Toxic Concotion
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 5,760
- 20,837
Ila kuna haja yule bibi kijana achukuliwe hatua. Hii cyber bullying anayofanya imekithiri sasa.
Kupitia njaa yake ya kutaka pesa za watu za subscription amekosa mipaka ya utu kabisa.
Hakuna alie salama kwake. Kila mtu amekuwa guinea pig wake wa kupatia pesa kwa kumuandika kutokujali ukweli wa habari ama athari ya habari anazoandika, nyingi ya hizo zikiwa ni za kuzusha tu.
TCRA wa ban hiyo app tu kama kianzio.
Kupitia njaa yake ya kutaka pesa za watu za subscription amekosa mipaka ya utu kabisa.
Hakuna alie salama kwake. Kila mtu amekuwa guinea pig wake wa kupatia pesa kwa kumuandika kutokujali ukweli wa habari ama athari ya habari anazoandika, nyingi ya hizo zikiwa ni za kuzusha tu.
TCRA wa ban hiyo app tu kama kianzio.