Wito: Waliomrekodi na kusambaza video ya Mbunge mstaafu Prof Jay akiwa ICU wachukuliwe hatua

Wito: Waliomrekodi na kusambaza video ya Mbunge mstaafu Prof Jay akiwa ICU wachukuliwe hatua

Ila kuna haja yule bibi kijana achukuliwe hatua. Hii cyber bullying anayofanya imekithiri sasa.

Kupitia njaa yake ya kutaka pesa za watu za subscription amekosa mipaka ya utu kabisa.

Hakuna alie salama kwake. Kila mtu amekuwa guinea pig wake wa kupatia pesa kwa kumuandika kutokujali ukweli wa habari ama athari ya habari anazoandika, nyingi ya hizo zikiwa ni za kuzusha tu.

TCRA wa ban hiyo app tu kama kianzio.
 
Ila kuna haja yule bibi kijana achukuliwe hatua. Hii cyber bullying anayofanya imekithiri sasa.

Kupitia njaa yake ya kutaka pesa za watu za subscription amekosa mipaka ya utu kabisa.

Hakuna alie salama kwake. Kila mtu amekuwa guinea pig wake wa kumuandika kutokujali ukweli wa habari ama athari ya habari anazoandika, nyingi ya hizo zikiwa ni za kuzusha tu.

TCRA wa ban hiyo app tu kama kianzio.
Si alisalimiana na mama huko Marekani huyu? Au sio huyo?
 
Hiki kitendo kimefanyika si Cha kiungwana hata kidogo na kimefanywa na watu ambao huwezi kutegemea.

Madaktari na wauuguzi waliokua ICU wakimhudumia Prof J wamechukua video na kwenda kumuuzia yule dada ili aisambaze mtandaoni sio uungwana hata kidogo.

Serikali kupitia hiyo video mnaweza kuwahua waliofanya hivi na nashauri wachukuliwe hatua kali sana. Itumike namna ya kuwabaini waliofanya hivi najua mna mkono mrefu na hamshindwi.

Mtu yupp ICU amelazwa anapigania uhai wake, mnamhudumia kumbe mnarecord. Amewafanyiaa kitu gani kibaya huyu hadi mfikie huko?
Hii ni kinyume kabisa na maadili ya kazi yao
 
Hata ile sauti ya ruge mutahaba akiombewa haikuwa sawa kupost. Yani hali ya mgonjwa dakika za kufa inavyokuwa tete halafu atokee mtu arikodii mtu wangu wa karibu then aweke mtandaoni asee ningechoma hata nyumba ya ndugu yake kama yeye yupo mbali
 
Back
Top Bottom