financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
No dear ila kuna mtu kanisimulia nikahuzunika, afu unaipost sahivi na mpendwa mwenyewe alishatwaliwa si dhambi hiyo kweli? MmhHivi ile ya ruge ulisikia yaani watu hawana utu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
No dear ila kuna mtu kanisimulia nikahuzunika, afu unaipost sahivi na mpendwa mwenyewe alishatwaliwa si dhambi hiyo kweli? MmhHivi ile ya ruge ulisikia yaani watu hawana utu
Inasikitisha....Itoshe kusema Kaka anapambania roho yakesijaiona ila sio vizuri jamani
Nimekumbuka walivomrekodi hayati jpm
Kuna hadi ruge akiwa anatubu kabla ya kifo
US or ZIM dollars?acha kukuza mambo$500 kwa kazi Ile wewe ungeruka?
Embu tulia
Japo haileweshi!khaMh hii kali aisee
Na kawapata haswa!atatuliza njaa zake soonIla yule sister ana njaa kama hakai ulaya anakula buku buku za wanyonge kiulaini kabisa
Ndugu mnaingia, Ila wachache wachacheICU wanaruhusu watu kusalimia kusalimia.?
NAKAZIA.....Maana yeye ndio mvunja majumba,yaani ukilala unaweze amka saa kumi na moja unajikuta kwenye lile li appHonestly this app needs to be banned in Tanzania.
Too much violation of privacy. Fungia akaunti za kupokea hela, piga pini IP/Domain zake isipatikane hapa Tanzania, shenzi kabisa.
WeweNdugu na jamaa hawaingii ICU?
No dear ila kuna mtu kanisimulia nikahuzunika, afu unaipost sahivi na mpendwa mwenyewe alishatwaliwa si dhambi hiyo kweli? Mmh
Kweli kabisa, mtu anakaa zake huko halafu kazi yake kudhalilisha hadi wagonjwa kisa tamaa ya pesa, mgonjwa kakukosea nini?!Honestly this app needs to be banned in Tanzania.
Too much violation of privacy. Fungia akaunti za kupokea hela, piga pini IP/Domain zake isipatikane hapa Tanzania, shenzi kabisa.
Waaadhibiwe ASAP!!!!!Ni UNYAMA USIO VUMILIKA wanastahiri Waadhibiwe
Sasa hiyo apo si imeanza juzi hapa na ndiyo imepostiwa hukoYan yeye NDo alipost video ya ruge akitubu? Na alikuwa tayri kashafariki?
WHAAAT??!!! Aiseee, sasa this is TOO MUCH!!, hakyanani kesho hiyo app ipigwe pini, hii haiwezekani katika jamii ya wastaarabu!!!!Kuna hadi ruge akiwa anatubu kabla ya kifo
Kesho?WHAAAT??!!! Aiseee, sasa this is TOO MUCH!!, hakyanani kesho hiyo app ipigwe pini, hii haiwezekani katika jamii ya wastaarabu!!!!
Too much aisee.... kila siku fulani kachafua hali ya hewa!NAKAZIA.....Maana yeye ndio mvunja majumba,yaani ukilala unaweze amka saa kumi na moja unajikuta kwenye lile li app