Wito: Watu Wenye Uwezo, Tujitokeze Tujitolee Kumsaidia TAL na Kuisaidia Chadema to Play Real Politics, No Reforms No Election ni Utopian Politics!.

Wito: Watu Wenye Uwezo, Tujitokeze Tujitolee Kumsaidia TAL na Kuisaidia Chadema to Play Real Politics, No Reforms No Election ni Utopian Politics!.

Nje ya tuvifungu twa sheria, Lissu ni mweupe kabisa.. Mwambie aache kuongelea katiba, ajadili uchumi, structure ya utumishi wa umma, kilimo, pension, solution ya tatizo LA ajira, uvuvi, solution ya tatizo LA machinga, madini, ustawi wa jamii, hapo utamuona anapuyanga tu
Kwani mumeo hawezi kujadili mpk Lisu pekee?
 
Ushauri wangu kwa CDM ni huu;
1. Waunganishe chama kwa dhati. Hii inawezekana tu kama watawakaribisha na kutambua mchango na uwezo wa wale ambao walikuwa upande wa Freeman Mbowe. Watu kama Kigaila, Suzan Kiwanga na Mwalimu wana uwezo mkubwa wa uhamasishaji na ku organise at the grassroot level. Watu kama Ntobi, Nyerere na wengine ni wapambanaji wazuri sana. Watu kama Ruge wasiachwe pembeni.
2. Waepuke lugha za uchonganishi kama aliyotumia Lissu dhidi ya Aidan. Inawezekana kuwa hampendi lakini athamini mchango wake na constituency yake. Watu kama Mchome wajibiwe hoja zao kwa heshoma badala ya kukimbilia kuwatuhumu kuwa wanatumiwa.
3. Wakubali mjadala na mwana siasa yeyote kwa sababu itatoa nafasi za bure kunadi sera zao na kuonyesha udhaifu wa upande wa pili. Lissu hapungukiwi kitu kufanya mdahalo na Wasira. Hata Chalamila akiomba mdahalo wamkubalie.
4. Waangalie namna ya kushirikiana na Halima Mdee, Esther Bulaya na wengine ambao wanaonyesha utayari wa kuipambania Chadema. Talent zao zinahitajika. Wanaweza kuwapa masharti kuwa hawataruhusiwa kugombea uongozi kwa miaka 10.
5. Wajiandae kwa dhati kwa ajili ya uchaguzi wa mwaka huu na ile ya 2029 na 2030.
6. Wajiandae kupambana ili kuhakikisha kuwa Katiba Mpya inapatikana kabla ya 2028.
7. Waboreshe website yao kwa kutoa kipaumbele kwa wanachama na viongozi wa chini kuliko hawa wa kitaifa.
8. Wawatangaze zaidi wake wote ambao wameumizwa kwa ajili yq chama chao. Wahakikishe waatu kama Mzee Kibao, Soka, Saa Nane hawauliwi. Watu kama yule mama aliyekaa ndani kwa muda mrefu wakatiwa kesi ya Mbowe waenziwe. Wanasheria wao wapambanaji nao waenziwe. Wakina Martin nao waenziwe. Wale vijana waliokuwa kila siku wanatembelea mahabusu waenziwe.
9. Wawe na mfumo wa wazi wa kuchangia kwa hali na mali.

Amandla....
 
