Wito: Waliomrekodi na kusambaza video ya Mbunge mstaafu Prof Jay akiwa ICU wachukuliwe hatua

Wito: Waliomrekodi na kusambaza video ya Mbunge mstaafu Prof Jay akiwa ICU wachukuliwe hatua

Una mwandikia nani kiingereza? Akijua mkeo au sista wako inatosha bwana.....nimejaribu kufuatilia miongoni mwa waswahili wakishajua (NO, YES) baas dunia yote yao [emoji1] huu ni ushamba haswaa. Badilikeni wakuu!
Waswahili bhana, akijua kiingereza kidogo tu mtamkoma, lakini mim huwa naona ni dalili ya kutojiamini kwenye hiyo lugha. Kikubwa hupangiwi lugha ya kutumia
 
Utakuta hako kajamaa ni moja ya waliokuwa wanamtukana Magu kwamba hajui kingereza.

Sasa hapa kwakuwa hakajaambulia kitu ndio kanajifanya kukipenda sana kiswahili.

Kamezoea english ya yes no, yes yah!

[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Kweli wewe hamnazo, kumwambia mtu ukweli kuwa hajui kiingereza ni kumtukana?
Hivi akili zenu huwa mnaweka wapi? Yaani kuambiwa hujui kiingereza ni tusi kwa akili zako????
 
We sio wale Da Mange kasema aka mmekunywa maji ya bendera, kwa hiyo kosa ni kusambaza kwenye app ya Mange
? Ila akisambaza kupitia social networks hamna kosa.

Kweli wahenga walisema akili ni nywele ila hawa taja za eneo gani.

Sasa unataka mfano upi wakati ushaambiwa?
Acha maneni mengi, sema alisambaza kupitia nini?
 
Kabla hujapost video ya Jay, ulionywa sana na wadau wako wa Instagram kwamba kupost video ya mgonjwa si Jambo jema, lakini ukakaidi, ukapost.

Alipoku Waziri Mkuu Peter Pinda alisema kama umeonywa na umekaidi, upigwe TU.

Ndivyo ilivyokuwa kwako, umeonywa, umekaidi kichapo kiwe juu yako.

Kama asiye funzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu, na sis walimwengu wa taifa hili tumechoshwa na tabia zako za hovyo za kushambulia utu wa watu, kuingilia Uhuru wao wa faragha, kuwatukana, kuwadhalilisha na kuwatendea kila ubaya.

MangeKimambi, Mungu hayupo likizo, na amesikia kilio Cha muda mrefu. Machozi ya Watanzania wengi walio umizwa na wewe yamefika kwenye kiti cha enzi.

NI wakati wako sasa kutubu na kuomba msamaha.

Ivumayo haidumu, ngoma ikilia sana mwisho wake NI kupasuka
Ni mtu mshenzi kabisa, mshamba na limbukeni. Hana utu na ni chakaramu.
Demented and unhinged.
 
FC542E40-8C67-49CE-9E02-31665C9EFB76.jpeg
1B13A1AF-5556-41B7-8323-D8776E9E96C3.jpeg
848AD09D-2593-46DE-BBDA-BE6AB3A14310.jpeg
6805113A-2710-4C6E-823A-074D81B5C0FA.jpeg
4E2F66AB-46EA-4433-A05F-23CCF65B7064.jpeg
6ECFEB43-E8BC-4837-AE58-631CC1E46ABD.jpeg
E975C9AB-DF7B-445A-88DB-C40DDD9D5009.jpeg

985210C3-1724-4496-B7BE-507AB50C5FC4.jpeg
57A308F7-18F6-4283-B1B4-9AD761D5FCE3.jpeg


👾👾👾😁😁
 
Kabla hujapost video ya Jay, ulionywa sana na wadau wako wa Instagram kwamba kupost video ya mgonjwa si Jambo jema, lakini ukakaidi, ukapost.

Alipoku Waziri Mkuu Peter Pinda alisema kama umeonywa na umekaidi, upigwe TU.

Ndivyo ilivyokuwa kwako, umeonywa, umekaidi kichapo kiwe juu yako.

Kama asiye funzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu, na sis walimwengu wa taifa hili tumechoshwa na tabia zako za hovyo za kushambulia utu wa watu, kuingilia Uhuru wao wa faragha, kuwatukana, kuwadhalilisha na kuwatendea kila ubaya.

