Wizara husika imchunguze Pastor Dominick (kiboko ya wachawi)

Wakristo hata awe na degree mia
Lkn kwenye maswala haya hopeless hujawahi ona. Waacheni wapigwe na wafe tu hamna namna majinga sana
 
Wakristo hata awe na degree mia
Lkn kwenye maswala haya hopeless hujawahi ona. Waacheni wapigwe na wafe tu hamna namna majinga sana
Mjadala huu si wa leo kwamba "wakristo" sikiliza leo waendao wapo pia kina asha,halima na juma,Kateka wengi mkuu
 
Wakristo ni nyumbu mkuu. Hawasaidiki waache waibwe. Mimi tuligombana na mama kisa malisa wake.
Badae ndo akaja kunielewa but amechelewa na kuliwa sana Hela
Mjadala huu si wa leo kwamba "wakristo" sikiliza leo waendao wapo pia kina asha,halima na juma,Kateka wengi mkuu
 
Nikiweka hapa taarifa za siri na uhakika kuhusu huduma ya kiboko ya wachawi kesho watu hawataki kwenda pale ,najua mengi na nimejuta kuyajua I was one core

USSR
 
Nikiweka hapa taarifa za siri na uhakika kuhusu huduma ya kiboko ya wachawi kesho watu hawataki kwenda pale ,najua mengi na nimejuta kuyajua I was one core

USSR
Mwamposa mwaka wa kumi huu siri zake zipo nje na still nyomi.
Mjini hapa fata yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…