Janjaweed
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 13,153
- 10,670
Mange ana roho mbaya piaKuna watu wana roho mbaya sana
Why asireject video kama
Hizo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mange ana roho mbaya piaKuna watu wana roho mbaya sana
Mi nasemaje, huyu kesho mapema inabidi afungiwe hiyo app yake, na ikiwezekana ukikutwa nayo kwenye simu iwe ni kosa kama la uhujumu uchumi..., tumevumilia tumechoka sasa, njaa zake zinamuondolea utu..!!Yan yeye NDo alipost video ya ruge akitubu? Na alikuwa tayri kashafariki?
Subiri uone, maana hatujuani humu, ila wewe subiri uone...Kesho?
Una akili fupi sana
Mtu akishalipia huo upuuzi ameshakua jike la hiyari.Janaume mzima unalipia upate umbea wa mange
Hii iwe ya mwisho, kesho hiyo app chalii, no discussion!!Nilishaongea sana kuhusu hiyo app
Yeye ndio kiongozi wa wenye roho mbaya. Dada ana roho mbaya sana yuleMange ana roho mbaya pia
Why asireject video kama
Hizo?
Too sad ingawa sijaona hiyo clip.Je ya ruge akitubu? Inasikitisha sio fair
Ametibiwa kwa kodi zetu, hakuwa na bima
Hatuna budi kuhakiki matumizi ya hela yetu
Amepewa upendeleo wa tiba kwa sababu ni mtu maarufu
Na amepigwa picha kwa sababu ya umaarufu
It comes with the territory
Umejuaje itakuwa chali kesho?Hii iwe ya mwisho, kesho hiyo app chalii, no discussion!!
Just imagine mtu anafanya toba ya mwisho, halafu unamrekodi na kuvujidha na kupost, aisee, hii imevuka mipaka yoote!!!!!Too sad ingawa sijaona hiyo clip.
Nakuambia kama ninavyowaambiaga wenzako, tulia hivyo hivyo..., huu ni unyamaa!!!!Umejuaje itakuwa chali kesho?
Ikiwa hivyo ntakupigia salute. Nilisema huu ujinga hawezi kuufanya huko aliko, anatufanyia sisi wabongo anatuona mazuzu
Comment kama hii ndio inafanya kutamani zaidi kuonekana kwa hiyo video. Ili mtu ajiridhishe. Mkitulia kuna taabu gani?Just imagine mtu anafanya toba ya mwisho, halafu unamrekodi na kuvujidha na kupost, aisee, hii imevuka mipaka yoote!!!!!
Wewe ndio utulie, tulia hivyo hivyo ,tutamnyooshaComment kama hii ndio inafanya kutamani zaidi kuonekana kwa hiyo video. Ili mtu ajiridhishe. Mkitulia kuna taabu gani?