Ushauri wangu kwa CDM ni huu;
1. Waunganishe chama kwa dhati. Hii inawezekana tu kama watawakaribisha na kutambua mchango na uwezo wa wale ambao walikuwa upande wa Freeman Mbowe. Watu kama Kigaila, Suzan Kiwanga na Mwalimu wana uwezo mkubwa wa uhamasishaji na ku organise at the grassroot level. Watu kama Ntobi, Nyerere na wengine ni wapambanaji wazuri sana. Watu kama Ruge wasiachwe pembeni.
2. Waepuke lugha za uchonganishi kama aliyotumia Lissu dhidi ya Aidan. Inawezekana kuwa hampendi lakini athamini mchango wake na constituency yake. Watu kama Mchome wajibiwe hoja zao kwa heshoma badala ya kukimbilia kuwatuhumu kuwa wanatumiwa.
3. Wakubali mjadala na mwana siasa yeyote kwa sababu itatoa nafasi za bure kunadi sera zao na kuonyesha udhaifu wa upande wa pili. Lissu hapungukiwi kitu kufanya mdahalo na Wasira. Hata Chalamila akiomba mdahalo wamkubalie.
4. Waangalie namna ya kushirikiana na Halima Mdee, Esther Bulaya na wengine ambao wanaonyesha utayari wa kuipambania Chadema. Talent zao zinahitajika. Wanaweza kuwapa masharti kuwa hawataruhusiwa kugombea uongozi kwa miaka 10.
5. Wajiandae kwa dhati kwa ajili ya uchaguzi wa mwaka huu na ile ya 2029 na 2030.
6. Wajiandae kupambana ili kuhakikisha kuwa Katiba Mpya inapatikana kabla ya 2028.
7. Waboreshe website yao kwa kutoa kipaumbele kwa wanachama na viongozi wa chini kuliko hawa wa kitaifa.
8. Wawatangaze zaidi wake wote ambao wameumizwa kwa ajili yq chama chao. Wahakikishe waatu kama Mzee Kibao, Soka, Saa Nane hawauliwi. Watu kama yule mama aliyekaa ndani kwa muda mrefu wakatiwa kesi ya Mbowe waenziwe. Wanasheria wao wapambanaji nao waenziwe. Wakina Martin nao waenziwe. Wale vijana waliokuwa kila siku wanatembelea mahabusu waenziwe.
9. Wawe na mfumo wa wazi wa kuchangia kwa hali na mali.

Amandla....
Hiyo namba 4 imeharibu kila kitu kizuri ulichoandika
 
Mimi ngoja nichukue Jembe nikalime until that day tutakapokuwa na Vyama vya Wanachama vinavyowakilisha Mawazo na Itikadi ya wanachama hao na sio Vyama vya Personalities na nini nani yupo pale na anapeleka watu anapotaka au kulingana na utashi wake....

Na ushauri wako naona kama ni muendelezo wa yaleyale (kuanza tu kushauri kwamba Lisu ndio afanye hiki au kile na sio Chadema) kunanionyesha kwamba unakubaliana na Dictatorship kwamba mtu ndio anaweza kuamua na sio msukumo wa watu nyuma ya Idea / Ideology...

When that happen nitashukuru mkinipa taarifa (huenda takuwa navuma hii miti ninayopanda leo)
 
Chochote mtakachoongea kama ni kufanya uchaguzi bila kubadilisha katiba hakuna atakayewaelewa.
 
Wanabodi

Nimemsikiliza TAL kwenye kipindi cha dakika 45 cha ITV kuhusu falsafa yake ya No Reforms No Election.
View: https://www.youtube.com/live/u5PkOqrHdZI?si=Mtma0U4QBfJ8TJ6x

Japo hakuna ubishi kuhusu umahiri wa TAL kama mwanasheria, mwanasiasa, mbunge, mnadhimu mkuu wa upinzani, M/Mwenyekiti wa Chadema, lakini TAL kama Mwenyekiti wa Chadema, anahitaji msaada mkubwa kusaidiwa na watu wenye uwezo, ili aweze kubadilika kutoka TAL mwanaharakati into TAL Stateanship!.

TAL lazime abadilike kuachana na vibwagizo vya uanaharakati, into real politics vinginevyo anakwenda kuizamisha Chadema kwenye a pit latrine!.

Hivyo hili ni bandiko la wito, kwa Watanzania wowote wazalendo wa kweli wa nchi hii, na wenye mapenzi mema na nchi yetu, wenye uwezo, wa kumsaidia TAL na kuisaidia Chadema, tujitokeze tujitolee kumsaidia TAL ili aweze, na kuisaidia Chadema ili iweze to play the real politics of reality, hii falsafa ya TAL ya "No Reforms No Election" is not real!, ni utopian politics!.
TAL alipoulizwa maandalizi ya uchaguzi, amesema Chadema haifanyi maandalizi yoyote bila reforms ni no election!.
Hizi ni utopian politics, sii TAL wala Chadema wana uwezo wa kuzuia uchaguzi Mkuu usifanyike!.

