Ubaya ile app iko kama open sourced. Inapokea taarifa from individuals kwahio kuna option ya kumuuzia habari yeye mule ndani! It seems kuna mtu kamuuzia hio habariMi nasemaje, huyu kesho mapema inabidi afungiwe hiyo app yake, na ikiwezekana ukikutwa nayo kwenye simu iwe ni kosa kama la uhujumu uchumi..., tumevumilia tumechoka sasa, njaa zake zinamuondolea utu..!!
Mama mwenyewe kashalipia buku huko anainjoy udaku😅 mwezi mzimaAkisalimiana na Mama ndio anaruhusiwa kuandika Udaku na kuumiza Watu?
Hiki kitendo kimefanyika si Cha kiungwana hata kidogo na kimefanywa na watu ambao huwezi kutegemea.
Inadaiwa kuwa madaktari na wauuguzi waliokua ICU wakimhudumia Prof J wamechukua video na kwenda kumuuzia yule dada ili aisambaze mtandaoni. Sio uungwana hata kidogo.
Serikali kupitia hiyo video mnaweza kuwajua waliofanya hivi na nashauri wachukuliwe hatua kali sana. Itumike namna ya kuwabaini waliofanya hivi najua mna mkono mrefu na hamshindwi.
Mtu yupo ICU amelazwa anapigania uhai wake, mnamhudumia kumbe mnarecord. Amewafanyiaa kitu gani kibaya huyu hadi mfikie huko?
Ndio ni mwanafamilia itakuwa Kaitoa.si unajua unalipwa vijidola?? Watu wamekosa utu kisa pesaDuh! Ila hela hizi.
Sasa kama hiyo ya Ruge imemfikiaje Mange. Maana yake ni familia yake aliyokuwa nayo huko South ndio wamemuuzia.
Ana Lana nyingi mnoUyo dada kavuka mipaka na kihalisia uyo dada hayupo sawa kichwani Kuna kitu kinamsumbua tena sana atakuwa na uchizi upo kichwani mwake
Mazingira ya kumuhudumia mgonjwa na mazingira ya kumsalimia mgonjwa yanafanana? Eitherway, Kwahiyo huyo Mange anaruhusiwa kudhalilisha watu kisa aliyerekodi ni ndugu, jamaa au rafiki?
Ninachofurahi ni kwamba aliesambaza hiyo video ni mtu wao wanaemuamini sana!Dawa ni moja tu, acheni kulipia hiyo app ya umbea, hivi waTz mtaacha lini umbea lakini?!
Mlimtukuza wenyewe!Ila kuna haja yule bibi kijana achukuliwe hatua. Hii cyber bullying anayofanya imekithiri sasa.
Kupitia njaa yake ya kutaka pesa za watu za subscription amekosa mipaka ya utu kabisa.
Hakuna alie salama kwake. Kila mtu amekuwa guinea pig wake wa kupatia pesa kwa kumuandika kutokujali ukweli wa habari ama athari ya habari anazoandika, nyingi ya hizo zikiwa ni za kuzusha tu.
TCRA wa ban hiyo app tu kama kianzio.
Alipokuwa anamtukana Magufuli walimshangilia sana!Si alisalimiana na mama huko Marekani huyu? Au sio huyo?
Bavicha hao mkuu!Janaume mzima unalipia upate umbea wa mange
Na mkome!Ni UNYAMA USIO VUMILIKA wanastahiri Waadhibiwe
Mkuu!..Binafsi imenisikitisha sana. Ila kupitia haya nafikiri tunaendelea kujifunza. Mtu peace kama Jay hakustahili haya!
Ila tujiandae kisaikolojia maana ziko mbegu zimepandwa, zimemwagiliwa, zimetiwa mbolea na sasa kidogo kidogo zinaanza kuchipuka! Mbaya zaidi zinachipukia hata kwa wasio na hatia.
Watanzania wengi hawana shughuli za kufanya zaidi ya kukalia ujinga,yaani hapo watakuwa wamefurahi kuona Ile clip,Mimi Kama Mimi Ile clip imeniumiuza Sana,kwanza mgonjwa Yuko very serious halafu mpumbavu mmoja anachukulia Kama Mambo ya utani..Ila Mange Mungu afanye Jambo Sasa ili atulie.Too much aisee.... kila siku fulani kachafua hali ya hewa!
Naamini watu watachoka tu.
Analamba 2.5billion per month...na hii nimekupa rough figure za buku buku tu per month, ukiweka wengine kama sie hapa tumelipia kwa mwaka kabisa, bado kwa walioko abroad amepandisha dau $$$Ila yule sister ana njaa kama hakai ulaya anakula buku buku za wanyonge kiulaini kabisa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]Kesho?
Una akili fupi sana
Akawa anasemaje?Hivi ile ya ruge ulisikia yaani watu hawana utu