The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,805
- 14,181
Vira tusimalize stigler sio umbea kuwa mzalendo umbea ni kazi za watuDawa ni moja tu, acheni kulipia hiyo app ya umbea, hivi waTz mtaacha lini umbea lakini?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vira tusimalize stigler sio umbea kuwa mzalendo umbea ni kazi za watuDawa ni moja tu, acheni kulipia hiyo app ya umbea, hivi waTz mtaacha lini umbea lakini?!
Umesikia JAy mgonjwa yupo mahututi unategemea nini. Kwa sakata hili sina imani na mke wa Jay hata kidogo.
We Nakadori wewe....Hata ile sauti ya ruge mutahaba akiombewa haikuwa sawa kupost. Yani hali ya mgonjwa dakika za kufa inavyokuwa tete halafu atokee mtu arikodii mtu wangu wa karibu then aweke mtandaoni asee ningechoma hata nyumba ya ndugu yake kama yeye yupo mbali
Kuna nini tena jamaniHiki kitendo kimefanyika si Cha kiungwana hata kidogo na kimefanywa na watu ambao huwezi kutegemea.
Madaktari na wauuguzi waliokua ICU wakimhudumia Prof J wamechukua video na kwenda kumuuzia yule dada ili aisambaze mtandaoni sio uungwana hata kidogo.
Serikali kupitia hiyo video mnaweza kuwahua waliofanya hivi na nashauri wachukuliwe hatua kali sana. Itumike namna ya kuwabaini waliofanya hivi najua mna mkono mrefu na hamshindwi.
Mtu yupp ICU amelazwa anapigania uhai wake, mnamhudumia kumbe mnarecord. Amewafanyiaa kitu gani kibaya huyu hadi mfikie huko?
$500 kwa kazi Ile wewe ungeruka?Hiki kitendo kimefanyika si Cha kiungwana hata kidogo na kimefanywa na watu ambao huwezi kutegemea.
Madaktari na wauuguzi waliokua ICU wakimhudumia Prof J wamechukua video na kwenda kumuuzia yule dada ili aisambaze mtandaoni sio uungwana hata kidogo.
Serikali kupitia hiyo video mnaweza kuwahua waliofanya hivi na nashauri wachukuliwe hatua kali sana. Itumike namna ya kuwabaini waliofanya hivi najua mna mkono mrefu na hamshindwi.
Mtu yupp ICU amelazwa anapigania uhai wake, mnamhudumia kumbe mnarecord. Amewafanyiaa kitu gani kibaya huyu hadi mfikie huko?
Daaah! Hiyo App, ni kiboko! Inadharirisha watu kibao! Jana imeandikwaje, eti X mbunge mmoja wa CDM huwa anatabia ya KULAWITI wanawake. Eti, wanawake walikuwa wanamkimbia. Huyu mke aliyenaye sasa, inaonekana kuwa, anaumudu huo mchezo!Itakuwa ni kwenye hilo app lake la umbea tu, hamna kwingine
Ni UNYAMA USIO VUMILIKA wanastahiri WaadhibiweHiki kitendo kimefanyika si Cha kiungwana hata kidogo na kimefanywa na watu ambao huwezi kutegemea.
Madaktari na wauuguzi waliokua ICU wakimhudumia Prof J wamechukua video na kwenda kumuuzia yule dada ili aisambaze mtandaoni sio uungwana hata kidogo.
Serikali kupitia hiyo video mnaweza kuwahua waliofanya hivi na nashauri wachukuliwe hatua kali sana. Itumike namna ya kuwabaini waliofanya hivi najua mna mkono mrefu na hamshindwi.
Mtu yupp ICU amelazwa anapigania uhai wake, mnamhudumia kumbe mnarecord. Amewafanyiaa kitu gani kibaya huyu hadi mfikie huko?
we nae huna tofauti na huyo aliesambaza , Uliwaona hao madaktari wakati wanarecord ?Hiki kitendo kimefanyika si Cha kiungwana hata kidogo na kimefanywa na watu ambao huwezi kutegemea.
Madaktari na wauuguzi waliokua ICU wakimhudumia Prof J wamechukua video na kwenda kumuuzia yule dada ili aisambaze mtandaoni sio uungwana hata kidogo.
Serikali kupitia hiyo video mnaweza kuwahua waliofanya hivi na nashauri wachukuliwe hatua kali sana. Itumike namna ya kuwabaini waliofanya hivi najua mna mkono mrefu na hamshindwi.
Mtu yupp ICU amelazwa anapigania uhai wake, mnamhudumia kumbe mnarecord. Amewafanyiaa kitu gani kibaya huyu hadi mfikie huko?
Hivi huyu kisirani TCRA wamamshindwa anaendelea kumomonyoa maadili ya taifa kupitia hizo kurasa zake za udaku na app yake?Hiki kitendo kimefanyika si Cha kiungwana hata kidogo na kimefanywa na watu ambao huwezi kutegemea.
Madaktari na wauuguzi waliokua ICU wakimhudumia Prof J wamechukua video na kwenda kumuuzia yule dada ili aisambaze mtandaoni sio uungwana hata kidogo.
Serikali kupitia hiyo video mnaweza kuwahua waliofanya hivi na nashauri wachukuliwe hatua kali sana. Itumike namna ya kuwabaini waliofanya hivi najua mna mkono mrefu na hamshindwi.
Mtu yupp ICU amelazwa anapigania uhai wake, mnamhudumia kumbe mnarecord. Amewafanyiaa kitu gani kibaya huyu hadi mfikie huko?
Je ya ruge akitubu? Inasikitisha sio fairNimeiona. Nimemaanisha ni vigezo gani vimetumika kuwatuhumu madaktari? Je ndugu hawezi kufanya hivyo?
Nilishawahi kuwa na mgonjwa ICU na tuliruhusiwa kuingia mmoja mmoja
Kuna hadi ruge akiwa anatubu kabla ya kifoHii ni kinyume kabisa na maadili ya kazi yao
Hivi ile ya ruge ulisikia yaani watu hawana utuSijaiona hiyo video ila it's not ok kumrekodi mtu akiwa anapambania uhai wake si vizuri, inafaa sheria ichukuliwe dhidi yao. Unaanzaje kuchukua simu na kurekodi mtu anaumwa hadi yupo ICU[emoji19] utu unaanza kupotea sababu ya mitandao