Wito: Waliomrekodi na kusambaza video ya Mbunge mstaafu Prof Jay akiwa ICU wachukuliwe hatua

Wito: Waliomrekodi na kusambaza video ya Mbunge mstaafu Prof Jay akiwa ICU wachukuliwe hatua

Kabla hujapost video ya Jay, ulionywa sana na wadau wako wa Instagram kwamba kupost video ya mgonjwa si Jambo jema, lakini ukakaidi, ukapost.

Alipoku Waziri Mkuu Peter Pinda alisema kama umeonywa na umekaidi, upigwe TU.

Ndivyo ilivyokuwa kwako, umeonywa, umekaidi kichapo kiwe juu yako.

Kama asiye funzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu, na sis walimwengu wa taifa hili tumechoshwa na tabia zako za hovyo za kushambulia utu wa watu, kuingilia Uhuru wao wa faragha, kuwatukana, kuwadhalilisha na kuwatendea kila ubaya.

MangeKimambi, Mungu hayupo likizo, na amesikia kilio Cha muda mrefu. Machozi ya Watanzania wengi walio umizwa na wewe yamefika kwenye kiti cha enzi.

NI wakati wako sasa kutubu na kuomba msamaha.

Ivumayo haidumu, ngoma ikilia sana mwisho wake NI kupasuka
Kalelewa sana anajiona ni mkuu
 
Utakuta hako kajamaa ni moja ya waliokuwa wanamtukana Magu kwamba hajui kingereza.

Sasa hapa kwakuwa hakajaambulia kitu ndio kanajifanya kukipenda sana kiswahili.

Kamezoea english ya yes no, yes yah!

[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Ila Crimea[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Pumzisha mbavu zangu basi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mtu alishasema watoto wake wakiwa mashoga atawasupport,Sasa huyo mange kuna ubaya atashindwa kufanya
 
Kama wahuni walirekodi kideo JPM alipokuwa anaagwa,,licha ya kujazana askari pale,,, Watu wanajirekodi,,narudia wanajirekodi wanafanya ngono...

Unafikiri ni ajabu gani sasa kumrekodi Braza Prof Jay akiwa ICU...

Hii nchi kuna vitu tunaendekeza sana,,, Yaaaani kama tunataka halafu kama hatutaki at the same time.
 
Dawa ni moja tu, acheni kulipia hiyo app ya umbea, hivi waTz mtaacha lini umbea lakini?!

Tabia ya umbea iko Tz kuliko nchi yoyote. Huko kwingine mtu anajali mambo yake zaidi kuliko yasiyomuhusu. Hapa ni kinyume!!

Nchi ambayo daktari bingwa hakulikani zaidi kuliko Aristote, Mwijaku, Juma Lokole!! Si kusudio langu kuzungumzia watu - ninazungumzia shughuli yao - umbea wa mambo ya watu wengine!!
 
nimemkumbuka Kigogo, Shangazi na Binti Sarungi...hahahahaha..wazee wa space..
 
Hiki kitendo kimefanyika si Cha kiungwana hata kidogo na kimefanywa na watu ambao huwezi kutegemea.

Inadaiwa kuwa madaktari na wauuguzi waliokua ICU wakimhudumia Prof J wamechukua video na kwenda kumuuzia yule dada ili aisambaze mtandaoni. Sio uungwana hata kidogo.

Serikali kupitia hiyo video mnaweza kuwajua waliofanya hivi na nashauri wachukuliwe hatua kali sana. Itumike namna ya kuwabaini waliofanya hivi najua mna mkono mrefu na hamshindwi.

Mtu yupo ICU amelazwa anapigania uhai wake, mnamhudumia kumbe mnarecord. Amewafanyiaa kitu gani kibaya huyu hadi mfikie huko?
kwani walimrecord akiwa uchi? au tatizo ni nini?
 
Nilimu-unfollow alipoanza kutukana bashite na jpm, sikuwa nawakubali hao watu ila pia sikupenda namna alivyokuwa anaporomosha matusi bila hata chembe ya haya. Kichwa chake sio kizima yule mtu walah.
Wakati anamtukana bashite na ugumba nilimsema akaniblock, Mange ni kiumbe wa ajabu sana hana utu hata kama humkubali mtu kuna vitu kama binadamu mwenye staha hupaswi kufanya. na baadhi ya wabongo ndio wamemlea kwa kumpigia makofi.

Unakumbuka alivyokuwa anamdhalilisha Lowassa wakati wa kampeni? Yeye ndio ameanzisha jina la mzee wa kibamia na wapambe wake wakalipokea. Angekemewa toka mapema asingevimba kichwa badala yake alipewa ushirikiano wa kudhalilisha watu.
 
Ogopa sana tu-dem aina ya haka ka kimbau mbau, yani kamekauka kauuu tako hakuna tumiguu twembamba mdomo ndio mkubwaaa. Gubu, kisirani,jeuri, ujasiri wa shetani, hatunaga aibu hata moja na hua vina jiamini balaa kanaweza kukutunishia msuli kama dume la nyani. NI tu-mwanamke twa hovyo sana
 
Back
Top Bottom