Wito: Waliomrekodi na kusambaza video ya Mbunge mstaafu Prof Jay akiwa ICU wachukuliwe hatua

Wito: Waliomrekodi na kusambaza video ya Mbunge mstaafu Prof Jay akiwa ICU wachukuliwe hatua

Tena wakawa wanamuamini kuliko hata kamati kuu ya chama chao!

Mijitu mizima utasikia "da Mange amesema"

[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Alafu yule Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano pale Muhimbili eti na yeye anaandika barua ya ki Serekali ana mcote Mange!! Who is Mange!? Ni BBC au ni CNN!? Mi ningekua Boss wake ningempiga chini faster!!!
 
Alafu yule Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano pale Muhimbili eti na yeye anaandika barua ya ki Serekali ana mcote Mange!! Who is Mange!? Ni BBC au ni CNN!? Mi ningekua Boss wake ningempiga chini faster!!!
Yaani Sasa hivi watu kibao wanaanza kuitafuta hiyo video baada ya kusoma hiyo barua kutoka Muhimbili!! Yaani kampaa kiki sana Mange!!
 
We unacheka tena?[emoji849][emoji849][emoji849] Si umesema unaifunga hii app leo....Fanya mambo basi!
Hapa na ambao walikuwa hawajajiunga jana na leo wamejiunga wakaone video ndio warudi sasa kuelezea venye mange ana roho mbaya. Na bado wanaendelea kujiunga. Wa tz hauwezi watenganisha na umbeya na utomaso.
 
Swali ni picha za Prof Jay akipambania uhai wake zina faida gani kwa jamii? Ni bora angeweka picha ya hospitali bati inavuja, ili watu waende kutengeneza, lakini hii ina ladha mbaya sana.
Watu walimpiga picha maiti ya Magufuli na hakuna aliyekamatwa hadi leo!! Mange walimlea wenyewe na wakiaamua kumnyoosha watamnyoosha wenyewe!!
 
Si toba? Tena km dhambi zingine alifanya kwa wazi dunia ikijua ametubu si ndio vizuri zaidi jamani? Na inakuwa fundisho kwa wengine kumrudia Mungu kwa kuona km tajiri Ruge na utajiri, umaarufu wote ule alishuka na kutubu kwa Mungu mimi kwanini nisitubu?
Hahah, aisee kumbe kuna watu mna-manage kuishi bila ubongo kichwani, ni kwanini kunakuwa na confession room kanisani, na mnakuwa wawili tu, kwanini hatufanyi mbele za watu, daah...
 
Simtetei huyo Mange wala simjui.Lkn picha hizo labda zinasaidia watu kujua kuwa kumbe mwenzetu anaumwa sana wengine hata watamuombea.Lkn itatukumbusha kuwa sisi ni binadamu tumche mola wetu
Mgonjwa ana haki ya faragha..., huwezi kumuanika mtu katika hali ile bila ridhaa.., ni unyama huo
 
Pambana na hali yako ww kwako ni mgojwa kwa menzako ni fulsa ya kupiga pesa dunia duala kla mtu na yake

Leo mange kawa mbaya kisa kawagusa.
Dunia ya leo inaendeshwa na pesa ubinaadamu na utu huruma umebaki kwa watanzania,
 
Yaani Sasa hivi watu kibao wanaanza kuitafuta hiyo video baada ya kusoma hiyo barua kutoka Muhimbili!! Yaani kampaa kiki sana Mange!!
Hiyo video kwenye app yake views wamefika laki moja na elfu kumi, comments zinakaribia elfu moja!

Ina maana kuna nyomi mpya imejiunga jana na leo tena na mpaka watu wakubwa tu[emoji848]
 
Hapa na ambao walikuwa hawajajiunga jana na leo wamejiunga wakaone video ndio warudi sasa kuelezea venye mange ana roho mbaya. Na bado wanaendelea kujiunga. Wa tz hauwezi watenganisha na umbeya na utomaso.
Sio tu umbea na unafiki juu[emoji849][emoji848][emoji848]

Yaan mtu kaenda kaiangalia mara elfu baada ya hapo anakuja kutema cheche jf...

Unatakiwa usiiangalie hiyo video[emoji848]
 
Sio tu umbea na unafiki juu[emoji849][emoji848][emoji848]

Yaan mtu kaenda kaiangalia mara elfu baada ya hapo anakuja kutema cheche jf...

Unatakiwa usiiangalie hiyo video[emoji848]

Hata nilisahau kuhusu Unafiki.
Kila mtu anasema hana hiyo app hadi unajiuliza sasa hao watu mamilion kwa Mange wanatokea wapi?
 
Nasikia hiyo video ya PJ mtu kakamatishwa $ 3000[emoji849][emoji849]

Si mchezo watu lazima wanitoe ufahamu...Kam TMZ vile daah
Tmz 😄😄😄😄😄
Dem kiboko na wanaomuandama kuhusu app yake nimeona amesema labda afe na kawaporomoshea mitusu juuu daaaah yule akili zake sio poa yuko usa hajasau tusi k%@!€@ kibuyu ameshindikana 🤣🤣🤣🤣
 
Ningekuwa mimi mange kitendo tu cha kupewa heshima ya kusalimiana na rais wa nchi kingenifanya niwe humble ili nisichafue file langu kwa rais tena rais mwenyewe humble kama mama samia dah ningekuwa mpole wala nisingeleta upoyoyo kama wa mange.
Oooohoooo naona kamuanza mchana huu kumchamba huyo mama mdogomdogo issue ya Bashite.akivuta bangi mama kazi anayo ajipange
 
Back
Top Bottom