Mmoja wa washauri hao wa bure wa kujitolea ni huyu Mwana JF Maarufu sana, Mkuu Mzee Mwanakijiji , msikilizeni hapa amewashauri nini Chadema na amemshauri nini TAL.
View: https://youtu.be/GUjpxNTSdig Ushauri huu ulitolewa kwa TAL miaka 5 iliyopita, Chadema mtafuteni huyu mtu atawasaidia sana!.

Mimi pia kwa upande wangu, nimeisha wasaidia sana Chadema kwa kuwashauri,

Natoa wito, kwa watu wowote wenye uwezo, tujitokeze tujitolee kumsaidia TAL na kuisaidia Chadema, uchaguzi mkuu wa 2025 ni fursa adhimu kwa Chadema kuichangamkia.

TAL na Chadema Wasaidiwe!.

Paskali

hulka ya kiburi na ujuaji wa kitapeli wa kiongozi wa chadema, iko mpaka kwa wanachama wa chadema.
Ushauri wowote kwao hua ni dhambi 🐒
 
Wanabodi

Nimemsikiliza TAL kwenye kipindi cha dakika 45 cha ITV kuhusu falsafa yake ya No Reforms No Election.
View: https://www.youtube.com/live/u5PkOqrHdZI?si=Mtma0U4QBfJ8TJ6x

Japo hakuna ubishi kuhusu umahiri wa TAL kama mwanasheria, mwanasiasa, mbunge, mnadhimu mkuu wa upinzani, M/Mwenyekiti wa Chadema, lakini TAL kama Mwenyekiti wa Chadema, anahitaji msaada mkubwa kusaidiwa na watu wenye uwezo, ili aweze kubadilika kutoka TAL mwanaharakati into TAL Stateanship!.

TAL lazime abadilike kuachana na vibwagizo vya uanaharakati, into real politics vinginevyo anakwenda kuizamisha Chadema kwenye a pit latrine!.

Hivyo hili ni bandiko la wito, kwa Watanzania wowote wazalendo wa kweli wa nchi hii, na wenye mapenzi mema na nchi yetu, wenye uwezo, wa kumsaidia TAL na kuisaidia Chadema, tujitokeze tujitolee kumsaidia TAL ili aweze, na kuisaidia Chadema ili iweze to play the real politics of reality, hii falsafa ya TAL ya "No Reforms No Election" is not real!, ni utopian politics!.
TAL alipoulizwa maandalizi ya uchaguzi, amesema Chadema haifanyi maandalizi yoyote bila reforms ni no election!.
Hizi ni utopian politics, sii TAL wala Chadema wana uwezo wa kuzuia uchaguzi Mkuu usifanyike!.

Mmoja wa washauri hao wa bure wa kujitolea ni huyu Mwana JF Maarufu sana, Mkuu Mzee Mwanakijiji , msikilizeni hapa amewashauri nini Chadema na amemshauri nini TAL.
View: https://youtu.be/GUjpxNTSdig Ushauri huu ulitolewa kwa TAL miaka 5 iliyopita, Chadema mtafuteni huyu mtu atawasaidia sana!.

Mimi pia kwa upande wangu, nimeisha wasaidia sana Chadema kwa kuwashauri,

Natoa wito, kwa watu wowote wenye uwezo, tujitokeze tujitolee kumsaidia TAL na kuisaidia Chadema, uchaguzi mkuu wa 2025 ni fursa adhimu kwa Chadema kuichangamkia.

TAL na Chadema Wasaidiwe!.

Paskali

Hivi kwanini nyie ccm hamtaki kubadili huo mfumo

Swali 2 paskali mtoto wa magorofani drive in,vp utagombea tena ubunge

Ova
 
Wanabodi

Nimemsikiliza TAL kwenye kipindi cha dakika 45 cha ITV kuhusu falsafa yake ya No Reforms No Election.
View: https://www.youtube.com/live/u5PkOqrHdZI?si=Mtma0U4QBfJ8TJ6x

Japo hakuna ubishi kuhusu umahiri wa TAL kama mwanasheria, mwanasiasa, mbunge, mnadhimu mkuu wa upinzani, M/Mwenyekiti wa Chadema, lakini TAL kama Mwenyekiti wa Chadema, anahitaji msaada mkubwa kusaidiwa na watu wenye uwezo, ili aweze kubadilika kutoka TAL mwanaharakati into TAL Stateanship!.

