Wizara husika imchunguze Pastor Dominick (kiboko ya wachawi)

Kwakuwa amepita kwenye njia ya dini sidhani kama serikali itatoa tamko hapo.
Wenye dini yao waacheni "wahudumiwe"
 
Yule mwamba tapeli sana eti alihamisha ukichaa kwa mgonjwa wa kichaa akampa mwingine yani matukio yake anayapanga kitoto sana na baunsa lake mwarabu fighter yule aliyekua baunsa wa diamond atakua anajua siri nyingi sana za jamaa yule
Ndo staged miracles hizo mkuu ,wanapangwa kitoto,Mwarabu atakua anajua
 
Sikuhizi wanaoenda kwa waganga wanapoteza muda waende kwa manabii tu.
 
Yaachie majinga yapigwe usiyahurumie ,tena ikiwezekana huyo nabii awatoboe na washeri zao wote wake kwa waume.
Tehtehtehtehteh nimecheka kama mazuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…