Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Ubaya ile app iko kama open sourced. Inapokea taarifa from individuals kwahio kuna option ya kumuuzia habari yeye mule ndani! It seems kuna mtu kamuuzia hio habariMi nasemaje, huyu kesho mapema inabidi afungiwe hiyo app yake, na ikiwezekana ukikutwa nayo kwenye simu iwe ni kosa kama la uhujumu uchumi..., tumevumilia tumechoka sasa, njaa zake zinamuondolea utu..!!