MangeKimambi, Mungu hayupo likizo, na amesikia kilio Cha muda mrefu. Machozi ya Watanzania wengi walio umizwa na wewe yamefika kwenye kiti cha enzi.

NI wakati wako sasa kutubu na kuomba msamaha.

Ivumayo haidumu, ngoma ikilia sana mwisho wake NI kupasuka
Hizi kauli aliwahi kupewa na shehe fulani hivi lakini zikadunda ,hata wewe zitadunda pia,picha za yesu tuko uchi mahututi msalabani zinazagaa jay ndio nani
 
Chadema ndio walimlee huyu binti wa kipare Leo kawashika tarko wote wamemkana na Jan kawatukana watu wa chadema na wa Twitter kuwa mka....firwee
Acha ujinga, walimlea kivipi? Yupo kwenye ilani au hotuba za viongozi wa Chadema? Acha kuongea crap.
 
Niliwahi waonya watu,, wanamuita mwanaharakati mwenzao mtu kama yule. Ni vile tuu yupo mbele ila yule ni Ebitoke aliechangamka!
 
Wakati anamtukana bashite na ugumba nilimsema akaniblock, Mange ni kiumbe wa ajabu sana hana utu hata kama humkubali mtu kuna vitu kama binadamu mwenye staha hupaswi kufanya. na baadhi ya wabongo ndio wamemlea kwa kumpigia makofi.

Unakumbuka alivyokuwa anamdhalilisha Lowassa wakati wa kampeni? Yeye ndio ameanzisha jina la mzee wa kibamia na wapambe wake wakalipokea. Angekemewa toka mapema asingevimba kichwa badala yake alipewa ushirikiano wa kudhalilisha watu.
Simfatilii lakini hizi dondoo mnazotoa humu zinasikitisha sana.

Simpendi Bashite kwa sababu zilizo wazi, alidhulumu haki za watu kuishi, so siwezi kumtetea huyo baradhuli kwa lolote. Ana hitaji kushitakiwa! Utu na uhai wa binadamu havipimiki. Huwa sipendi hata kuona picha yake.

Kwa wengine, nasikitika sana. Kweli sio fair! Tuheshimu faragha ya binadamu wenzetu. Le Muutuzi na wengine, i feel you people. Not fair aisee, kumbe wamepitia haya!
 
Niliwahi waonya watu,, wanamuita mwanaharakati mwenzao mtu kama yule. Ni vile tuu yupo mbele ila yule ni Ebitoke aliechangamka!
Hata ebitoke hawezi kutuambia eti sisi watu wa ‘Jamhuri ya twitter’ tuendelee ‘k-ufi-rw’ , kahaba hana staha kabisa yule
 
8C39AA79-02A5-4CA1-896A-ABB3972D03C4.jpeg
2880A8A2-9F7E-4984-AA20-67544FBD7B64.jpeg
39283312-DA02-472F-96CD-6128F21416CA.jpeg
BCCEBEA1-F757-4694-B361-DAA73E890401.jpeg
485834CC-9C0D-4C43-849A-41F029FD9FD1.jpeg
99E1767B-6E89-4E87-9E3B-EEDC6DB4B9EC.jpeg

C6BC5ADB-7944-40CA-9518-A9B3AE96EF95.jpeg

19ADF0DC-27CF-407F-8A59-69FBD52F3D5B.jpeg

5196575F-4A24-444D-934B-100C23D478F6.jpeg

😁😁😁😁👾👾👾👾. Team nzima ya mabots tunaingia kulala sasa, asubuhi tukiamka tunaendeleza kama Yukrein 😁😁😁👾👾👾
 
kigogo ameweka picha ya Lisu akiwa ameshonwashonwa kalio na paja, ilisambazwa na wanachadema wenyewe. hata hivyo, kukweli sikufurahia ile ya prof j, it was inhumane. sema sijui kama walisambaza wafanyakazi au ndugu zake.tusihukumu haraka.
 
kigogo ameweka picha ya Lisu akiwa ameshonwashonwa kalio na paja, ilisambazwa na wanachadema wenyewe. hata hivyo, kukweli sikufurahia ile ya prof j, it was inhumane. sema sijui kama walisambaza wafanyakazi au ndugu zake.tusihukumu haraka.
Ni unyama tu, hakuna namna nyingine ya kuelezea
 
Back
Top Bottom