Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
Wapi picha ya nabii ya congoNabii kawiva Mkorogo hatari.
Mjadala huu si wa leo kwamba "wakristo" sikiliza leo waendao wapo pia kina asha,halima na juma,Kateka wengi mkuuWakristo hata awe na degree mia
Lkn kwenye maswala haya hopeless hujawahi ona. Waacheni wapigwe na wafe tu hamna namna majinga sana
HahahaahaaUtafute pakwenda ukifwa.
Eve eeh .... We si muumini wake lakini ?Wapi picha ya nabii ya congo
Mjadala huu si wa leo kwamba "wakristo" sikiliza leo waendao wapo pia kina asha,halima na juma,Kateka wengi mkuu
Hamna mie muumini wa mafuta na maji.....na online kekiEve eeh .... We si muumini wake lakini ?
Hamna mie muumini wa mafuta na maji.....na online keki
Nikiweka hapa taarifa za siri na uhakika kuhusu huduma ya kiboko ya wachawi kesho watu hawataki kwenda pale ,najua mengi na nimejuta kuyajua I was one coreNaomba kuwasilisha hoja/ mjadala juu ya huyu kiboko ya Wachawi, Serikali inapaswa kumchunguza kupitia wizara husika kabla hatujafika hatua ya Mackenzie wa Kenya, wanaanzaga taratibu baadae yatakua makubwa.
1. Mahubiri yake na maombi ni chonganishi(ni kama ramli), anagombanisha ndugu bila ushahidi.
2. Simu zake za wagonjwa ni za mchongo wanapangwa(staged miracles).
3. Mamlaka husika zichunguze miamala ya account zake kuna element za utakatishaji fedha(MUHIMU SANA)
4. Radio times 100.5 kama wanaweza wasijali pesa za kurushia matangazo wasikilize kinachofanyika kisha waamue kuendelea kutangaza ama wanawe mikono kama pilato kwa kukwepa hatia ya siku za usoni.
Ni ba mutu ba congo???
Mwamposa mwaka wa kumi huu siri zake zipo nje na still nyomi.Nikiweka hapa taarifa za siri na uhakika kuhusu huduma ya kiboko ya wachawi kesho watu hawataki kwenda pale ,najua mengi na nimejuta kuyajua I was one core
USSR
Mutu ya sifa.Ni ba mutu ba congo???
Hao wanaotapeliwa na dini hawana maarifa ya kidiniTatizo la watu wa dini lipo kwenye asili (ujinga)
Hata ukiwaambia utapeli wa dini hawako tayari kukuelewa.