TAL lazime abadilike kuachana na vibwagizo vya uanaharakati, into real politics vinginevyo anakwenda kuizamisha Chadema kwenye a pit latrine!.

Hivyo hili ni bandiko la wito, kwa Watanzania wowote wazalendo wa kweli wa nchi hii, na wenye mapenzi mema na nchi yetu, wenye uwezo, wa kumsaidia TAL na kuisaidia Chadema, tujitokeze tujitolee kumsaidia TAL ili aweze, na kuisaidia Chadema ili iweze to play the real politics of reality, hii falsafa ya TAL ya "No Reforms No Election" is not real!, ni utopian politics!.
TAL alipoulizwa maandalizi ya uchaguzi, amesema Chadema haifanyi maandalizi yoyote bila reforms ni no election!.
Hizi ni utopian politics, sii TAL wala Chadema wana uwezo wa kuzuia uchaguzi Mkuu usifanyike!.

Mmoja wa washauri hao wa bure wa kujitolea ni huyu Mwana JF Maarufu sana, Mkuu Mzee Mwanakijiji , msikilizeni hapa amewashauri nini Chadema na amemshauri nini TAL.
View: https://youtu.be/GUjpxNTSdig Ushauri huu ulitolewa kwa TAL miaka 5 iliyopita, Chadema mtafuteni huyu mtu atawasaidia sana!.

Mimi pia kwa upande wangu, nimeisha wasaidia sana Chadema kwa kuwashauri,

Natoa wito, kwa watu wowote wenye uwezo, tujitokeze tujitolee kumsaidia TAL na kuisaidia Chadema, uchaguzi mkuu wa 2025 ni fursa adhimu kwa Chadema kuichangamkia.

TAL na Chadema Wasaidiwe!.

Paskali

Wewe Paskali chawa wa uchafuni huna sifa wala moral authority ya kumshauri TAL. Endelea kungojea makombo huenda kuna siku yatakudondokea
 
Moj
Wanabodi

Nimemsikiliza TAL kwenye kipindi cha dakika 45 cha ITV kuhusu falsafa yake ya No Reforms No Election.
View: https://www.youtube.com/live/u5PkOqrHdZI?si=Mtma0U4QBfJ8TJ6x

Japo hakuna ubishi kuhusu umahiri wa TAL kama mwanasheria, mwanasiasa, mbunge, mnadhimu mkuu wa upinzani, M/Mwenyekiti wa Chadema, lakini TAL kama Mwenyekiti wa Chadema, anahitaji msaada mkubwa kusaidiwa na watu wenye uwezo, ili aweze kubadilika kutoka TAL mwanaharakati into TAL Stateanship!.

TAL lazime abadilike kuachana na vibwagizo vya uanaharakati, into real politics vinginevyo anakwenda kuizamisha Chadema kwenye a pit latrine!.

Hivyo hili ni bandiko la wito, kwa Watanzania wowote wazalendo wa kweli wa nchi hii, na wenye mapenzi mema na nchi yetu, wenye uwezo, wa kumsaidia TAL na kuisaidia Chadema, tujitokeze tujitolee kumsaidia TAL ili aweze, na kuisaidia Chadema ili iweze to play the real politics of reality, hii falsafa ya TAL ya "No Reforms No Election" is not real!, ni utopian politics!.
TAL alipoulizwa maandalizi ya uchaguzi, amesema Chadema haifanyi maandalizi yoyote bila reforms ni no election!.
Hizi ni utopian politics, sii TAL wala Chadema wana uwezo wa kuzuia uchaguzi Mkuu usifanyike!.

Mmoja wa washauri hao wa bure wa kujitolea ni huyu Mwana JF Maarufu sana, Mkuu Mzee Mwanakijiji , msikilizeni hapa amewashauri nini Chadema na amemshauri nini TAL.
View: https://youtu.be/GUjpxNTSdig Ushauri huu ulitolewa kwa TAL miaka 5 iliyopita, Chadema mtafuteni huyu mtu atawasaidia sana!.

