaingia na kuanza kudanganywa na pointi nyingi alizipotezea kwenye chanjo ya kovid, machinga. Yaani Mama anakandiwa mpaka na mawaziri wake wanamuona hana dhamira njema ya Tanzania hata TISS wenyewe naamini wanasubiri muda tu wachezesheDeep katika mioyo yao wameshajua ukweli basi tuu wana ujinga mwingi wanashindwa kutamka hadharani. Hata kichaa aliyepo milembe anajua tofauti ya awamu zote zilizopita, tuwaache muda unazidi kuongea na taratibu mambo yanazidi kujidhihirisha, mfano hili la mange, walishangilia enzi za JPM sasa wanalia, na huyo mama yao wanaemshangilia ameshaanza kuwaliza na atawaliza sanaaa na watajuta
Huwezi kuona sababu ya mahaba yako kwa Mange, so na kushangaa sasa umekasirika. Yaani ni kukimbie wewe......... yaaan wewe....Waweza kunipa mfano mmoja wa kitu kibaya alichofanya Mange kwa Jiwe, kama ni matusi na siyo kitendo ntajie tusi moja tu. Naomba usikimbie.
Aliposambazwa JPM walikuwa wanakenua humu.
Tulipokuwa tunawaambia Mange ni chizi mkawa mnasema ni dada wa taifa!Sawa. Huu mbona na nyie mnakula. Tatizo lenu nyie huwa hamshibi na hamchagui ubuyu upi mle upi mkatae
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hadi Lisu ilikuwa haipiti dakika hajachungulia kwa da mange alichopost!Tena walikaita dada wa taifa. Hadi wakaanzisha kamsemo eti "da'Mange kasema". Hususan Salary Slip alikuwa anakapenda hako kamsemo kwelikweli.
Hata kigogo anachofanya sasa hivi ni sahihi kabisa!J hana matendo yoyote maovu kustahili kulipwa hayo. Kwakuwa ni mwanadamu anaweza kuwa na madhaifu yake lakini hayako kwa public au yahusianayo na kutoa uhai wa mtu ukilinganisha na bwana yule aliyekuwa katili, muuaji na mwenye chuki za wazi kwa yeyote atakayempinga.
Taja hapa hizo nafasi nyetiMkuu kuna mtu alikuwa mkabila na mdini kuliko Jiwe? [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Nafasi zote nyeti nadhani unajua ni kabila gani walikuwa wanawekwa hapo. Emezungumzia makundi yenye ushawishi, naomba unitajie mawili katika hayo makundi unayosema yana ushawishi.
Angalizo, machinga siyo kundi lenye ushawishi bali ni kundi la masikini/wanyonge wanaopenda kuona tajiri akikomolewa kwani wanaamini umasikini wao unasababishwa na tajiri.
Sasa shangilia na hili!Akifa jambazi lazima watu watashangilia tu, na wala kwenye jamii hawataonekana kukosea kwa kitendo hicho. Lakini kitendo hicho chicho kikifanywa kwa mtu mwema/wakawaida lazima jamii ishangae kwani inaona mtu huyo hakustahili kutendwa hayo. Swali jingine
Embe haianguki mbali na mti”Maji hufuata mkondo
Mzee wake alikufaje kwani?Laana zipo juu yake atakufa vibaya sana zaidi ya kifo cha mzee wake
Mkome!Ni tukio la kinyama sn
Mpuuzi ni wewe unayemshabikia Mange kimambi.Mpuuzi umeandika kwa urefu Wala hakuna chenye maana hata kimoja zaidi kumsifia marehemu tu kwendaaa
Kwan shda? Ahukumu tu accordinglyMara paaaah unafika peponi unamkuta mange ndio kashika kitabu cha majina ya waingiao peponi[emoji16][emoji16][emoji16]