jkipaji
JF-Expert Member
- Sep 22, 2019
- 6,963
- 9,401
Alafu yule Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano pale Muhimbili eti na yeye anaandika barua ya ki Serekali ana mcote Mange!! Who is Mange!? Ni BBC au ni CNN!? Mi ningekua Boss wake ningempiga chini faster!!!Tena wakawa wanamuamini kuliko hata kamati kuu ya chama chao!
Mijitu mizima utasikia "da Mange amesema"
[emoji23] [emoji23] [emoji23]