Mimi pia kwa upande wangu, nimeisha wasaidia sana Chadema kwa kuwashauri,

Natoa wito, kwa watu wowote wenye uwezo, tujitokeze tujitolee kumsaidia TAL na kuisaidia Chadema, uchaguzi mkuu wa 2025 ni fursa adhimu kwa Chadema kuichangamkia.

TAL na Chadema Wasaidiwe!.

Paskali

A
Wanabodi

Nimemsikiliza TAL kwenye kipindi cha dakika 45 cha ITV kuhusu falsafa yake ya No Reforms No Election.
View: https://www.youtube.com/live/u5PkOqrHdZI?si=Mtma0U4QBfJ8TJ6x

Japo hakuna ubishi kuhusu umahiri wa TAL kama mwanasheria, mwanasiasa, mbunge, mnadhimu mkuu wa upinzani, M/Mwenyekiti wa Chadema, lakini TAL kama Mwenyekiti wa Chadema, anahitaji msaada mkubwa kusaidiwa na watu wenye uwezo, ili aweze kubadilika kutoka TAL mwanaharakati into TAL Stateanship!.

TAL lazime abadilike kuachana na vibwagizo vya uanaharakati, into real politics vinginevyo anakwenda kuizamisha Chadema kwenye a pit latrine!.

Hivyo hili ni bandiko la wito, kwa Watanzania wowote wazalendo wa kweli wa nchi hii, na wenye mapenzi mema na nchi yetu, wenye uwezo, wa kumsaidia TAL na kuisaidia Chadema, tujitokeze tujitolee kumsaidia TAL ili aweze, na kuisaidia Chadema ili iweze to play the real politics of reality, hii falsafa ya TAL ya "No Reforms No Election" is not real!, ni utopian politics!.
TAL alipoulizwa maandalizi ya uchaguzi, amesema Chadema haifanyi maandalizi yoyote bila reforms ni no election!.
Hizi ni utopian politics, sii TAL wala Chadema wana uwezo wa kuzuia uchaguzi Mkuu usifanyike!.

Mmoja wa washauri hao wa bure wa kujitolea ni huyu Mwana JF Maarufu sana, Mkuu Mzee Mwanakijiji , msikilizeni hapa amewashauri nini Chadema na amemshauri nini TAL.
View: https://youtu.be/GUjpxNTSdig Ushauri huu ulitolewa kwa TAL miaka 5 iliyopita, Chadema mtafuteni huyu mtu atawasaidia sana!.

Mimi pia kwa upande wangu, nimeisha wasaidia sana Chadema kwa kuwashauri,

Natoa wito, kwa watu wowote wenye uwezo, tujitokeze tujitolee kumsaidia TAL na kuisaidia Chadema, uchaguzi mkuu wa 2025 ni fursa adhimu kwa Chadema kuichangamkia.

TAL na Chadema Wasaidiwe!.

Paskali

Mtu mwenye IQ kubwa tu ndio atamuelewa Paskali. Hawa oya oya wataishia kutukana tu.
 
Hiyo namba 4 imeharibu kila kitu kizuri ulichoandika
Na ndio mtaonyesha ukomavu. Hamuwezi kuruhusu hisia zenu ziwazuie kufika katika nchi ya ahadi. Hapo ndipo Mbowe anapomzidi Lissu. Mbowe aliweza kuziba put na kumkubali Lowassa awe mgombea wa chama kwa kutambua uwezo wake wa kukiongezea chama chake kura na wabunge. Angekuwa Lissu wa sasa, Lowassa angetolewa nje na hivyo kumfanya shame NCCR Mageuzi na hivyo kukipa chama hicho kuwa na nguvu mpya.

Halima na Esther B bado wanakipenda CDM. Wakati wakiwa nyikani hawajawahi kukisemea vibaya chamaa hicho au kukubali kutumika kukivunjia heshima kama walivyofanya wakina Lijualikali na wenzake. Mbona Aidan alikiuka agizo la kutoingia Bungeni lakini mwisho wa siku ameonyesha commitment yake kwa chama chake.

Amandla...
 
Back
Top Bottom