Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anaubiri na kupuyanga madhabahuni kwa miondoko ya anko Snoop Ng'ang'a.Anavaa gloves kuficha nuckles nyeusi mkononi,anajifana style
Tuache, hovyoo 🫤🫤 wivu tu kwa baba mtumishi. NakukemeaWajinga hayaishi mkuu acha watapeliwe mpaka waombe poo
Ndo staged miracles hizo mkuu ,wanapangwa kitoto,Mwarabu atakua anajuaYule mwamba tapeli sana eti alihamisha ukichaa kwa mgonjwa wa kichaa akampa mwingine yani matukio yake anayapanga kitoto sana na baunsa lake mwarabu fighter yule aliyekua baunsa wa diamond atakua anajua siri nyingi sana za jamaa yule
Tookaaa mchungaji ya mbuzi au ng'ombeTuache, hovyoo 🫤🫤 wivu tu kwa baba mtumishi. Nakukemea
Hiyo ni dini mkuu, waache wapewe neno la kinabiiHii sio huduma mkuu ni utapeli kama utapeli mwengine tu
Sio wale wale. Nenda kasikilize nenoFake p{as in fake pastor)? wale wale?
Utafute pakwenda ukifwa.Tookaaa mchungaji ya mbuzi au ng'ombe
Jamaa ni mkongo huyoAnavaa gloves kuficha nuckles nyeusi mkononi,anajifana style
Sikuhizi wanaoenda kwa waganga wanapoteza muda waende kwa manabii tu.Naomba kuwasilisha hoja/ mjadala juu ya huyu kiboko ya Wachawi, Serikali inapaswa kumchunguza kupitia wizara husika kabla hatujafika hatua ya Mackenzie wa Kenya, wanaanzaga taratibu baadae yatakua makubwa.
1. Mahubiri yake na maombi ni chonganishi(ni kama ramli), anagombanisha ndugu bila ushahidi.
2. Simu zake za wagonjwa ni za mchongo wanapangwa(staged miracles).
3. Mamlaka husika zichunguze miamala ya account zake kuna element za utakatishaji fedha(MUHIMU SANA)
4. Radio times 100.5 kama wanaweza wasijali pesa za kurushia matangazo wasikilize kinachofanyika kisha waamue kuendelea kutangaza ama wanawe mikono kama pilato kwa kukwepa hatia ya siku za usoni.