Wito: Waliomrekodi na kusambaza video ya Mbunge mstaafu Prof Jay akiwa ICU wachukuliwe hatua

Wito: Waliomrekodi na kusambaza video ya Mbunge mstaafu Prof Jay akiwa ICU wachukuliwe hatua

Simfatilii lakini hizi dondoo mnazotoa humu zinasikitisha sana.

Simpendi Bashite kwa sababu zilizo wazi, alidhulumu haki za watu kuishi, so siwezi kumtetea huyo baradhuli kwa lolote. Ana hitaji kushitakiwa! Utu na uhai wa binadamu havipimiki. Huwa sipendi hata kuona picha yake.

Kwa wengine, nasikitika sana. Kweli sio fair! Tuheshimu faragha ya binadamu wenzetu. Le Muutuzi na wengine, i feel you people. Not fair aisee, kumbe wamepitia haya!
Le mutuz amedhalilishwa sana na huyu dada. Inauma sana
 
Acha maneni mengi, sema alisambaza kupitia nini?
Mwenyewe unachokizungumza hata ukijui ila kwa umeendelea kubisha so bisha. Kwani kabla ya App Mange alikuwa anapost habari zake wapi? Ukilijibu hili ndio jibu la swali lako au labda ww Mange umemjua baada kuanzisha App?
 
I don’t dig cancel culture. But if there’s someone who deserves to be canceled, it’s her!

She is demented. And some people fear her. I don’t even know why.

How come no one has done her bad all these years? Maybe she isn’t out there like that for people to get their hands on her. Otherwise, it would have been on-site.

But then again we’re talking about Tanzanians here. One of the most, if not the most docile and meek people you will ever find on planet earth.

Defund her!
Wabongo ndio wanamuendekeza kwa kuwa wateja wake wa umbea anaotutumia.
 
Hao dawa yao moja tu:

Siku unakutana naye sehemu ni kumpiga na kuhakikisha unamuachia alama usoni ambayo itadumu naye kwa maisha yake yote yaliyobaki hapa duniani.

Ila, watu kama hao huwa wanajificha ficha. Na ndo maana hamna aliyewafanyia mbaya hadi hivi sasa.

But, disrespect has no expiry date…
Hako kadada ni ka'coward sana. Kanachonivunia ni kuwapo marekani na kanajua wamarekani huwa wanatambuwa freedom of speech kama moja ya haki za raia wao.
 
Kabla hujapost video ya Jay, ulionywa sana na wadau wako wa Instagram kwamba kupost video ya mgonjwa si Jambo jema, lakini ukakaidi, ukapost.

Alipoku Waziri Mkuu Peter Pinda alisema kama umeonywa na umekaidi, upigwe TU.

Ndivyo ilivyokuwa kwako, umeonywa, umekaidi kichapo kiwe juu yako.

Kama asiye funzwa na mamaye hufunzwa na ulimwengu, na sis walimwengu wa taifa hili tumechoshwa na tabia zako za hovyo za kushambulia utu wa watu, kuingilia Uhuru wao wa faragha, kuwatukana, kuwadhalilisha na kuwatendea kila ubaya.

MangeKimambi, Mungu hayupo likizo, na amesikia kilio Cha muda mrefu. Machozi ya Watanzania wengi walio umizwa na wewe yamefika kwenye kiti cha enzi.

NI wakati wako sasa kutubu na kuomba msamaha.

Ivumayo haidumu, ngoma ikilia sana mwisho wake NI kupasuka
Tangu lini malaya akawa mwana siasa au mwanaharakati wa kuheshimika. Ni ujinga tu wa watz ndio mange kimambi anaonekana mashuhuri.
 
Back
Top Bottom